WASSIRA ATEMBELEA KABURI LA BABA WA TAIFA MWL. JULIUS NYERERE BUTIAMA.
Makam Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Stephen Wassira ametembelea kaburi la Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Butiama, leo Februari...
RAIS DK.SAMIA AMEING’ARISHA CHAMWINO KIMAENDELEO – DK. BITEKO
πSerikali imewekeza zaidi ya bilioni 13 elimu ya Sekondari Chamwino
πUboreshaji wa miundombinu shilingi bilioni 17.9 zimetumika
πVijiji vyote 47 Chamwino vimewashwa umeme
πAsema Sekta ya Nishati...
NCHIMBI: CCM NA PP KUIMARISHA UHUSIANO WA TANZANIA NA ETHIOPIA
Ethiopia
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi amesema urafiki kati ya CCM na Prosperity Party, chama tawala cha...
WASIRA: CHADEMA MSIJE NA AZIMIO LINALOKIUKA SHERIA ZA NCHI YETU.
Mara
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema Chama na serikali yake haitakubaliana na azimio lolote litakalotolewa na Chama cha...
π§π¨πͺππππ§ππ πͺππ‘ππ¦πππ¦π πͺππππ’π‘πππ‘ππ¦ππ π‘π πͺππππ§ππ‘ππ¦ππ – ππ£π π ππππππ
Zanzibar
WATANZANIA wametakiwa kuachana na viongozi fitna na wachonganishi kwani wanaleta chuki na uhasama hata pale mazuri yanapofanyika.
Maneno hayo yametolewa Januari,28 2025 na katibu...
WASIRA: UAMUZI WA MKUTANO MKUU UMEZINGATIA KATIBA YA CCM
Awapa darasa wanaodai sababu ya CCM kupitisha wagombea Urais
Asema yupo tayari kuwapa somo waifahamu vyema katiba ya Chama Β
Dar es Salaam
MAKAMU Mwenyekiti wa...
WAZIRI MKUU ASISITIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI KWA WATANZANIA WOTE
*Awataka Wana-CCM kujiandaa na Uchaguzi Mkuu*Asema Wana-CCM wanaowajibu wa kueleza kwa watanzania utekelezaji wa Ilani
Rukwa
WAZIRI Mkuu amewasisitiza Watanzania wote kushirikiana na Serikali kuweka...