Bil. 21.9/- za TACTIC Kujenga Kilomita 8.4 za Barabara Manispaa ya Mpanda
Na Mwandishi wetu, Mpanda
HALMASHAURI ya Manispaa ya Mpanda na Mkandarasi M/s Chonqing International Construction Corporation (CICO), wametiliana saini mkataba wa ujenzi wa barabara za...
Tanesco yaokoa upotevu wa mapato ya shilingi bilioni 1.7 kupitia zoezi la ukaguzi wa...
📌 Jumla ya wateja 1,700 wamebainika kutumia umeme kinyume na taratibu.
📌 Yatoa onyo kali kwa wateja wanaofanya udanganyifu kurejesha umeme kwa kutumia vishoka baada...
Viongozi wa Dini Kanda ya Kusini wataka ulinzi amani, kujitokeza upigaji kura
Na Mwandishi Wetu, Lindi
VIONGOZI wa dini mbalimbali kutoka mikoa ya Kanda ya Kusini wamewataka vijana nchini kuendelea kulinda amani ya Taifa, kuacha kutegemea taarifa...
Wananchi wajitokeze kwa wingi kupiga kura Oktoba,29
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
MUUNGANIKO wa Asasi za Kiraia Wanawake na Watetezi wa Usawa wa kijinsia hususan wanawake na vijana umeto...
Maaskofu, Masheikh nyandaza juu wahimiza uchaguzi wa amani
Na Mwandishi Wetu, Mbeya
VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wamewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kushiriki Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29,...
Mradi wa Taza kufungua soko jipya la biashara ya umeme Afrika
📌 Wafikia asilimia 83
📌Dkt. Mataragio akagua mradi na kutoa maelekezo TANESCO
📌 TAZA kuunganisha Mkoa wa Rukwa na gridi ya Taifa
📌 Kuimarisha upatikanaji umeme Mikoa...
Asilimia 83 ya watanzania wathibitisha kupiga kura Oktoba 29
Na Mwandishi wetu ,Dar es salaam
TAKWIMU zinaonyesha asilimia 83 ya Wananchi walioshiriki kura ya maoni kutoka Mikoa 19 wamethibitisha kushiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa Kufanyika...
Viongozi wa dini Kaskazini wahimiza amani kuelekea Uchaguzi Mkuu
Na Mwandishi Wetu, Moshi
VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya kanda ya kaskazini, wamewataka Watanzania kulinda amani ya nchi, hasa taifa linapoelekea katika Uchaguzi Mkuu,...
Tanesco yatekeleza mafanikio programu ya” Konekt Umeme,Pika kwa umeme nchi nzima
Na Mwandishi wetu.
SIKU chache baada ya uzinduzi rasmi wa programu maalum ya Konekt Umeme, Pika kwa Umeme uliofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar...
UDSM yaboresha tehama kupitia mradi wa heet
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeboresha kwa kiwango kikubwa miundombinu yake ya TEHAMA kupitia Mradi wa...












