Dk. Walter achukua fomu kuwania jimbo la Kibamba
Sophia Kingimali, Dar es Salaam
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk.Walter Nnko, amejitokeza kuchukua fomu ya kuwania ubunge katika Jimbo la Kibamba.
Akizungumza na...
Sekreterieti ya CCM ikitathimini uchukuaji wa fomu
Na Mwandishi wetu
SEKRETARIETI ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, ikiongozwa na Mwenyekiti wake, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CCM,...
Asenga leo Juni,28 achukua fomu ya kuwani Ubunge kipindi cha pili
Na Mwandishi wetu, Morogoro
MBUNGE wa Jimbo la Kilombero kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abubakar Asenga leo Jumamosi Juni 28, 2025 amechukua fomu...
Wasira: CCM hatutaki mgombea ila tunateua wachache kati ya wengi
Na Mwandishi wetu, Mwanza
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amesema kazi iliyobaki baada ya kuvunja Bunge ni kuendesha taratibu za namna...
Museveni kuwania tena Urais Uganda 2026
Kampala, Uganda
Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, amethibitishwa kuwa atawania tena urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mapema mwaka 2026, hatua itakayoongeza muda wake...
Rais Mwinyi: Mafanikio ya Serikali yamechangiwa na Baraza la Wawakilishi
Na Mwandishi Wetu – Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema mafanikio yaliyopatikana katika Serikali ya Awamu...
Iran: Lazima Tujibu Mashambulizi ya Marekani – Waziri wa Mambo ya Nje
Tehran, Iran
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema kuwa taifa lake halina budi kujibu mashambulizi ya Marekani dhidi ya vituo vya...
Madai sita ya ACT Wazalendo kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba Mwaka huu
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
KUELEKEA kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu Oktoba Mwaka huu,Chama Cha Act Wazalendo kimeendelea kusisitiza madai sita ikiwemo Makamishna wa...
Kaeni kimya kama hamjui nchi ilikotoka-Wasira
Na Mndishi Wetu, Geita
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema tangu kupata uhuru Tanzania imepata maendeleo makubwa na kwamba...
Demokrasia sio ruhusa ya kutukana wengine-Wasira
Ruvuma
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema uwepo wa demokrasia na uhuru wa kutoa maoni sio ruhusa ya...