HOSPITALI YA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA MAGONJWA YA MIFUPA NA...
Na Shomari Binda, Musoma
SERIKALI imesema hospital ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere iliyopo mkoani Mara imetengwa kuwa hospital inayotoa huduma za kibingwa magonjwa ya...
TUNA MKAKATI MAALUM NA COMORO- PROFESA JANABI
Na Mwandishi wetu
MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili,Prof Mohamed Janabi amesema kuwa wana mkakati maalum wa kutoa huduma za kisada za...
WAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA CHA DAWA ZA BINADAMU, KIGAMBONI
Awataka kuwekeza katika ubora wa dawa
Pia akagua utekelezaji wa maagizo yake ya uwekaji wa taa barabarani, Kigamboni
Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo...
DK. MAHERA AELEKEZA MABADILIKO KWA WARATIBU WA MAGONJWA YASITOAMBUKIZA WALIOSHINDWA KUTOA TAKWIMU
Dodoma
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - TAMISEMI anayeshughurikia Afya Dk. Charles Mahera amemuelekeza Mkurugenzi wa huduma za Afya Ustawi wa Jamii na...
MOI KUBORESHA MFUMO WA UTOAJI WA TAARIFA KWA NDUGU WA WAGONJWA WANAOFANYIWA UPASUAJI
Morogoro
TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imejipanga kuboresha utoaji wa taarifa za mwenendo wa upasuaji wa wagonjwa kwa ndugu wa...
TAASISI YA BENJAMIN MKAPA IMEJIKITA KATIKA KUTATUA CHANGAMOTO ZA RASILIMALI WATU
Dar es Salaam
TAASISI ya Benjamini Mkapa kwa kushirikiana na Serikali imejikita katika kutatua changamoto za rasilimali watu Sekta ya Afya kwa kuajiri watumishi wa...
WASANII KUPIMA MOYO BURE JKCI
Dar es Salaam
TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kushirikiana na Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao kwenye kampeni ya kupima afya ya...
TIMU YA MADAKTARI BINGWA WA RAIS SAMIA, WAWASILI IRINGA.
Na Mwandishi wetu, Iringa
IKIWA ni muendelezo wa utekelezaji wa dhamira ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ya kuimarisha sekta ya afya na...
KILA MWAKA WATOTO 7500 HUZALIWA NA MATATIZO MBALIMBALI IKIWEMO VICHWA VIKUBWA NA MGONGO WAZI
Dar es Salaam
TAKWIMU za Wizara ya Afya zinaonyesha kila mwaka watoto 7500 huzaliwa na matatizo mbalimbali ikiwemo watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo...
UONGOZI WA MUHIMBILI-MLOGANZILA WAKUTANA NA CHUO KIKUU CHA YONSEI
Dar es Salaam
UONGOZI wa Hospitali ya Taifa Muhimbili -Mloganzila umekutana na kufanya mazungumzo na jopo la wataalam kutoka Shule ya Uzamili ya Afya...