DK.MWINYI : ZANZIBAR KUZALISHA VIPAJI VYA VIJANA WENYE UWEZO WA KUCHEZA NJE YA NCHI
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema umefika wakati kwa Zanzibar kuzalisha vipaji vya vijana watakaokuwa...
WACHEZAJI BIASHARA UNITED KUMPA ZAWADI RC MTANDA YA KWENDA LIGI KUU
Na Shomari Binda, Musoma
WACHEZAJI wa timu ya Biashara United wamesema zawadi pekee kwa aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara Said Mtanda ni kupanda...
MBUNGE MATHAYO AKABIDHI NG’OMBE,MIPIRA NA FEDHA MASHINDANO POLISI JAMII CUP MUSOMA
Musoma
MBUNGE wa jimbo la Musoma mjini Vedastus Mathayo leo agosti 15 amekabidhi ng'ombe, mipira 16 na fedha kiasi cha shilingi laki 2 kwaajili ya...
KAMATI YA MAANDALIZI AFCON 2027 YAKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM
Dar es Salaam
KAMATI ya Taifa ya maandalizi ya fainali za ya Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON 2027 imekutana leo Agosti 22, 2024...
SIMBA SC YAICHAPA CS CONSTANTINE 2-0 YAMALIZA KUNDI KILELENI
Dar es Salaam
TIMU ya Simba SC ya Tanzania imeonyesha ubora wa soka dhidi ya Timu ya CS Constantine_officiel kutoka Tunisia mara baada ya...
YANGA TAWI LA MUSOMA WACHANGIA DAMU NA KUTOA MSAADA HOSPITAL MANSPAA YA MUSOMA
Na Shomari Binda, Musoma
WANACHAMA na mashabiki wa timu ya Yanga kwa kushirikiana na benki ya NBC tawi la Musoma wamechangia damu na kutoa msaada...
TANZANIA IMEJIPANGA MAANDALIZI CHAN NA AFCON – MAJALIWA.
Dodoma
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imejipanga vyema kukamilisha maandalizi yote muhimu ikiwemo miundombinu kwa ajili ya Michuano ya Mpira wa Miguu kwa...
DK. BITEKO AUNGANA NA WANABUKOMBE KWENYE MBIO FUPI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk.Doto Biteko leo Oktoba 10, 2024 ameungana na wananchi wa Bukombe kwenye mazoezi ya kukimbia mbio fupi...
WATUMISHI WA MADINI WAASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII KUWA WAZALENDO
*Watakiwa kuongeza bidii kufikia asilimia 10 mchango wa Sekta ya Madini kwenye Pato la Taifa
*Watakiwa kulinda afya, kuepuka magonjwa yasiyo ya kuambukiza
Dodoma
WATUMISHI wa...
MAJALIWA MICHEZO NI NYENZO MUHIMU INAYODUMISHA AMANI
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema ushirikiano katika michezo ni nyenzo muhimu katika kudumisha diplomasia na amani miongoni mwa nchi washirika...