TIMU YA MADAKTARI BINGWA WA RAIS SAMIA, WAWASILI IRINGA.

Na Mwandishi wetu, Iringa IKIWA ni muendelezo wa utekelezaji wa dhamira ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ya kuimarisha sekta ya afya na...

MOI kuijengea uwezo hospitali ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Mara kutoa matibabu ya kibingwa...

Na Mwandishi wetu, Mara TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) inatarajia hivi karibuni kuijengea uwezo hospitali ya Rufaa ya Mkoa Kumbukumbu ya...

DK. MBONEA: JAMII IJITOKEZE KUCHANGIA DAMU KUKIDHI MAHITAJI MKUBWA

Dar es Salaam HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) imetoa wito kwa jamii nchini kujitokeza kuchangia damu ili kukabiliana na uhitaji wa damu uliopo hospitali...

TANZANIA, MAREKANI WASHIRIKIANA KUPAMBANA DHIDI YA UGONJWA WA SARATANI

Marekani TANZANIA na Marekani wamekubaliana kukabiliana na uhaba wa wataalamu, ukosefu wa miundombinu wezeshi, Vifaa Tiba hususani vya kutoa huduma za Mionzi, Takwimu, Tafiti pamoja...

NIC YAIGUSA IDARA YA WATOTO MUHIMBILI KWA MSAADA WA MILIONI 20.

Dar es Salaam HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) imepokea msaada wa vifaa tiba, fenicha pamoja na ukarabati wa kliniki ya watoto wenye thamani ya...

ZAHANATI MPYA 17 ZAENDELEA KUJENGWA KWA KASI JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI

Na Shomari Binda-Musoma JUMLA ya zahanati 17 zinaendelea kujengwa kwa kasi ndani ya jimbo la Musoma vijijini ili kutoa huduma za afya Taarifa iliyotolewa leo septemba...

WAZIRI MKUU AWATAKA WAFAMASIA KUZINGATIA MAADILI

Dodoma WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wafamasia nchini watoe dawa kwa kuzingatia maadili ya taaluma yao na waache kutoa dawa kiholela ili kuimarisha ufanisi...

UONGOZI WA MUHIMBILI-MLOGANZILA WAKUTANA NA CHUO KIKUU CHA YONSEI

Dar es Salaam UONGOZI wa Hospitali ya Taifa Muhimbili -Mloganzila umekutana na kufanya mazungumzo na jopo la wataalam kutoka Shule ya Uzamili ya Afya...

ENDELEENI KUWAHAMASISHA WANANCHI WAEPUKE TABIA ZEMBE – MAJALIWA

Dodoma WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Afya iendelee kuwahamasisha wananchi wabadili mitindo ya maisha ili kuepuka tabia zembe zinazochochea ongezeko la magonjwa...

KIKOSI CHA AFYA JESHI LA POLISI KIMEZINDUA KAMPENI YA KUPIMA AFYA BURE KATIKA MAADHIMISHO...

Dar es Salaam KAMISHNA Msaidizi wa Jeshi la Polisi (ACP) Abdallah Mpallo amesema jamii ijitokeze kupima afya kwenye kambi zinazokuwa kimeandaliwa ili kuikomboa afya...