Makonda amkabidhi Motsepe barua kutoka kwa samia
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda amekutana na Rais wa Shirikisho la Kandanda Barani Afrika (CAF)...
Dk.NDUMBARO AMKARIBISHA WAZIRI WA MICHEZO IVORY COAST KWENYE DERBY YA KARIAKOO KUMUONA PACOME
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Damas Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Michezo wa Ivory Coast,...
Simba yadai kutoshiriki mchezo mwingine na Yanga isipokuwa Juni 15.
Na Mwandishi wetu
KLABU ya Simba imesema itaingia uwanjani Juni 15, 2025 kwa ajili ya kushiriki mchezo namba 184 dhidi ya Yanga SC...
TANZANIA KUANZA MATUMIZI YA VAR KATIKA LIGI KUU BARA.
Na Mwandishi wetu
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia, amesema vifaa vya kiteknolojia kwa ajili ya kuwasaidia waamuzi yani "Video...
MAJALIWA: RAIS DK. SAMIA ANAMATUMAINI MAKUBWA NA TAIFA STARS
Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameitembelea Timu ya Taifa ya Tanzania ya Mpira wa Miguu (Taifa Stars) inayofanya mazoezi kwenye uwanja wa...
MICHUANO YA SHIMIWI KUFANYIKA SEPTEMBA 2024
Dodoma
MAANDALIZI ya michezo ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali Tanzania (SHIMIWI) yameanza ambapo Kamati ya Utendaji imependekeza michuano hiyo kufanyika...
DK. NDUGULILE ATOA MAAGIZO KWA AFISA MICHEZO KIGAMBONI VIWANJA VYA MICHEZO VYOTE KUENDELEZWA
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
MBUNGE wa Kigamboni Dk.Faustine Ndugulile amekipongeza Chama cha Mpira wa miguu Kigamboni (KDFA) kwa kuandaa mashindano mazuri ya veterans.
Apongeza...
Majaliwa amewakilisha Rais Dk.Samia tuzo za BMT
Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu,Kassim Majaliwa leo Juni 01, 2025 jijini Dar es Salaam amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika tuzo za wanamichezo...
KARIA NA MANARA WAKUTANA KWENYE IFTAR.
Na Mwandishi wetu
MFANYABIASHARA na Mdhamini wa Club ya Yanga Ghalib Said Mohammed (GSM) ameonesha nia ya kuona Rais wa TFF Wallace Karia na...
FIFA YAIFUNGUIA YANGA KUFANYA USAJILI,TFF NAYO YASHINDILIA MSUMARI.
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
KLABU ya Young Africans iliyoko Ligi Kuu imefungiwa kufanya usajili kwa kukiuka kanuni za Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa...












