RAIS SAMIA ABAINISHA MIKAKATI YA TAARIFA YA MAPENDEKEZO YA TUME YA HAKI JINAI YAGUSIA...

Dodoma RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan amewapongeza na kuwashukuru Waziri Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) George Mkuchika na Jaji mstaafu Joseph Warioba...

VISWASWADU KUTUMIKA KUBORESHA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

Na Mwandishi wetu WAPIGA kura waliopo kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wataweza kutumia simu zao ndogo za mkononi (vitochi au viswaswadu) kuanzisha...

SERIKALI KUPITIA UPYA MASILAHI YA WALIMU.

Dodoma RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan Ameitaka Wizara ya Fedha, Wizara ya Mipango na Uwekezaji, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na Ofisi...

FRIENDS OF SERENGETI YATOA UFADHILI WA VIFAA VYA DORIA VYENYE THAMANI YA ZAIDI YA...

Na Beatus Maganja, Arusha. KATIKA kuunga mkono jitihada za Serikali za kuhifadhi na kulinda rasilimali za wanyamapori nchini ikiwa ni pamoja na kudhibiti wa wanyama...

RAIS DK.MWINYI ATUNUKIWA SHAHADA YA HESHIMA ZANZIBAR

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ametunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu ya Chuo Kikuu cha Zanzibar. Chuo...

WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI COMORO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Mei 9, 2024 amezungumza na Balozi wa Tanzania nchini Comoro, Said Othman Yakubu kwenye ukumbi wa Spika, bungeni jijini...

MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI 19.9 KUPITIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MOROGORO

Na Mwandishi wetu, Morogoro JUMLA ya miradi 70 yenye thamani ya shilingi bilioni 19.9 itapitiwa na mbio za mwenge ambapo miradi 18 itawekewa mawe...

DKT. BITEKO MGENI RASMI UFUNGUZI WA MKUTANO WA KIMATAIFA WA AFYA YA MSINGI

Na Mwandishi wetu, Dodoma NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati MDkt. Doto Biteko leo Machi, 24 2024 anashiriki katika ufunguzi wa Mkutano wa...

WAZIRI MKUU AKUTANA NA MJUMBE WA KAMATI KUU YA CPC

Dar es Salaam WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa Leo Juni 21, 2024 amekutana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China na...

DK. NCHEMBA AZINDUA MFUMO WA KIELETRONIKI WA FORODHA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

Na Benny Mwaipaja, Arusha WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba amewaongoza Mawaziri wa Nchi nyingine wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika uzinduzi wa Mfumo...