Majaliwa amewakilisha Rais Dk.Samia tuzo za BMT

Dar es Salaam WAZIRI Mkuu,Kassim Majaliwa leo Juni 01, 2025 jijini Dar es Salaam amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika tuzo za wanamichezo...

Waziri Mkuu aridhishwa na maboresho yanayoendelea kwa Mkapa

Dar es Salaam WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Mei 17, 2025 amekagua ukarabati wa uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam ikiwa ni...

MAKALLA: TIMU YA NAMUNGO IMECHANGIA KUKUZA UCHUMI NA UTALII WA MICHEZO RUANGWA

• Kuchangia Namungo ni hiari msirudi nyuma ichangieni •Apongeza jitihada za Rais kukuza michezo na timu kuwa na uwanja kisasa Lindi KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi,...

MICHUANO YA AFCON NA CHAN ITAENDELEZA MICHEZO NA UTALII NCHINI – MAJALIWA

▪️Aridhishwa na kasi na ubora wa ukarabati Zanzibar WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema uamuzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia...

WAZIRI MKUU AKAGUA VIWANJA VITAKAVYOTUMIKA CHAN AGOSTI 2025

Dar es Salaam WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Machi 29, 2025 amefanya ukaguzi wa viwanja vitakavyotumiwa kufanyia mazoezi na timu zitakazo shiriki michuano ya...

NBC WAKABIDHI BASI LA WACHEZAJI COASTAL UNION

Na Boniface Gideon, Tanga BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC)ambao pia ni wadhamini wa Ligi kuu na Ligi daraja la kwanza nchini,jana wamekabidhi Basi la...

WATUMISHI WA MADINI WAASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII KUWA WAZALENDO

*Watakiwa kuongeza bidii kufikia asilimia 10 mchango wa Sekta ya Madini kwenye Pato la Taifa *Watakiwa kulinda afya, kuepuka magonjwa yasiyo ya kuambukiza Dodoma WATUMISHI wa...

YANGA YAACHANA NA KOCHA WAKE RAMOVIC, YAMTANGAZA KOCHA MPYA MILOUD HAMD KUSHIKA MIKOBA

Dar es Salaam KLABU ya Yanga Wana Jangnwani usiku huu wa saa Nne kamili, 4 Februari, 2025 wametoa taarifa rasmi kwa Umma juu ya...

TANZANIA IMEJIPANGA MAANDALIZI CHAN NA AFCON – MAJALIWA.

Dodoma WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imejipanga vyema kukamilisha maandalizi yote muhimu ikiwemo miundombinu kwa ajili ya Michuano ya Mpira wa Miguu kwa...

SIMBA SC YAICHAPA CS CONSTANTINE 2-0 YAMALIZA KUNDI KILELENI

Dar es Salaam TIMU ya Simba SC ya Tanzania imeonyesha ubora wa soka dhidi ya Timu ya CS Constantine_officiel  kutoka Tunisia mara baada ya...