WAZIRI MKUU AMUWAKILISHA RAIS DK. SAMIA KWENYE MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA KIST

Arusha WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Agosti 27, 2024 anamuwakilisha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika  Maadhimisho ya  miaka 50 ya  Idara ya Ujenzi...

BUNGE LAPITISHA NYONGEZA YA BAJETI YA SHILINGI BILIONI 945.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

Dodoma BUNGE limepitisha nyongeza ya mapato na matumizi ya jumla ya shilingi bilioni 945.7 kwa ajili ya kuongeza kwenye Bajeti ya Serikali ya mwaka...

UDOM yaja na mashine ya teknolojia ya uuzaji vimiminika kidigitali

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam CHUO Kikuu Dodoma (UDOM) kimekuja na mashine ya teknolojia ya uuzaji wa vimiminika kidigital ambapo imekuja...

MTENDAJI MKUU TARURA AAGIZA USANIFU UPYA DARAJA LA BIBI TITI MOHAMMED-MOHORO

Na Mwandishi wetu, Rufiji MTENDAJI Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff ameagiza timu ya wataalamu wa TARURA Makao...

RAIS DK. MWINYI: SMZ KUJENGA BARABARA ZA MIJINI NA VIJIJINI

Zanzibar MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, MDk. Hussein Ali Mwinyi, amewahakikishia wananchi kuwa Serikali inaendelea...

SERIKALI YA SMT NA SMZ ZITAENDELEA NA JUHUDI ZA KUIMARISHA DHANA YA UFUATILIAJI NA...

Zanzibar SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SJMT) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) zitaendelea na juhudi za kuimarisha dhana ya Ufuatiliaji...

TUULINDE MUUNGANO NA TUUDUMISHE-DK.MWINYI

Na Mwandishi wetu,Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema ni wajibu kuulinda Muungano, kuuendeleza, kuudumisha na kuimarisha...

KUELEKEA SHEREHE ZA MAULID KIMKOA SIMIYU WAZAZI NA WALEZI WAHIMIZWA ELIMU YA DINI KWA...

Na Shomari Binda-Simiyu SHEKH wa mkoa wa Simiyu Issa Kwezi amewahimiza wazazi na walezi kuipa umuhimu elimu ya dini kwa kuwapeleka watoto madrasa. Kauli hiyo ameitoa...

ZAIDI YA Sh1.6 BILLIONI KUKAMILISHA MIRADI SITA YA MAENDELEO WILAYANI MWANGA

Ashrack Miraji,Same Mkuu wa Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro,Abdallaah Mwaipaya amesema jumla ya miradi Sita ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni...

WIZARA YA NISHATI YAKABIDHI GARI LA KUBEBEA NGUZO ZA UMEME MBINGA

📌 Kapinga asema lengo ni kuboresha utoaji huduma kwa wananchi 📌 Asema chini ya uongozi wa Dkt.Biteko huduma zitaendelea kuboreshwa 📌 Kituo cha kupoza umeme kujengwa...