WASSIRA ATEMBELEA KABURI LA BABA WA TAIFA MWL. JULIUS NYERERE BUTIAMA.

Makam Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Stephen Wassira ametembelea kaburi la Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Butiama, leo Februari...

RAIS DK. SAMIA : CCM NDIO CHAMA KIKUBWA LAKINI BADO HAWAPASWI KUBWETEKA

DODOMA  MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan amesema pamoja na kazi kubwa iliyofanywa...

WASIRA AIHAKIKISHIA MAREKANI UCHAGUZI KUWA HURU NA HAKI

*Azungumza na Balozi wa Cuba Nchini Tanzania Dar es Salaam MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amesema kipaumbele cha Chama wakati wote...

JAJI WARIOBA: NAPONGEZA CCM KWA HATUA ZAKE DHIDI YA RUSHWA

Dar es Salaam MAKAMU wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba, amepongeza hatua zilizoanza kuchukuliwa na Chama Cha...

VIONGOZI CCM ACHENI KUWAHAIDI UTEUZI WAGOMBEA- MAKALLA

•Asema kuendelea kuahidi uteuzi wagombea ni Sawa na Betting mkeka unawezakuchanika Pwani KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi ( CCM),CPA Amos...

BALOZI DK. NCHIMBI: CCM HAITAVUMILIA WANAOKIUKA KANUNI

Dodoma KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, ameonya vikali wanachama wanaotafuta uteuzi wa udiwani, uwakilishi na ubunge kwa njia...

BALOZI NCHIMBI : ATOA WITO UCHAGUZI MKUU 2025

Ruvuma KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi amesema kuwa msingi wa sera za CCM utabakia kuwa ni maendeleo...

RUANGWA HATUNA DENI NA RAIS DK. SAMIA-MAJALIWA

Lindi MBUNGE wa Jimbo la Ruangwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema wakazi wa Wilaya ya Ruangwa hawana deni na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan...

BUKOMBE YATEKELEZA ILANI YA CCM KWA KISHINDO

📌 Rais Samia aleta mapinduzi ya maendeleo Geita 📌 Rais Mstaafu Kikwete asema Watanzania wana deni kwa Rais Samia mwezi Oktoba 📌 Wanachama wa CCM waaswa...

WASIRA AMJIBU ZITTO KABWE KUHUSU VIKAO VYA CHADEMA

Simiyu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amemjibu Kiongozi Mstaafu wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe kuwa CCM haibishani na Chama cha Demokrasia...