TMA yatangaza mwelekeo wa mvua za masika Machi–Mei 2026
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa mwelekeo wa mvua za Masika kwa kipindi cha Machi hadi Mei,...
Watanzania watakiwa kushiriki kudhibiti silaha
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura amewataka watanzania wote kushiriki katika jukumu la udhibiti na usimamizi...
EWURA yatangaza bei za mafuta Februari 2026 dizeli yashuka
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta zitakazotumika nchini kuanzia Februari...
Serikali kununua matrekta 10000-Dk. Mwigulu
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imepanga kununua matrekta 10,000 na kuanzisha vituo jumuishi 1,000 vya huduma za...
Chuo Kikuu Mzumbe kuzingea uwezo taasisi za serikali zinazotekeleza Miradi ya Benki ya...
Na Esther Mnyika,Dar es Salaam
CHUO Kikuu Mzumbe, kampasi ya Dar es Salaam, kimefungua rasmi mafunzo ya kujengea uwezo kwa taasisi mbalimbali za serikali zinazotekeleza...
Mavunde azindua urushwaji wa helikopta ya utafiti wa kina wa madini
▪️Ni utafiti utakaofanywa na Kampuni ya Barrick kwa ajili ya uanzishwaji wa mgodi mpya
▪️Utagusa maeneo ya Msalala, Nzega,Nyangh’wale, Igunga na Mbogwe
▪️Waziri Mavunde aelekeza wachimbaji...
Ufaulu kidato cha nne 2025 wapanda kwa asilimia 2.61
Na Esther Mnyika, Dar es Salama
BARAZA la mitihani Tanzania (NECTA) leo Januari 31 2026 jijini Dar es Salaam limetangaza matokeo ya kidato cha nne...
Samia Scholarship yachochea uwekezaji wa sayansi na teknolojia
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, amesema wanafunzi wanaopata fursa ya kusoma nje ya nchi wanapaswa...
BoT: Hatuuzi dhahabu kufadhili miradi ya serikali
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imekanusha taarifa zinazosambaa kwenye mtandaoni ya kijamii zikidai kuwa BoT ina mpango wa...
Rais Dk.Samia azindua mkakati wa Kitaifa kkk kwa elimu ya awali na wanafunzi darasa...
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
NDANI ya siku 100 tangu aanze utekelezaji wa ahadi zake alizozitoa wakati wa kampeni za uchaguzi, Rais Dk....












