RAIS DK.SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA MTAWALA WA MJI WA SEJONG
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Mtawala wa Mji wa Serikali wa Sejong, Kim Hyung- ryeol mara...
Dk. Biteko ateta na Spika wa Bunge Morocco
📌 Tanzania, Morocco wakubaliana kuimarisha ushirikiano
Morocco
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ametembelea Bunge la Morocco ikiwa ni sehemu ya...
DK. BITEKO AIKARIBISHA DUNIA KUWEKEZA SEKTA YA NISHATI
📌 Dk. Samia aleta Mapinduzi ya Nishati Afrika
📌 Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia yaendelea kujadiliwa kimataifa.
India
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk....
DK. NCHEMBA AHITIMISHA ZIARA NCHINI OMAN
Na Saidina Msangi, Muscat, Oman
WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba amehitimisha ziara yake ya siku mbili nchini Oman ambapo akiwa katika Uwanja wa Ndege...
DK. KIJAJI ATETA NA SAUDA EXIM
Na Mwandishi wetu, Saudi Arabia
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji ameishauri Benki ya Saudi Exim kuwawezesha wafanyabiashara wa Tanzania na Saudi...
TANZANIA YAPONGEZWA KWA USTAWI WA ADPA
Na Mwandishi wetu, Zimbabwe
SERIKALI ya Tanzania kupitia Wizara ya Madini imepongezwa na Wanachama wa Umoja wa Nchi zinazozalisha Almasi Afrika (ADPA) kwa kusaidia...
RAIS DK.SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA SADC- ORGAN TROIKA SUMMIT
Rais Dk. Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo...
TAASISI YA MSAADA WA KISHERIA AFRIKA (ALSF) KUWAJENGEA UWEZO WANASHERIA NCHINI.
Na Ramadhani Kissimba na Farida Ramadhani, NairobiSERIKALI ya Tanzania imeishukuru Taasisi ya Msaada wa Kisheria Afrika (ALSF) chini ya Benki ya Maendeleo ya Afrika...
Putin hana mpago wakuzungumza na Trump kuhusu mashambulizi ya Marekani, Iran
Moscow, Russia
Rais wa Urusi, Vladimir Putin, hana mpango wowote wa kuzungumza na mwenzake wa Marekani, Donald Trump, kufuatia mashambulizi ya kijeshi ya Marekani dhidi...
RAIS SAMIA AKUTANA NA RAIS XI JINPING WA CHINA.Â
CHina
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amefanya mkutano na Rais wa China, Xi Jinping pamoja na ujumbe wake mapema...