WASIRA: WATANZANIA KATAENI KUYUMBISHWA NA WASIOTAKIA MEMA NCHI.
Tabora
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka Watanzania wasikubali kuyumbishwa na vyama vya siasa vyenye kuhatarisha amqni na usalama wa nchi.
Ameisitiza kuwa amani iliyopo si...
BALOZI NCHIMBI : ATOA WITO UCHAGUZI MKUU 2025
Ruvuma
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi amesema kuwa msingi wa sera za CCM utabakia kuwa ni maendeleo...
WASIRA AIHAKIKISHIA MAREKANI UCHAGUZI KUWA HURU NA HAKI
*Azungumza na Balozi wa Cuba Nchini Tanzania
Dar es Salaam
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amesema kipaumbele cha Chama wakati wote...
CCM kufadhili kitabu cha Mzee Songambele kuenzi historia ya nchi
*Balozi Nchimbi atoa neno, akimwakilisha Dk. Samia msibani
Ruvuma
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amesema kitabu alichoandika Alhaj Mzee...
KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA DAR ES SALAAM YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA...
Dar es Salaam
KAMATI ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar ea Salaam imefanya ziara ya kutembelea na kukagua ujenzi wa...
BALOZI DK. NCHIMBI: CCM HAITAVUMILIA WANAOKIUKA KANUNI
Dodoma
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, ameonya vikali wanachama wanaotafuta uteuzi wa udiwani, uwakilishi na ubunge kwa njia...
WASIRA AKUTANA NA KADINALI PROTASE RUGAMBWA TABORA
Tabora
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amekutana na kufanya mazungumzo na Muadhama Kadinali Protase Rugambwa katika Jimbo Kuu...
WASIRA AMJIBU ZITTO KABWE KUHUSU VIKAO VYA CHADEMA
Simiyu
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amemjibu Kiongozi Mstaafu wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe kuwa CCM haibishani na Chama cha Demokrasia...
WASIRA ATOA SIKU 14 KWA KAMPUNI YA GDM KUWALIPA WAKULIMA WA KAHAWA RUNGWE
Rungwe
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Steven Wasira, ameiagiza Kampuni ya GDM kuhakikisha inalipa madeni ya wakulima wa KAHAWA wa Wilaya ya Rungwe...
CCM YAMJIBU JAJI WARIOBA, YASEMA CCM HAINA MGOGORO NA CHADEMA
•CCM inaheshimu ushauri wa jaji Warioba ila bahati mbaya CCM ina mahusiano mazuri na chadema
•Wamuomba awe msuluhishi wa Mgogoro ndani ya chadema na CCM...