Museveni kuwania tena Urais Uganda 2026

Kampala, Uganda Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, amethibitishwa kuwa atawania tena urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mapema mwaka 2026, hatua itakayoongeza muda wake...

TANZANIA IPO TAYARI KUTUMIA FURSA YA SOKO LA PAMOJA KUUZIANA UMEME – DK. BITEKO

📌Ni kufuatia uwepo wa fursa hiyo kwa nchi 13 wanachama wa EAPP 📌Mawaziri waridhia uwepo wa kitengo huru cha masoko cha kuuziana umeme 📌Wanachama EAPP watachangia...

DK.BITEKO AWASILI NCHINI KENYA KWA ZIARA YA KIKAZI

Kenya NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko leo amewasili jijini Nairobi nchini Kenya kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Pili wa Masuala...

WAZIRI MKUU AUNGANA NA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI UFUNGUZI WA MKUTANO WA UNGA...

Marekani WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Septemba 24, 2024 ameungana na wakuu wa nchi na Serikali katika ufunguzi wa Mkutano wa 79 wa Baraza...

Mvutano Marekani na Venezuela wazidi kushika kasi

Washingiton, Marekani Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema jeshi la nchi yake limeharibu meli inayodaiwa kuwa ya mihadarati kutoka Venezuela, iliyokuwa ikielekea Marekani kupitia bahari...

WAZIRI MKUU ASHIRIKI MKUTANO WA ‘SUMMIT OF THE FUTURE’.

Marekani WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Septemba 22, 2024 akishiriki katika ufunguzi wa Mkutano wa ngazi ya juu wa Wakuu wa Nchi na Serikali...

RAIS DK.SAMIA AHUTUBIA MKUTANO WA TISA WA FOCAC

LEO Septemba, 5 2024, Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amehutubia mkutano wa tisa wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) uliofanyika Beijing. Katika...

RAIS MWINYI:ZANZIBAR INA SERA BORA KWA UWEKEZAJI.

Uingereza RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar imepiga hatua kubwa ya maendeleo kipindi cha miaka 4...

Umoja na mshikamano vyatawala hotuba za viongozi mkutano wa SADC

Na Mwandishi wetu, Madagascar MKUTANO wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umehitimishwa jijini Antananarivo Agosti 17, 2025, huku...

SERIKALI YAJIDHATITI KUBORESHA SEKTA YA KILIMO – DKT BITEKO

📌 Anadi soko la mazao jamii ya mikunde India 📌 Mnada mazao ya kunde mtandaoni waboresha biashara ya kimataifa 📌 Biashara kati ya Tanzania na India...