Dk. Walter achukua fomu kuwania jimbo la Kibamba

Sophia Kingimali, Dar es Salaam KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk.Walter Nnko, amejitokeza kuchukua fomu ya kuwania ubunge katika Jimbo la Kibamba. Akizungumza na...

Sekreterieti ya CCM ikitathimini uchukuaji wa fomu

Na Mwandishi wetu SEKRETARIETI ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, ikiongozwa na Mwenyekiti wake, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CCM,...

Asenga leo Juni,28 achukua fomu ya kuwani Ubunge kipindi cha pili

Na Mwandishi wetu, Morogoro MBUNGE wa Jimbo la Kilombero kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abubakar Asenga leo Jumamosi Juni 28, 2025 amechukua fomu...

Wasira: CCM hatutaki mgombea ila tunateua wachache kati ya wengi

Na Mwandishi wetu, Mwanza MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amesema kazi iliyobaki baada ya kuvunja Bunge ni kuendesha taratibu za namna...

Museveni kuwania tena Urais Uganda 2026

Kampala, Uganda Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, amethibitishwa kuwa atawania tena urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mapema mwaka 2026, hatua itakayoongeza muda wake...

Rais Mwinyi: Mafanikio ya Serikali yamechangiwa na Baraza la Wawakilishi

Na Mwandishi Wetu – Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema mafanikio yaliyopatikana katika Serikali ya Awamu...

Iran: Lazima Tujibu Mashambulizi ya Marekani – Waziri wa Mambo ya Nje

Tehran, Iran  Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema kuwa taifa lake halina budi kujibu mashambulizi ya Marekani dhidi ya vituo vya...

Madai sita ya ACT Wazalendo kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba Mwaka huu

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam KUELEKEA kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu Oktoba Mwaka huu,Chama Cha Act Wazalendo kimeendelea kusisitiza madai sita ikiwemo Makamishna wa...

Kaeni kimya kama hamjui nchi ilikotoka-Wasira

Na Mndishi Wetu, Geita MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema tangu kupata uhuru Tanzania imepata maendeleo makubwa na kwamba...

Demokrasia sio ruhusa ya kutukana wengine-Wasira

Ruvuma MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema uwepo wa demokrasia na uhuru wa kutoa maoni sio ruhusa ya...