TANZANIA KUNUFAIKA NA MAFUNZO NCHINI INDIA

India BUNGE la India limeahidi kutoa fursa zaidi za mafunzo ya kuwajengea uwezo Watumishi wa umma kupitia Taasisi yake ya Utafiti na Mafunzo ya...

USHIRIKIANO WA TANZANIA NA KOREA KULETA MAGEUZI SEKTA YA MADINI NCHINI

Seoul, Korea Kusini NAIBU Waziri wa Madini Dk. Steven Kiruswa amesema kuwa kutokana na kuongezeka kwa mahitaji na matumizi ya Madini Muhimu duniani, Tanzania ina...

DK. NCHEMBA  TANZANIA IMEPIGA HATUA KIUCHUMI NA KIDEMOKRASIA

Na Benny Mwaipaja, Washington D.C WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu  Nchemba, amelihakikishia Shirika la Marekani la Changamoto za Milenia (Millennium Challenge Corporation-MCC) kwamba Tanzania imepiga...

RAIS DK.SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA MTAWALA WA MJI WA SEJONG

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Mtawala wa Mji wa Serikali wa Sejong, Kim Hyung- ryeol mara...

RAIS DK.SAMIA AKIWA PAMOJA NA VIONGOZI WENGINE KATIKA MKUTANO WA 44 WA WAKUU WA...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi wengine katika Mkutano wa 44 wa Wakuu wa Nchi na...

RAIS MWINYI: TUZINDUE MPANGO WA UJUZI KWA VIJANA KATIKA UCHUMI WA BULUU.

Uingereza RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema ni muhimu kuzinduliwe mpango wa ujuzi wa Vijana wa Jumuiya...

TANZAN IA NA OMANI ZASAINI MKATABA WA KUTOTOZA KODI MARA MBILI

Na Benny Mwaipaja, Oman SERIKALI yanJamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Kisultan ya Oman, zimetia saini Mkataba wa Kuondoa Utozaji Kodi ya Mapato...

WAKUU WA NCHI NA SERIKALI AFRIKA WAIPA KONGOLE TANZANIA UZALISHAJI MAZAO YA CHAKULA AFRIKA.

*Rais Museveni asifu bora wa mchele wa Tanzania, asisitiza kushindana kwa ubora Uganda WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema viongozi wa nchi za Afrika wameonesha matumaini...

RAIS DK.SAMIA AZUNGUMZA N WAWEKEZAJI WA CHINA.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Wawekezaji na Viongozi wa Makampuni mbalimbali ya China Academy...

DK. BITEKO AIKARIBISHA DUNIA KUWEKEZA SEKTA YA NISHATI

📌 Dk. Samia aleta Mapinduzi ya Nishati Afrika 📌 Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia yaendelea kujadiliwa kimataifa. India NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk....