MOI YANUFAIKA USHIRIKIANO KIMATAIFA

Dodoma TAASISI ya Tiba ya Mifupa, Ubongo, Mgongo na Mishipa ya Fahamu Muhimbili yaendelea kuimarisha ushirikiano na Taasisi mbalimbali za kimataifa katika kufanya kambi...

WATOTO 13 WAFANYIWA UPASUAJI WA KUNYOOSHA KIBIONGO MOI

Dar es Salaam TAASISI ya Tiba ya Mifupa na ubongo Muhimbili (MOI) imehitimisha kambi maalum ya upasuaji wa kurekebisha kibiongo ambapo watoto 13 wamefanyiwa...

DK. KISENGE:WATU ZAIDI YA MIL 17 HUPOTEZA MAISHA KWA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA IKIWEMO UGONJWA WA...

Na Deborah Lemmubi, Dodoma. MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Dk. Peter Kisenge amesema zaidi ya watu miilioni 17 hupoteza maisha...

RAIS DK. MWINYI : SERIKALI IMEDHAMIRIA KUMALIZA MATATIZO YA KIAFYA WANAYOKABILIANA NAYO WANANCHI...

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali imedhamiria kumaliza Matatizo ya kiafya wanayokabiliana nayo Wananchi...

WAZAZI WALETENI WATOTO WENYE KIBIONGO WAFANYIWE UCHUNGUZI MOI

Dar es Salaam TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imetoa wito kwa wazazi au walezi wa watoto wenye tatizo la kibiongo...

WENYE MATATIZO YA MACHO WAENDELEA KUPATIWA HUDUMA ZA KIBINGWA HOSPITALI YA MWALIMU NYERERE

Na Shomari Binda-Musoma WANANCHI wenye matatizo ya macho mkoani Mara wameendelea kupata matibabu kutoka kwa madaktari bingwa kwenye hospitali ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere. Pia huduma...

TAMA KWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI,UNFPA NA CHAMA CHA WAKUNGA CANADA WAMEANDAA MAFUNZO MAALUM YA...

Na Esther Mnyika, @lajiji.co.tz CHAMA Cha Wakunga Tanzania (TAMA) kwa kushirikiana na serikali ,UNFPA na Chama cha Wakunga Canada wameanda mafunzo maalumu ya huduma...

MOI YAANZA RASMI KUFANYA UPASUAJI WA UTI WA MGONGO KWA NJIA YA MATUNDU

Dar es Salaam TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeanza rasmi kutoa huduma mpya za upasuaji uti wa mgongo kwa kutumia...

WAGONJWA 12 KUFANYIWA UPASUAJI WA MGONGO KWA KUTUMIA MATUNDU MADOGO WAKATI WA KAMBI MAALUM...

Dar es Salaam WAGONJWA 12 wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa mgongo kwa kutumia teknolojia mpya ya upasuaji kwa matundu madogo (Spine Endoscope) katika Taasisi ya...

WAANDISHI WA HABARI JIJINI DAR ES SALAAM WAPATA ELIMU YA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI VIPAUMBELE

Dar es Salaam TIMU ya Wataalamu kutoka Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Magonjwa Yaliyokuwa Hayapewi Kipaumbele (NTDCP) imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari mkoani...