Mapinduzi ya ununuzi wa umma kidijitali

Eva Ngowi, na Chedaiwe Msuya, Arusha TAASISI nunuzi zote nchini zimeelekezwa kufanya kazi kwa weledi kwa kuzingatia matumizi sahihi ya mifumo ya kidijitali katika ununuzi...

Wanufaika mikopo Elimu ya Juu kuongezeka -Majaliwa

▪️Asema Rais Dkt. Samia amedhamiria kuendelea mazingira ya Elimu ya juu. ▪️Asisitiza Samia Scholarship pia kuwafikia wengi zaidi. ▪️rais wa TAHLISO asisitiza Oktoba Wasomi wako tayari...

Evelin: Mama anayepambana na mwanaye asiye na jinsia katikati ya umasikini

Na Esther Mnyika, Lajiji-Dar es Salaam Katika pembezoni mwa jiji la Dar es Salaam, ndani ya nyumba ya bati iliyochakaa kwenye mtaa wa Mkamba, kata...

Majaliwa kuzindua Samia Legal Aid Juni, 16 Dar es Salaam

-Ataka wananchi wajitokeze kwa wingi hususani wale wenye changamoto za maswala ya kisheria. Dar es Salaam WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajia kuzindua kampeni ya msaada...

Kampeni ya pika smart inayohamasisha matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia yazinduliwa

📌 Kamishna Luoga asisitiza matumizi ya umeme katika Nishati Safi ya Kupikia Dar es Salaam KAMISHINA wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga...

Watu tisa wafariki duni,44 wajeruhiwa katika ajali ya basi na lori Morogoro

Morogoro WATU tisa wamefariki dunia papo hapo na wengine 44 kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Hai lenye namba za usajili T523 EKM...

Dk. Nchemba shilingi trilioni 56.49 kutekeleza Bajeti 2025/26

 Na Saidina Msangi, Dodoma WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba anamewasilisha Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali, ambapo ameliomba Bunge ridhaa ya kukusanya na kutumia...

Tanzania mwenyeji wa tuzo za 32 za Kimataifa za Utalii

Na Sophia Kingimali, Dar es salaam. TANZANIA inatarajiwa kuwa mwenyeji wa tuzo za 32 za kimataifa za utalii kwa kanda wa Afrika na bahari ya...

Dunia inaiangalia Tanzania na Afrika Mashariki kuwa kitovu cha utalii-Dk.Biteko

📌 Aatoa maagizo matatu kwa Wizara ya Maliasili 📌 Rais Samia aiweka Tanzania kwenye ramani ya utalii duniani 📌 Mapato ya utalii yaongezeka hadi bilioni 3.9...

Dk. Mpango Taasisi 762 zatumia nishati safi ya kupikia nchini

📌 Taasisi chini ya Wizara ya Nishati zqpewa tuzo kutambua mchango wao katika Gesi, Umeme na Nishati Jadidifu Dodoma MAKAMU wa Rais Dk. Philip Isdor...