MOI kuijengea uwezo hospitali ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Mara kutoa matibabu ya kibingwa...
                    
Na Mwandishi wetu, Mara
TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) inatarajia hivi karibuni kuijengea uwezo hospitali ya Rufaa ya Mkoa Kumbukumbu ya...                
            MOI YATOA MATIBABU YA KIBINGWA BURE KWA WANANCHI VIWANJA VYA AMANI ZANZIBAR
                    
Zanzibar 
TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) inashiriki katika kambi ya matibabu ya kibigwa na kibobezi ya mifupa, ubongo, mgongo, mishipa...                
            NDUGU WA WAGONJWA WARIDHISHWA NA HUDUMA ZA MOI, WAOMBA HOSPITALI ZA WILAYA WAIGE MFANO
                    
Dar es Salaam 
NDUGU wa wagonjwa wameeleza kuridhishwa kwao na huduma za matibabu zinazotolewa na Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) na kushauri...                
            WAZIRI MKUU : LISHE BORA NI KIPAUMBELE CHA SERIKALI
                    
Mwanza
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa suala ya lishe ni kipaumbele muhimu kwa Serikali katika kuwezesha utekelezaji wa mipango ya maendeleo na shughuli za...                
            WANANCHI WATAKIWA KUTUNZA FIGO KWA KUJIEPUSHA NA UNYWAJI POMBE KUPITA KIASI NA MATUMIZI YA...
                    
Na Shomari Binda, Musoma
SERIKALI imetoa ushauri kwa wananchi kutunza figo kwa kujieusha na matumizi ya unywaji pombe kupita kiasi na uvutaji wa tumbaku.
Kauli hiyo...                
            WAZIRI MKUU: SERIKALI IMEONGEZA WIGO HUDUMA ZA WATOTO WACHANGA
                    
Dar es Salaam 
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imefanya mageuzi makubwa kwa kuongeza wigo wa upatikanaji wa huduma kwa watoto wachanga.
Ameyasema hayo leo...                
            WASANII KUPIMA MOYO BURE JKCI
                    
Dar es Salaam 
TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kushirikiana na Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao kwenye kampeni ya kupima afya ya...                
            MGONJWA WA 13 KUPONA SIKOSELI BMH AMSHUKURU MAMA SAMIA
                    
Na Mwandishi wetu 
MGONJWA wa 13 kupona ugonjwa wa sikoseli katika Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH), Jonester Peleka, mwenye umri wa 10, amemshukuru Rais...                
            WAZAZI WALETENI WATOTO WENYE KIBIONGO WAFANYIWE UCHUNGUZI MOI
                    
Dar es Salaam 
TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imetoa wito kwa wazazi au walezi wa watoto wenye tatizo la kibiongo...                
            Majaliwa: kamilisheni uchunguzi wa wizi wa vifaa vya hospitali
                    
▪️Asema Serikali haitomvumia mtumishi atakayethibitika kuhusika na wizi
Mwanza
WAZIRI Mkuu,  Kassim Majaliwa ameuagiza uongozi wa mkoa wa Mwanza uhakikishe unakamilisha uchunguzi wa watumishi wa...                
            