USHIRIKIANO WA TANZANIA NA KOREA KULETA MAGEUZI SEKTA YA MADINI NCHINI
Seoul, Korea Kusini
NAIBU Waziri wa Madini Dk. Steven Kiruswa amesema kuwa kutokana na kuongezeka kwa mahitaji na matumizi ya Madini Muhimu duniani, Tanzania ina...
SEforALL KUIMARISHA USHIRIKIANO UPATIKANAJI NISHATI ENDELEVU
π Dk. Biteko asema Nishati Safi ya Kupikia ni ajenda endelevu
π Rais wa Sierra Leone asema ukombozi wa maeneo ya vijijini ni muhimu kufikia...
SERIKALI YAJIDHATITI KUBORESHA SEKTA YA KILIMO β DKT BITEKO
π Anadi soko la mazao jamii ya mikunde India
π Mnada mazao ya kunde mtandaoni waboresha biashara ya kimataifa
π Biashara kati ya Tanzania na India...
DK. BITEKO AIKARIBISHA DUNIA KUWEKEZA SEKTA YA NISHATI
π Dk. Samia aleta Mapinduzi ya Nishati Afrika
π Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia yaendelea kujadiliwa kimataifa.
India
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk....
DK. BITEKO AWASILI NCHINI INDIA KWA ZIARA YA KIKAZI
π Kushiriki Mikutano ya Kimataifa na Wiki ya Nishati ya India
π Mawaziri wa Nishati, Watunga Sera na Wavumbuzi wa teknolojia za Nishati kukutana
India
NAIBU...
RAIS DK.SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA DHARURA WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI WA SADC...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa...
WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS DK. SAMIA KATIKA SHEREHE ZA UAPISHO WA RAIS WA...
Msumbiji
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Januari 15, 2025 ameshiriki sherehe za uapisho wa Rais wa Msumbiji akimwakilisha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan.
Katika sherehe hizo...
WAKUU WA NCHI NA SERIKALI AFRIKA WAIPA KONGOLE TANZANIA UZALISHAJI MAZAO YA CHAKULA AFRIKA.
*Rais Museveni asifu bora wa mchele wa Tanzania, asisitiza kushindana kwa ubora
Uganda
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema viongozi wa nchi za Afrika wameonesha matumaini...
DK. KAZUNGU AINADI TANZANIA MIRADI YA NISHATI JADIDIFU UAE
πAshiriki mkutano wa 15 wa baraza la Kimataifa la wakala wa Nishati jadidifu IRENA
π Asema miradi ya kuzalisha umeme kwa kutumia vyanzo vya nishati...
WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS DK. SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Januari 11, 2025 ameshiriki Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika kuhusu Mpango wa...