Mradi wa ujenzi wa Bomba la Mafuta (EACOP) umeleta Mapinduzi ya kiuchumi kwa wananchi...

📌Wananchi wampongeza Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mafanikio ya ujenzi wa Mradi, wafikia asilimia 64.2 📌 Timu...

Rais Dk.Mwinyi afungua jengo jipya la Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)

Na Mwandishi wetu,Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezindua rasmi Jengo jipya na la kisasa la...

Mume ashikiliwa kwa mauaji ya mkewe

Na Mwandishi wetu, Morogoro JESHI la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia James Lugembe (55), mkazi wa Kitongoji cha Manzese B, Kata ya Mkwatani, Wilaya ya...

Dk. Chana akibidhi vifaa vya kisasa kukabiliana na ujangili vyenye thamani ya shilingi...

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAZIRI Wa Maliasili Na Utalii, Balozi, Dk. Pindi Chana , amepokea na kukabidhi vifaa vya kisasa vya kusaidia kupambana na kudhibiti...

Rais Dk. Samia achangia shilingi milioni 50 ujenzi kanisa Katoliki Simiyu

*Wasira akabidhi kwa niaba ya Rais Samia Na Mwandishi wetu, Simiyu RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 50 kuchaia ujenzi wa Kanisa Katoliki...

Himizeni jamii kuzingatia misingi ya maadili-Majaliwa

Na Mwandishi wetu, Kilimanjaro WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa viongozi wa madhehebu ya dini nchini kuendelea kuihimiza jamii kuzingatia msingi ya...

Rais Dk.Mwinyi afungua rasmi awamu ya pili hoteli ya Golden Tulip

Na Mwandishi wetu, Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameipongeza kampuni ya Royal Suites Of Zanzibar...

TALIRI ipo tayari kushirikiana na wafugaji na wadau mbalimbali mifugo kubaini changamoto

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI), Profesa Erick Komba amesema taasisi hiyo ipo tayari...

Dk.Yonazi aongoza kikao cha Tanzania National Coordinating Mechanism(TNCM)

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chombo kinachosimamia utekelezaji...

Rais Dk.Mwinyi aishukuru Serikali ya Canada

Na Mwandishi wetu, Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameishukuru Serikali ya Canada kwa...