SHIRIKA LA NDEGE LA EMIRATES LIMETANGAZA MIPANGO MIPYA KATIKA SHUGHULI ZA KIBIASHARA
Na Mwandishi wetu, @Lajiji Digital
SHIRIKA la Ndege la Emirates limetangaza mipango yake mipya katika shughuli za kibiashara katika nchi zote ambazo zinahudumiwa na...
RAIS SAMIA AKUTANA NA RAIS XI JINPING WA CHINA.
CHina
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amefanya mkutano na Rais wa China, Xi Jinping pamoja na ujumbe wake mapema...
RAIS DK.SAMIA AZUNGUMZA NA WATANZANIA WAISHIO JAMHURI YA KOREA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na Watanzania wanaoishi Jamhuri ya Korea (Diaspora) kwenye Mkutano uliofanyika katika Hoteli ya...
WAKUU WA NCHI NA SERIKALI AFRIKA WAIPA KONGOLE TANZANIA UZALISHAJI MAZAO YA CHAKULA AFRIKA.
*Rais Museveni asifu bora wa mchele wa Tanzania, asisitiza kushindana kwa ubora
Uganda
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema viongozi wa nchi za Afrika wameonesha matumaini...
MABINTI WA KATA YA KITUNDA WAJIFUNZA UJASIRIAMALI.
Na Mwandishi wetu,@Lajiji Digital
MWAKILISHI wa Afisa Maendeleo Mkoa wa Dar es Salaam,Masalida Njashi amewatoa hofu mabinti wa Kata ya Kitunda Wilaya ya Ilala...
DK. BITEKO ASHIRIKI UAPISHO WA RAIS DUMA BOKO BOTSWANA
Botswana NAIBU Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko leo Novemba 8, 2024 amemwakilisha Rais wa...
DK.BITEKO ASHIRIKI KIKAO CHA 19 CHA MAWAZIRI WA NISHATI UGANDA.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko akisalimiana na Mwenyekiti wa Mawaziri wa Nishati (Eastern Africa Power Pool) ambae pia ni...
TCAA CCC KUANZA KUTUMIA AKILI MNEMBA (AI) KATIKA KUTOA ELIMU KWA WATUMIAJI WA USAFIRI...
Na Mwandishi wetu
BARAZA la Ushauri la Watumiaji Huduma za Anga (TCAA CCC) limeahidi kuanza kutumia Teknolojia ya akili mnemba "Artificial intelligence " ili...
USHIRIKIANO WA TANZANIA NA KOREA KULETA MAGEUZI SEKTA YA MADINI NCHINI
Seoul, Korea Kusini
NAIBU Waziri wa Madini Dk. Steven Kiruswa amesema kuwa kutokana na kuongezeka kwa mahitaji na matumizi ya Madini Muhimu duniani, Tanzania ina...
Uganda yawasilisha muswada kuipa mahakama ya kijeshi mamlaka juu ya raia
Na Mwandishi Wetu, Lajiji
Serikali ya Uganda imewasilisha rasmi bungeni muswada wa marekebisho ya sheria ya jeshi wa mwaka 2025, unaolenga kuirejeshea mahakama ya kijeshi...