TMA YATOA UTABIRI MWELEKEO WA MVUA ZA MSIMU WA VULI MWEZI OCTOBA HADI DISEMBA,2024
Dar es salaam
MAMLAKA ya Hali ya Hewa (TMA) imesema kuanzia Octoba hadi Desemba 2024 mvua za chini ya wastani wa katika maeneo mengi zinatarajiwa...
NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII ANAYESHUGHULIKIA UTALII AMETEMBELEA MABANDA MBALIMBALI...
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii (anayeshughulikia Utalii), Nkoba Mabula leo Julai mosi 2024 ametembelea mabanda mbalimbali ya wizara hiyo yaliyopo kwenye...
Pinda :Sekta ya ufugaji wa nguruwe ni kichocheo muhimu cha usalama wa chakula, lishe...
Na Florah Amon, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda, leo amezindua Kongamano la Kwanza la Kimataifa la Ufugaji wa Nguruwe, linalofanyika jijini...
MADIWANI MAGU WATAKA JIMBO LAO KUGAWANYWA
Na Mwandishi wetu, Magu
BARAZA la Madiwani wilayani Magu Mkoani Mwanza limekubaliana kugawa Jimbo la Magu kuwa Majimbo mawili kutokana na ukubwa wake wa kijografia...
TMA YATOA TAARIFA YA MWELEKEO WA MSIMU WA MVUA ZA MASIKA
Dar es salaam
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema Mvua za Masika zinatarajiwa kuanza mwezi Machi 2025 katika maeneo yanayopata misimu miwili ya...
JELA MIAKA 30 KWA KUMBAKA BINTI WA MIAKA 14 WILAYANI MASWA
Na Shomari Binda-Maswa
MAHAKAMA ya Hakimu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemtia hatiani mshitakiwa Beatus Manon mwenye umri wa miaka 26 mkazi wa Kijiji...
MENEJA TRA KIBONDO AKAMATWA NA MENO YA TEMBO
Kigoma
JESHI la Polisi Wilaya ya Kibondo Mkoa wa Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma...
WAVUVI WA PWEZA MKINGA WACHEKELEA KUVUA TANI 2.5 KWA SIKU, MWAMBAO,NORAD WAAHIDI NEEMA ZAIDI.
Na Boniface Gideon, MKINGA
WAVUVI wa Samaki aina ya Pweza kutoka Vijiji vya Boma Kichakamiba,Boma Subutuni na Moa wameweka historia baada ya kuvua Kilogram.2284...
SERIKALI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA TAASISI BINAFSI ZA ELIMU-KAPINGA
📌 Alipongeza Kanisa Katoliki kwa utoaji wa huduma za kijamii
📌 Aasa Wanafunzi kuwa Waaminifu na Waadilifu
Ruvuma
NAIBU Waziri Nishati, Judith Kapinga amesemaSerikali itaendelea kuwaunga...
TANZANIA YAUNGWA MKONO NA SADC KWA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Angola
NAIBU Waziri wa Nishati Mheshimiwa Judith Kapinga amesema kuwa Tanzania imezindua Programu ya Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia ya kuwasaidia Wanawake wa Afrika...












