Waziri Mkuu aagana na Balozi wa Angola aliyemaliza muda wake nchini
▪️Ampongeza kwa kutumikia nchi yake kwa mafanikio makubwa ya kidiplomasia nchini.▪️Balozi de Oliveira asema Angola itaendelea kuwa mshirika wa karibu wa Tanzania. Na Mwandishi wetu,...
Wizara ya Nishati tembeeni kifua mbele mnafanya kazi nzuri-Dk. Biteko
📌Asema Nishati ni Sekta inayokua kwa kasi; anajivunia kufanya nayo kazi
📌Asema Rais Samia amekuwa mstari wa mbele kuiwezesha Sekta kusonga mbele
📌 Afunga rasmi Nishati...
Mama Mariam Mwinyi akutana na Mwenyekiti wa Equity Foundation
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
MKE wa Rais wa Zanzibar, Msarifu na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF), Mama Mariam...
Rais Dk.Mwinyi awatunuku Kamisheni Maafisa wapya 164 Mkupuo wa 06
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambaye pia ni Kamanda Mkuu wa Idara Maalum za SMZ, Dk....
Majaliwa azindua mitambo ya shilingi bilioni 12.4 kwaajili ya wachimbaji wadogo
▪️Ni kwa ajili ya uchorongaji na utafiti wa madini.
▪️Asema ni mwendelezo wa juhudi za Rais Dk. Samia kuboresha shughuli za wachimbaji wadogo▪️
▪️Atoa wito kwa...
Chalamila:Wenyeviti wa Serikali za Mitaa kuhakikisha wananchi kulinda miundombinu ya umeme katika mitaa yao.
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewataka Wenyeviti wa Serikali za Mitaa wa Halmashauri ...
Rais Mwinyi: Mafanikio ya Serikali yamechangiwa na Baraza la Wawakilishi
Na Mwandishi Wetu – Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema mafanikio yaliyopatikana katika Serikali ya Awamu...
Rais Dk.Mwinyi: Mafanikio ya serikali yametokana mchango wa Baraza la Wawakilishi
Mwandishi wetu, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa mafanikio makubwa yaliyopatikana katika Serikali ya...
Majaliwa azipa wiki tano taasisi za serikali kujiunga na mfumo unaowezesha Serikali kuwasiliana
Na,Mwandishi wetu, Dodoma
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameziagiza taasisi za Serikali ambazo hazijajiunga na mfumo wa kielektroni utakaowezesha mifumo ya Serikali kuwasiliana (GovESB) kujiunga...
Tumeendelea kuwekeza kimkakati katika sekta ya kilimo-Dk. Biteko
📌Wataalamu kutoka Asia na Afrika wakutana kutafuta suhulu za kilimo, lishe na afya
📌WHO yasema watoto na wanawake waendelea kukumbwa na ukosefu wa virutubisho
📌Serikali kuendelea...