RAIS SAMIA KUONGOZA VIKAO VYA KAMATI KUU NA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Samia Suluhu Hassan anatarajia kuongoza Vikao Vya Uongozi wa...

RAIS DK. MWINYI: UNESCO KUSAIDIA ZANZIBAR KUENDELEZA UCHUMI WA BULUU

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amelishauri Shirika la Elimu , Sayansi na Utamaduni la Umoja wa...

RAIS DK.SAMIA AWASILI NCHINI KENYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairobi tayari kwa...

ZARI THE BOSS LADY KESHO ANATARAJIA KUTOA MSAADA HOSPITALI

MPENZi wa zamani wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, Zarina Hassan maarufu The Boss Lady, anatarajiwa kutoa msaada kwa wanawake waliojifungua kwenye Hospitali...

RAIS DK. MWINYI: MKUTANO WA MAJAJI (SEACFJ) NI FURSA MUHIMU ZANZIBAR

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Majaji Wakuu wa Nchi za...

“WANANCHI TEMBELEENI BANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU, TUPO TAYARI KUWAHUDUMIA” DK. YONAZI

DAR ES SALAAM KATIBU Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dk. Jim Yonazi amesema kuwa Ofisi ya Waziri Mkuu...

CBE KUTOA MASTERS KWA NJIA YA MTANDAO

Dar es Salaam MKUU wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Profesa Tandi Luoga amesema chuo hicho kwa sasa kimekuja kivingine kwani kimeanza...

MATINYI AMESEMA UCHUMI WA TANZANIA UMEENDELEA KUKUA LICHA YA ATHARI KUBWA ZA UVIKO-19

Na Mwandishi wetu Mkurugenzi wa Idara ya HabariMaelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema uchumi wa Tanzania umeendelea kukua licha ya athari...

WAZIRI MKUU AWASILI MSUMBIJI KUMWAKILISHA RAIS DK. SAMIA UAPISHO WA RAIS CHAPO.

Msumbiji WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Januari 14, 2025 amewasili Maputo nchini Msumbuji ambapo atamwakilisha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika uapisho wa Rais...

RC CHALAMILA “ZOEZI LA UOKOAJI MAJERUHI KARIAKOO LINAENDELEA HAKUNA KILICHOSIMAMA”

-Ataja idadi ya majeruhi na waliopoteza maisha kwa mujibu wa taarifa za kidakitari -Asema juhudi kubwa za uokoaji zinaendelea taarifa nyingine itatolewa saa 4:30 usiku Dar...