CCM yaahidi ajira sekta ya elimu 7000 na afya 5000

Na Mwandishi wetu, Mwanza MGOMBEA Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema miongoni mwa mipango kazi ya miaka mitano...

Kailima aongoza INEC Kutoa fomu za uteuzi kwa wagombea Urais na Makamu wa Rais

Na Mwandishi wetu, Dodoma MKURUGENZI wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhani Kailima akiongoza watumishi wa Tume kuondoa fomu za...

Tanzania Yatajwa Kitovu cha Ushirikiano Mpya kati ya Afrika na Singapore

Na Mwandishi wetu TANZANIA imewekwa katika nafasi ya kimkakati kunufaika na ushirikiano mpya kati ya Afrika na Singapore, hasa kutokana na rasilimali zake, soko...

Serikali Yasistiza Ushirikiano na Sekta Binafsi Katika Utekelezaji wa ASDP II

Na Mwandishi wetu , Dodoma SERIKALI imesisitiza umuhimu wa ushirikiano wa karibu kati ya sekta ya umma na sekta binafsi katika utekelezaji wa Programu...

Waziri Mkuu alipongeza jeshi la Magereza urasimishaji ujuzi kwa wafungwa

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amelipongeza Jeshi la Magereza Tanzania kwa kufanya urasimishaji wa ujuzi wanaoupata wafungwa kupitia VETA...

Ahadi ya serikali kufikisha umeme wa gridi Kagera yatekelezwa

📌 Dkt.Biteko ashuhudia utiaji saini mikataba itakayowezesha Wilaya zote Kagera kupata umeme wa Gridi 📌 Awali umeme mwingi ulikuwa ukitoka nchini Uganda hivyo kufanya Mkoa...

Majaliwa: elimu ya watu wazima ni zana ya maendeleo endelevu.

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema elimu ya watu wazima sio tu elimu ya masomo ya kawaida, bali ni...

Tanzania kuwa kinara wa utoaji wa huduma za kimaabara Afrika Mashariki na Kati

▪️Waziri Mavunde aweka jiwe la Msingi wa Ujenzi wa Maabara ya kisasa ▪️Ni maabara kubwa ya uchunguzi wa sampuli za madini Afrika Mashariki ▪️Kugharimu Tsh Bilioni...

Lukuvi atoa maagizo ya Rais Dk. Samia ajali ya mgodi Nyandolwa

Na Mwandishi wetu, Shinyanga WAZIRI wa nchi Ofisi ya waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge William Lukuvi akimwakilisha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ametoa...

Bodi ya Bima ya Amana yapata Mkurugenzi Mkuu

Na Mwandishi wetu BODI ya Wakurugenzi ya Bodi ya Bima ya Amana (DIB) imemteua Bw. Isack Nikodem Kihwili kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya...