Home KITAIFA DK. BITEKO AFUNGUA MKUTANO WA NISHATI WA VIONGOZI – AFRIKA

DK. BITEKO AFUNGUA MKUTANO WA NISHATI WA VIONGOZI – AFRIKA

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amefungua mkutano wa Kimataifa wa Nishati unaowakutanisha Viongozi mbalimbali wa Afrika, Mashirika ya Kimataifa; Viongozi wa Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika na taasisi ya Rockefeller (M300) inayofanyika leo Januari 27, 2025 jijini Dar es salaam.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here