WAZIRI KABUDI AITAMBULISHA RASMI BODI YA ITHIBATI BUNGENI
Dodoma
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi, ameitambulisha rasmi Bungeni Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) na kubainisha...
SHULE 216 ZA SERIKALI ZATUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA-KAPINGA
📌 REA yapata kibali kufunga miundombinu ya nishati safi ya kupikia katika Shule 115
Dodoma
NAIBU Waziri Nishati, Judith Kapinga amesema hadi kufikia mwezi Machi...
KONGAMANO LA KWANZA LA NISHATI SAFI YA KUPIKIA AFRIKA MASHARIKI LAFANYIKA ARUSHA
📌 Tanzania yapongezwa kuwa kinara utekelezaji Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia
📌 Kamishna Luoga aeleza hatua zinazochukuliwa na Serikali kuwezesha wananchi kutumia Nishati Safi...
MAHAKAMA YAAMURU LISSU AFIKISHWE MAHAKAMANI MEI 19 MWAKA HUU
Dar es Salaam
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu afikishwe mahakamani hapo Mei 19,...
KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA DAR ES SALAAM YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA...
Dar es Salaam
KAMATI ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar ea Salaam imefanya ziara ya kutembelea na kukagua ujenzi wa...
WAZIRI CHANA AZINDUA MRADI WA DOLA MILIONI 5.8 KUHIFADHI MISITU YA ASILIA
Pwani
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk. Pindi Chana amezindua mradi wa 'Kuimarisha Ustahimilivu wa Bioanuai ya Misitu ya Mazingira Asilia Tanzania...
TUMEDHAMIRIA KUWAINUA KIUCHUMI WACHIMBAJI WADOGO-MAJALIWA
▪️Asema Rais Dk. Samia ni alama ya ukuaji wa Sekta ya Madini
Lindi
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa...
JAJI MUTUNGI : VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA KUHIMIZA WANANCHI NA WANACHAMA WAO KUFUATA...
Dar es Salaam
MSAJILI wa Vyama Vya Siasa, Jaji Francis Mutungi amewataka viongozi wa vyama vya siasa kuwahimiza wananchi wakiwemo wanachama wao, kufuata sheria...
SEKTA YA NISHATI IPO SALAMA CHINI YA RAIS SAMIA – DK. BITEKO
📌Akagua Kituo cha Kupoza umeme - Urambo
📌Amshukuru mama Sitta kwa mchango wake katika mradi
📌Aipongeza TANESCO na ETDCO kwa kukamilisha mradi kwa ufanisi
📌Urambo yapata umeme...
TEF YATOA TAHADARI KWA WAANDISHI WA HABARI ZA MAHAKAMANI
Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile ameshauri waandishi wa habari kuwa na alama za utambuzi wakati wa kuripoti...