HAKIMI ATOA MISAADA YA ZAIDI YA BILIONI MOJA KWA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUM

Na John Mapepele MCHEZAJI wa kimataifa wa soka kutoka Morocco anayechezea timu ya PSG, Archraf Hakimi leo ametoa msaada wa vifaa mbalimbali kwa wanafunzi zaidi...

MAJALIWA: MIUNDOMBINU YA MICHEZO KUENDELEA KUBORESHWA

Tabora WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea kutekeleza mpango wa kuboresha miundombinu ya michezo katika shule teule 56 nchini. Amesema hadi kufikia Machi 2024...

MICHUANO YA SHIMIWI KUFANYIKA SEPTEMBA 2024

Dodoma MAANDALIZI ya michezo ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali Tanzania (SHIMIWI) yameanza ambapo Kamati ya Utendaji imependekeza michuano hiyo kufanyika...

Waziri Mkuu: Serikali yatenga shilingi bilioni 43 kuimarisha michezo shuleni

▪️Azindua mashindano ya UMITASHUMTA na UMISSETA Iringa Iringa WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga shilingi bilioni 43 ili kuimarisha michezo katika shule mbalimbali nchini...

DK. NDUMBARO AKUTANA NA VIONGOZI WA CHAMUSTA.

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital WAZIRI wa Utamaduni Sanaa na Michezo Dk. Damas Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Chama cha Maafisa Utamaduni...

LAKE VICTORIA FC YASHEREHEKEA MIAKA 60 YA JESHI LA POLISI KWA USHINDI MASHINDANO YA...

Na Shomari Binda-Musoma TIMU ya Lake Victoria imesherehekea miaka 60 ya jeshi la polisi kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya timu ya Kamnyonge kwenye...

RAIS DK.SAMIA AMKABIDHI KARIA MFANO WA HUNDI MILIONI 500.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia mfano wa...

MICHUANO YA AFCON NA CHAN ITAENDELEZA MICHEZO NA UTALII NCHINI – MAJALIWA

▪️Aridhishwa na kasi na ubora wa ukarabati Zanzibar WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema uamuzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia...

MSHIKAMANO FC YATINGA FAINALI POLISI JAMII CUP 2024 MUSOMA

Na Shomari Binda-Musoma TIMU ya Mshikamano fc imetinga fainali ya michuano ya Polisi Jamii Cup 2024 Musoma kwa kuifunga timu ya Kigera fc kwa changamoto...

WAFANYAKAZI WA TANESCO PWANI WAFANYA BONANZA LA MICHEZO LA KUPONGEZANA KWA KAZI

Pwani WAFANYAKAZI wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Pwani wamefanya bonanza la michezo mbalimbali ikiwa ni kwa lengo la kupongezana kwa kazi,...