Simba yadai kutoshiriki mchezo mwingine na Yanga isipokuwa Juni 15.

Na Mwandishi wetu KLABU ya Simba imesema itaingia uwanjani Juni 15, 2025 kwa ajili ya kushiriki mchezo namba 184 dhidi ya Yanga SC...

Waziri Mkuu: Serikali yatenga shilingi bilioni 43 kuimarisha michezo shuleni

▪️Azindua mashindano ya UMITASHUMTA na UMISSETA Iringa Iringa WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga shilingi bilioni 43 ili kuimarisha michezo katika shule mbalimbali nchini...

Majaliwa amewakilisha Rais Dk.Samia tuzo za BMT

Dar es Salaam WAZIRI Mkuu,Kassim Majaliwa leo Juni 01, 2025 jijini Dar es Salaam amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika tuzo za wanamichezo...

Waziri Mkuu aridhishwa na maboresho yanayoendelea kwa Mkapa

Dar es Salaam WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Mei 17, 2025 amekagua ukarabati wa uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam ikiwa ni...

MAKALLA: TIMU YA NAMUNGO IMECHANGIA KUKUZA UCHUMI NA UTALII WA MICHEZO RUANGWA

• Kuchangia Namungo ni hiari msirudi nyuma ichangieni •Apongeza jitihada za Rais kukuza michezo na timu kuwa na uwanja kisasa Lindi KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi,...

MICHUANO YA AFCON NA CHAN ITAENDELEZA MICHEZO NA UTALII NCHINI – MAJALIWA

▪️Aridhishwa na kasi na ubora wa ukarabati Zanzibar WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema uamuzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia...

WAZIRI MKUU AKAGUA VIWANJA VITAKAVYOTUMIKA CHAN AGOSTI 2025

Dar es Salaam WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Machi 29, 2025 amefanya ukaguzi wa viwanja vitakavyotumiwa kufanyia mazoezi na timu zitakazo shiriki michuano ya...

NBC WAKABIDHI BASI LA WACHEZAJI COASTAL UNION

Na Boniface Gideon, Tanga BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC)ambao pia ni wadhamini wa Ligi kuu na Ligi daraja la kwanza nchini,jana wamekabidhi Basi la...

WATUMISHI WA MADINI WAASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII KUWA WAZALENDO

*Watakiwa kuongeza bidii kufikia asilimia 10 mchango wa Sekta ya Madini kwenye Pato la Taifa *Watakiwa kulinda afya, kuepuka magonjwa yasiyo ya kuambukiza Dodoma WATUMISHI wa...

YANGA YAACHANA NA KOCHA WAKE RAMOVIC, YAMTANGAZA KOCHA MPYA MILOUD HAMD KUSHIKA MIKOBA

Dar es Salaam KLABU ya Yanga Wana Jangnwani usiku huu wa saa Nne kamili, 4 Februari, 2025 wametoa taarifa rasmi kwa Umma juu ya...