MOI YAWAHIMIZA WAGONJWA NA NDUGU WA WAGONJWA KUDAI RISITI BAADA YA KUFANYA MALIPO

Dar es Salaam WAGONJWA na ndugu wa wagonjwa wanaopatiwa huduma za matibabu katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wamehimizwa...

DK. MBONEA: JAMII IJITOKEZE KUCHANGIA DAMU KUKIDHI MAHITAJI MKUBWA

Dar es Salaam HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) imetoa wito kwa jamii nchini kujitokeza kuchangia damu ili kukabiliana na uhitaji wa damu uliopo hospitali...

PROFESA JANABI VIONGOZI WENZANGU TOENI MAAMUZI NA KUTATUA CHANGAMOTO KWA WAKATI

Na Mwandisi wetu@Lajiji Digital MKURUGENZI Mtendaji Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amewataka viongozi wa hospitali hiyo kutoa maamuzi na kutatua changamoto...

Halmashauri 112 kati ya 119 nchini hazina maambukizi mapya ya Matende na Mabusha

Na Mwandishi wetu  Waziri wa Afya,  Ummy Mwalimu amesema nchi imepiga hatua kubwa katika kuhakikisha inatokomeza magonjwa ya matende na Busha kwa kuokoa watu milioni...

MAABARA YA MOI YATUNUKIWA CHETI CHA ITHIBATI CHA UBORA WA KIMATAIFA

Dar es Salaam MAABARA ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imetunukiwa cheti cha Ithibati cha ubora wa kimataifa cha utoaji...

Kampuni ya Vertex Group Kuunga mkono juhudi za Rais Dk.samia kwa kutangaza Tiba...

Na Mwandishi wetu  KAMPUNI ya  Vertex Group Experts imesema inamuunga mkono juhudi za Rais Dk.samia Suluhu Hassan kwa kutangaza nchi za jirani na Afrika katikaTiba...

WENYE MATATIZO YA MACHO WAENDELEA KUPATIWA HUDUMA ZA KIBINGWA HOSPITALI YA MWALIMU NYERERE

Na Shomari Binda-Musoma WANANCHI wenye matatizo ya macho mkoani Mara wameendelea kupata matibabu kutoka kwa madaktari bingwa kwenye hospitali ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere. Pia huduma...

Moi yaandika historia yawa ya kwanza Afrika kuendesha mafunzo maalum ya upasuaji wa mishipa...

Dar es Salaam BAADA ya kuandika historia kwa upasuaji wa kutumia akili unde, sasa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeandika...

HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA YA MIFUPA NA UBONGO ZAZINDULIWA KATIKA HOSPITALI CHATO.

Chato HUDUMA za matibabu ya kibingwa na kibobezi ya mifupa, ubongo, mgongo na mishipa ya fahamu ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili...

VETA YAJA NA UFUMBUZI WA UGONJWA WA MALARIA,FANGASI NA MKOJO MCHAFU(UTI)

Dar es salaam MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Dar es Salaam imeendelea kutoa mafunzo kwa vitendo na ubunifu zaidi ili kuleta...