Ngasongwa: wawekezaji wa ndani ya nchi wanasimamiwa na sheria madhubuti zinazosimamia uwekezaji
Na Mwandishi wetu,Dar es Salaam
KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani Tanzania (FCC), Hadija Ngasongwa amesema wawekezaji wa ndani ya nchi wanasimamiwa na...
Vitongoji vyote 64,359 vitakuwa na umeme ifikapo 2030
📌Hadi sasa vitongoji 33,657 vimefikishiwa umeme sawa na 52.3%
📌Waliofikiwa wasisitizwa kutumia umeme kuibua fursa za kiuchumi
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
IMEELEZA kuwa hadi...
Waziri Kikwete aipa tano Ofisi ya Msajili wa Hazina
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam.
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu), Ridhiwani Kikwete, ameipongeza...
Huduma za fidia kwa Wafanyakazi si suala la hiari-Majaliwa
▪️Asema Serikali itaendelea kuhakikisha kunakuwa na ulinzi wa haki na ustawi wa wafanyakazi.
▪️Atoa wito kwa waajiri kuzingatia matakwa ya Sheria ya Fidia kwa Wafanyakazi.
▪️Aitaka...
Nishati safi ya kupikia ni ajenda ya Dunia Wizara inatekeleza kwa vitendo-Dk.Kazungu
📌Apokea Magari Mawili kutoka Umoja wa Ulaya kwa ajili ya kuanza kampeni ya kutoa elimu ya uhamasishaji wa nishati safi ya kupikia nchi nzima
📌...
UDOM yaja na mashine ya teknolojia ya uuzaji vimiminika kidigitali
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
CHUO Kikuu Dodoma (UDOM) kimekuja na mashine ya teknolojia ya uuzaji wa vimiminika kidigital ambapo imekuja...
Miradi ya Nishati Safi iache alama kwa wananchi-Kamishna Luoga
📌Afungua Mkutano wa Sita wa Kamati ya Uwekezaji miradi ya nishati safi ya kupikia
📌 Aishukuru EU na UNCDF kutekeleza ajenda ya nishati safi ya...
Serikali itaendelea kuimarisha mazingira ya ufanyaji biashara -Majaliwa
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali itaendelea kuimarisha mazingira ya ufanyaji biashara za huduma za kifedha...
DIB yahimiza wananchi kudai fidia zao kutoka Benki zilizofilisika
Na Mwandishi wetu ,Dar es Salaam
BODI ya Bima ya Amana (DIB) imewahimiza wananchi waliokuwa wateja wa benki zilizofungwa kutokana na kufilisika kujitokeza ili...
Dk.Biteko asama nishati itakayozalishwa na Nyuklia kujumuishwa Gridi ya Taifa
📌 Asema ni nishati yenye unafuu wa gharama kulinganisha na vyanzo vingine vya nishati, pia isiyochafuzi kwa mazingira.
📌 Asisitiza nyuklia kwa ajili ya kuzalisha...