TANZANIA IMEJIPANGA MAANDALIZI CHAN NA AFCON – MAJALIWA.

Dodoma WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imejipanga vyema kukamilisha maandalizi yote muhimu ikiwemo miundombinu kwa ajili ya Michuano ya Mpira wa Miguu kwa...

SIMBA SC YAICHAPA CS CONSTANTINE 2-0 YAMALIZA KUNDI KILELENI

Dar es Salaam TIMU ya Simba SC ya Tanzania imeonyesha ubora wa soka dhidi ya Timu ya CS Constantine_officiel  kutoka Tunisia mara baada ya...

WATANZANIA KUNUFAIKA NA MASHINDANO YA CHAN 2025, AFCON 2027

đź“ŚMashindano yameipa heshima Tanzania kimataifa đź“ŚRais Samia kinara wa Michezo nchini Dar es Salaam WATANZANIA watanufaika na fursa mbalimbali za kiuchumi na kijamii zitakazopatikana kuelekea mashindano...

RAIS DK. MWINYI AIPA SHILINGI MILIONI 50 ZANZIBAR HEROES

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk,Hussein Ali Mwinyi ameizawadia Timu ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes shilingi milioni 50...

DK.MWINYI : ZANZIBAR KUZALISHA VIPAJI VYA VIJANA WENYE UWEZO WA KUCHEZA NJE YA NCHI

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema umefika wakati kwa Zanzibar kuzalisha vipaji vya vijana watakaokuwa...

HAKIKISHENI MABONDIA WANANUFAIKA NA VIPAJI VYAO-MAJALIWA

Rais Dk. Samia apiga simu, awataka mabondia Watanzania kuibeba bendera ya Tanzania kwenye tukio hilo Dar es Salaam WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya...

MAJALIWA AHITIMISHA JIMBO CUP RUANGWA.

Kiwengwa FC yaibuka bingwa wa michuano hiyo. Lindi WAZIRI Mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa ameshuhudia mchezo wa fainali ya kombe la jimbo...

VYUO VIKUU DAR VYATAMBULISHA TAMASHA LA UNIFEST 255

Dar es Salaam TAASISI ya Elimu ya Juu na Vyuo na Vyuo Vikuu Tanzania (TAHLISO), imeandaa tamasha la burudani ya muziki na komedi kwa...

TIMU YA MWIGOBERO YAPOTEZA MCHEZO WA PILI MASHINDANO YA MATHAYO CUP 2024 MUSOMA

Na Shomari Binda-Musoma TIMU ya Mwigobero fc imepoteza mchezo wake wa pili kwenye mashindano ya Mathayo Cup 2024 yanayoendelea kutimua vumbi mjini Musoma. Kipigo hicho cha...

KIVUMBI MATHAYO CUP 2024 KUANZA KUTIMUA VUMBI KESHO UWANJA WA POSTA MUSOMA

Na Shomari Binda-Musoma MASHINDANO ya kombe la Mathayo Cup 2024 yanaanza kutimua vumbi kesho novemba 3 kwenye ueanja wa Posta manispaa ya Musoma. Mathayo Cup yamekuwa...