BARAZA LA SABA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA NISHATI LAKUTANA DODOMA
📌 Dk. Kazungu asema Wizara itaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya Kimkakati.
📌 Baraza lapitisha rasimu ya bajeti ya 2025/2026 .
📌 Hoja za TUGHE zajadiliwa kwa...
SERIKALI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA WADAU WA SEKTA YA MISITU
Na Happiness Shayo - Njombe
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk. Pindi Chana amesema Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii itaendelea kushirikiana na...
MAJALIWA AAGIZA UONGEZAJI THAMANI MAZAO YA MISITU UFANYIKE NCHINI
▪️Asema Tanzania inayo teknolojia ya uchakataji mazao ya misitu.
▪️Aisistiza Wizara kuendelea kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji wa mazao ya misitu. Njombe
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa...
UFUNDI STADI UMEPEWA KIPAUMBELE NA SERIKALI – DK. BITEKO
📌 Asisitiza kuwa, Rais Samia anajenga vyuo kila wilaya nchini
📌 Apongeza utoaji wa mafunzo na ujuzi kuendana na teknolojia ya kisasa
📌 Makundi maalumu kupewa...
NACTVET YAWAHAKIKISHIA WADAU USIMAMIZI THABITI WA UBORA WA ELIMU YA UFUNDI NA AMALI
Dar es Salaam
BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) limeelezea dhamira yake kuhakikisha kuwa mafunzo ya ufundi...
MIZENGO PINDA: VIJANA TUMIENI FURSA YA MAGEUZI YA ELIMU NCHINI
Dar es salaam
WAZIRI Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda amewataka Vijana kutumia fursa ya mageuzi ya elimu nchini kwa kujiunga vyuo stahiki vya Mamlaka ya...
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAPONGEZA UJENZI WA JENGO LA WIZARA YA NISHATI –...
📌Ujenzi wafikia 94%
Dodoma
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imekagua ujenzi wa jengo la Wizara ya Nishati katika mji wa Serikali...
OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAJIZATITI KUBORESHA UWEZO WA MAWAKILI WA SERIKALI
Dar es Salaam
OFISI ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imejipanga katika kuendelea kuimarisha na kuboresha uwezo wa Mawakili wa Serikali nchini, hayo yamesemwa na...
TUJIEPUSHE KUIGA TABIA ZA KIGENI ZISIZOKUWA NA MAADILI KWA TAIFA-MAJALIWA
▪️Amsifu Askofu Kilaini asema ni kielelezo cha ujasiri, imani thabiti na kujitoa kwa jamii
Kagera
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema jamii inahitaji kufundishwa, kutambua na...
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YARIDHISHWA NA HATUA ZA UTEKELEZAJI...
📌Zaidi ya Shilingi Bilioni 21 zatumika kulipa fidia waliopisha mradi
📌Serikali yasema mradi utakamilika kwa wakati
📍IRINGA
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imefanya...