CHUO CHA FURAHIKA KUJA NA KOZI MPYA YA UKONDAKTA WA MABASI KWA WANAWAKE.

Na Sophia Kingimali, Dar es Salaam CHUO cha Ufundi Stadi cha Furahika (VETA) kimeanzisha program mpya ya kuwafundisha watoto wa kike masuala ya...

NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII ANAYESHUGHULIKIA UTALII AMETEMBELEA MABANDA MBALIMBALI...

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii (anayeshughulikia Utalii), Nkoba Mabula leo Julai mosi 2024 ametembelea mabanda mbalimbali ya wizara hiyo yaliyopo kwenye...

MADIWANI MAGU WATAKA JIMBO LAO KUGAWANYWA

Na Mwandishi wetu, Magu BARAZA la Madiwani wilayani Magu Mkoani Mwanza limekubaliana kugawa Jimbo la Magu kuwa Majimbo mawili kutokana na ukubwa wake wa kijografia...

TMA YATOA TAARIFA YA MWELEKEO WA MSIMU WA MVUA ZA MASIKA

Dar es salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema Mvua za Masika zinatarajiwa kuanza mwezi Machi 2025 katika maeneo yanayopata misimu miwili ya...

JELA MIAKA 30 KWA KUMBAKA BINTI WA MIAKA 14 WILAYANI MASWA

Na Shomari Binda-Maswa MAHAKAMA ya Hakimu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemtia hatiani mshitakiwa Beatus Manon mwenye umri wa miaka 26 mkazi wa Kijiji...

SERIKALI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA TAASISI BINAFSI ZA ELIMU-KAPINGA

📌 Alipongeza Kanisa Katoliki kwa utoaji wa huduma za kijamii 📌 Aasa Wanafunzi kuwa Waaminifu na Waadilifu Ruvuma NAIBU Waziri Nishati, Judith Kapinga amesemaSerikali itaendelea kuwaunga...

MENEJA TRA KIBONDO AKAMATWA NA MENO YA TEMBO

Kigoma JESHI la Polisi Wilaya ya Kibondo Mkoa wa Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma...

TANZANIA YAUNGWA MKONO NA SADC KWA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Angola NAIBU Waziri wa Nishati Mheshimiwa Judith Kapinga amesema kuwa Tanzania imezindua Programu ya Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia ya kuwasaidia Wanawake wa Afrika...

WAVUVI WA PWEZA MKINGA WACHEKELEA KUVUA TANI 2.5 KWA SIKU, MWAMBAO,NORAD WAAHIDI NEEMA ZAIDI.

Na Boniface Gideon, MKINGA WAVUVI wa Samaki aina ya Pweza kutoka Vijiji vya Boma Kichakamiba,Boma Subutuni na Moa wameweka historia baada ya kuvua Kilogram.2284...

WEZESHENI WATU VYA KUTOSHA WATUMIE GESI KWENYE MAGARI; YASEMA KAMATI YA BUNGE

📌 Yaitaka TPDC kuongeza vituo vya kujaza gesi 📌 Yaitaka pia kuongeza karakana za kuweka mifumo ya CNG 📌 Wizara ya Nishati yaahidi kuendelea kuiwezesha TPDC...