Mbeto:Rais Dk Mwinyi kutekeleza ahadi zote bila longolongo Zanzibar

Na Mwandishi Wetu,Zanzibar CHAMA cha Mapinduzi kimewatoa hofu Wazanzibari kuwa ahadi zote za kisera zilizoainishwa katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2025-2030 zitatekelezwa na Rais...

Makonda avuka bahari kuzitafuta kura za Dk.Samia Zanzibar

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia CCM, Paul Makonda akizungumza na baadhi ya wafanyabiashara na wananchi katika soko la Darajani, Zanzibar huku...

Dk. Samia aahidi kuanza ujenzi wa daraja na soko la kisasa Jangwani

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. Samia Suluhu...

Doyo aahidi kurejesha reli ya Masasi-Dar es Salaam

Na Mwandishi wetu, Mtwara MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo, ameahidi kuwa serikali yake,...

Gombo: Nikiwa rais kuunda tume ya kuchunguza utekaji na mauaji watu

Na Mwandishi wetu, Mbeya MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo amesema atakapoapishwa kuwa rais...

Odinga kuzikwa Jumapili Bondo

Nairobi, Kenya Kamati ya Kitaifa inayoandaa Mazishi ya Kitaifa ya Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga, imetangaza kwamba mazishi yake yatafanyika Jumapili nyumbani...

Dk. Samia kukomesha tatizo la maji Muleba kwa maji ya Ziwa Viktoria

Na Mwandishi Wetu, Kagera  Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameahidi kutatua changamoto ya...

Dk. Mwinyi aahidi nafasi zaidi za uongozi kwa watu wenye ulemavu Zanzibar

Na Mwandishi wetu, Zanzibar MGOMBEA wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuimarisha uwezeshaji wa watu wenye...

Dk.Samia ajivunia mafanikio makubwa utekelezaji wa Ilani muleba

Na Mwandishi wetu, Kagera MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali...

Tunaziongezea thamani hifadhi za Burigi Chato na Rubondo-Dk.Samia

Na Mwandishi wetu, Geita MGOMBEA wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan amesema katika...