WAZAZI PELEKENI VIJANA WENU SHULE – MAJALIWA

Lindi WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wazazi wahakikishe vijana wao wanakwenda kusoma kwenye shule za sekondari kwani bila elimu hawawezi kufika mbali. Waziri Mkuu Majaliwa ambaye...

DK. BITEKO AWATAKA VIONGOZI KUSHIRIKIANA KUCHOCHEA MAENDELEO

📌Awataka kuwajenga wananchi sio kuwagawa 📌Asema Rais Samia amerahisisha upatikanaji wa maendeleo Geita NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka viongozi kushirikiana na...

RAIS DK.SAMIA ASHIRIKI KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA 6O YA JESHI LA POLISI.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dk. Samia Suluhu Hassan ashiriki kwenye kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya...

MIZENGO PINDA: VIJANA TUMIENI FURSA YA MAGEUZI YA ELIMU NCHINI

Dar es salaam WAZIRI Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda amewataka Vijana kutumia fursa ya mageuzi ya elimu nchini kwa kujiunga vyuo stahiki vya Mamlaka ya...

BASHUNGWA AWAJULIA HALI MAJERUHI AJALI BIHARAMULO, ABIRIA 11 WAPOTEZA MAISHA NA MAJERUHI 16.

Kagera WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amefika eneo ilipotokea ajali ya basi la abiria lenye namba za usajili T857 DHW,...

WATUMISHI TUME YA MADINI WAJENGEWA UWEZO MATUMIZI YA MASHINE ZA KUPIMA MADINI YA METALI

Katibu Mtendaji awataka kuendelea kuchapa kazi kwa kujituma na uadilifu Dodoma KATIBU Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Ramadhani Lwamo amewataka watumishi wa Tume kufanya...

WAPIGA KURA WAPYA 224,355 KUANDIKISHWA KIGOMA

Na Mwandishi wetu, Kigoma WAPIGA kura wapya 224,355 wanatarajiwa kuandikishwa mkoani Kigoma wakati wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaotarajiwa...

RAIS DK.SAMIA AZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wafanyabiashara na Wawekezaji katika Jukwaa la Wafanyabiashara wa Tanzania na Uturuki lililofanyika...

Dk. Mwinyi aeleza majuto yake kwa Charles Hilary, atoa wito kwa waajiri

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameeleza kwa masikitiko majuto yake ya kutomweleza mapema...

TRA TAASISI YA KWANZA KUTAMBUA NGUVU YA DIGITAL PLATFORM📌

Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) wamekutana na waandishi wa habari wa mtandaoni katika Semina waliyoiandaa kwa kushirikiana na Jukwaa la Wanahabari wa mtandaoni (JUMIKITA)...