Wasira: kwa kazi kubwa aliyoifanya Dk.Samia anastahili kuchaguliwa aendelee kuongoza
Na Mwandishi Wetu,Babati
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amesema wakati wanamuombea kura mgombea urais kwa tiketi ya Chama Dk....
Katibu Mkuu wa NLD Ahudhuria Uzinduzi wa Ratiba ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025
Na Mwandishi wetu, Dodoma
KATIBU Mkuu wa Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassan Doyo, ameungana na viongozi wa vyama mbalimbali vya...
Mitano tena ni kwa Dk.Samia tu,wengine subirini kuchujwa_Wasira
Ruvuma
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, ‘Mitano Tena’ ni kwa mgombea...
BALOZI NCHIMBI AFUNGA KAZI RUVUMA
Ruvuma
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amehitimisha ziara yake ya siku tano mkoani Ruvuma, akisisitiza kuwa CCM...
Makonda avuka bahari kuzitafuta kura za Dk.Samia Zanzibar
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia CCM, Paul Makonda akizungumza na baadhi ya wafanyabiashara na wananchi katika soko la Darajani, Zanzibar huku...
Wasira: hatuahirishi Uchaguzi Mkuu ng’o
Ruvuma
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema hakitaahirisha uchaguzi ng'o kwa sababu kiliomba ridhaa ya kuongoza nchi kwa miaka mitano na kimeongoza vizuri kwa kuleta maendeleo...
Dk. Mwinyi kuendelea kuweka uwiano sawa wa maendeleo Unguja na Pemba
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi amewahakikishia wananchi wa Pemba kuwa Serikali itaendelea...
Uteuzi wa wagombea CCM kufanyika Julai, 28
Na Mwandishi wetu, Dodoma
KATIBU Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema maandalizi ya mchakato wa uchaguzi ndani...
Museveni kuwania tena Urais Uganda 2026
Kampala, Uganda
Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, amethibitishwa kuwa atawania tena urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mapema mwaka 2026, hatua itakayoongeza muda wake...
WASIRA KURINDIMA SIKU TANO MKOANI DODOMA
Anatarajiwa kuanza ziara ya kishindo kuimarisha Chama
Pia ataweka mawe ya msingi katika miradi ya maendeleo
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen...












