SHIRIKA LA NDEGE LA EMIRATES LIMETANGAZA MIPANGO MIPYA KATIKA SHUGHULI ZA KIBIASHARA

Na Mwandishi wetu, @Lajiji Digital SHIRIKA la Ndege la Emirates limetangaza mipango yake mipya katika shughuli za kibiashara katika nchi zote ambazo zinahudumiwa na...

DK.BITEKO AMWAKILISHA RAIS SAMIA MAZISHI YA MKUU WA MAJESHI KENYA

📌 Awataka wakenya kuwa na subira katika kipindi hiki kigumu 📌 Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF) Jenerali Jacob Mkunda ashiriki maziko hayo Na Mwandishi wetu,...

WAKUU WA NCHI NA SERIKALI AFRIKA WAIPA KONGOLE TANZANIA UZALISHAJI MAZAO YA CHAKULA AFRIKA.

*Rais Museveni asifu bora wa mchele wa Tanzania, asisitiza kushindana kwa ubora Uganda WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema viongozi wa nchi za Afrika wameonesha matumaini...

MABINTI WA KATA YA KITUNDA WAJIFUNZA UJASIRIAMALI.

Na Mwandishi wetu,@Lajiji Digital MWAKILISHI wa Afisa Maendeleo Mkoa wa Dar es Salaam,Masalida Njashi amewatoa hofu mabinti wa Kata ya Kitunda Wilaya ya Ilala...

TCAA CCC KUANZA KUTUMIA AKILI MNEMBA (AI) KATIKA KUTOA ELIMU KWA WATUMIAJI WA USAFIRI...

Na Mwandishi wetu BARAZA la Ushauri la Watumiaji Huduma za Anga (TCAA CCC) limeahidi kuanza kutumia Teknolojia ya akili mnemba "Artificial intelligence " ili...

Uganda yawasilisha muswada kuipa mahakama ya kijeshi mamlaka juu ya raia

Na Mwandishi Wetu, Lajiji Serikali ya Uganda imewasilisha rasmi bungeni muswada wa marekebisho ya sheria ya jeshi wa mwaka 2025, unaolenga kuirejeshea mahakama ya kijeshi...

RAIS DK.SAMIA AZUNGUMZA NA WATANZANIA WAISHIO JAMHURI YA KOREA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na Watanzania wanaoishi Jamhuri ya Korea (Diaspora) kwenye Mkutano uliofanyika katika Hoteli ya...

RAIS SAMIA AKUTANA NA RAIS XI JINPING WA CHINA. 

CHina RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amefanya mkutano  na Rais wa China, Xi Jinping pamoja na ujumbe wake mapema...

RAIS DK.SAMIA AZUNGUMZA N WAWEKEZAJI WA CHINA.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Wawekezaji na Viongozi wa Makampuni mbalimbali ya China Academy...

TANZANIA YASISITIZA UHURU WA BIASHARA NA USALAMA WA NCH.

Na Mwandishi wetu, Nairobi KATIBU Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dk. Hashil Abdallah amesema Tanzania inaunga mkono harakati za kuwezesha usafirishaji wa...