Rais Mwinyi: Mafanikio ya Serikali yamechangiwa na Baraza la Wawakilishi

Na Mwandishi Wetu – Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema mafanikio yaliyopatikana katika Serikali ya Awamu...

CCM Mkoa wa Dar es Salaam yatangaza Majina ya wagombea wa udiwani

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam KATIBU wa Siasa, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi ( CCM) Mkoa wa Dar es Salaam,...

Kwa asilimia 99.8 wajumbe wameridhia marekebisho madogo ya Katiba ya CCM

Na Mwandishi wetu, Dodoma CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kikiongozwa na Mwenyekiti wake Dk. Samia Suluhu Hassan, kimepitisha kwa kishindo marekebisho ya Katiba yake ya...

Flatei atimka ACT arejea CCM kusaka kura za ushindi

Na Mwandishi wetu, Manyara ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la Mbulu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Flatei Maasai ametangaza kurejea CCM akitokea ACT Wazalendo ambako...

Hemed: SMZ imetekeleza Ilani ya CCM kwa kishindo

*Dk Mwinyi ameweka alama ya kipekee Zanzibar Na Esther Mnyika, Lajiji-Dodoma Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar,...

JAJI WARIOBA: NAPONGEZA CCM KWA HATUA ZAKE DHIDI YA RUSHWA

Dar es Salaam MAKAMU wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba, amepongeza hatua zilizoanza kuchukuliwa na Chama Cha...

Watiania 1616 wajitokeza NLD Ubunge na Udiwani

Na Mwandishi Wetu, TANGA CHAMA cha Nation League for Democracy (NLD) kimetangaza idadi ya watia kwenye nafasi za Ubunge na Udiwani kwaajili ya kuomba ridhaa...

Wasira: CCM hatutaki mgombea ila tunateua wachache kati ya wengi

Na Mwandishi wetu, Mwanza MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amesema kazi iliyobaki baada ya kuvunja Bunge ni kuendesha taratibu za namna...

WAZIRI MKUU ASISITIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI KWA WATANZANIA WOTE

*Awataka Wana-CCM kujiandaa na Uchaguzi Mkuu*Asema Wana-CCM wanaowajibu wa kueleza kwa watanzania utekelezaji wa Ilani Rukwa WAZIRI Mkuu amewasisitiza Watanzania wote kushirikiana na Serikali kuweka...

Makalla:Tanzania na Kenya tuna uhusiano mzuri wa kihistoria

TARAKEA- ROMBO KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amesema uhusiano uliopo kati ya...