MGODI WA MAGAMBAZI KUZALISHA KILO 25 ZA DHAHABU KWA MWEZI IFIKAPO AGOSTI 2024
*Unamilikiwa na Watanzania kwa asilimia 100
*Utafiti umebaini uwepo wa mashapo ya dhahabu kiasi cha tani 21.7
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
KAMPUNI ya PMM Tanzania Limited...
RAIS SAMIA AMEDHAMIRIA KUIFUNGUA KIGOMA – DK. BITEKO
πBarabara ya Kakonko hadi Mpaka wa Burundi Kujengwa kwa Lami
π Atembelea Hospitali ya Wilaya Kakonko
πAhimiza Wananchi Kuendelea Kufanyakazi kwa Bidii
π Kakonko Yazalisha Chakula Ziada...
RAIS DK.SAMIA ASHIRIKI MAHAFALI YA NDC KOZI YA 12 KWA MWAKA 2023/24.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akishiriki Mahafali ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC) Kozi ya 12 kwa...
DK.NDUMBARO AKABIDHI ZAIDI YA VITABU 1900 SONGEA BOYS.
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Damas Ndumbaro leo Septemba 21, 2024 Mjini Songea amekabidhi Zaidi ya vitabu 1900 vya masomo mbalimbali katika...
ELIMU YA USAFIRISHAJI WA KEMIKALI BADO NI MUHIMU KWA WATANZANIA
Dodoma
IMEELEZWA kuwa sekta binafsi bado inachangamoto kwenye utoaji wa elimu kwa Wafanyakazi wao na jamii inayowazunguka juu ya madhara ya kemikali na hatua...
WIZARA YA NISHATI YATAJA VIPAUMBELE VYA BAJETI YA MWAKA 2025/2026
π Rukwa, Kagera, Lindi. Mtwara kuunganishwa na gridi ya Taifa.
π Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kuendelea kuhamasishwa
π Serikali kuendelea kuimarisha utendaji wa Taasisi,...
SERIKALI KUJENGA MTANDAO MKUBWA WA MABOMBA YA GESI-DK.BITEKO
π Asema lengo ni kurahisisha huduma kwa Wananchi
π Afanya mazungumzo na kampuni Rashal Energies inayojenga Bomba la Gesi Kisemvule-Mbagala
π Aikaribisha kampuni ya CNOOC ya...
RAIS DK.SAMIA APONGEZA USHIRIKI WA TAWA KIZIMKAZI
Zanzibar
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amekabidhi cheti cha pongezi kwa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) kutokana na ushiriki wake wa kipekee...
RAIS SAMIA: TUSITETERESHE UCHUMI, SOKO HUPANDA NA KUSHUKA
Ruvuma
WAKULIMA nchini wamehaswa kutunza fedha pale wanapouza nafaka zao kwa bei nzuri ili soko linaposhuka wawe na hifadhi ya kutosha. Wameelezwa kuwa bei...
RAIS DK. MWINYI: MKUTANO WA MAJAJI (SEACFJ) NI FURSA MUHIMU ZANZIBAR
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Majaji Wakuu wa Nchi za...