NEMC IMETOA SIKU 90 KWA KUWEKA MIUNDOMBINU SAHIHI KWA TAASISI ZOTE NCHINI...

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital BARAZA la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa siku 90 kwa kuweka miundombinu sahihi kwa taasisi zote...

MAABARA YA MOI YATUNUKIWA CHETI CHA ITHIBATI CHA UBORA WA KIMATAIFA

Dar es Salaam MAABARA ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imetunukiwa cheti cha Ithibati cha ubora wa kimataifa cha utoaji...

HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA YA MIFUPA NA UBONGO ZAZINDULIWA KATIKA HOSPITALI CHATO.

Chato HUDUMA za matibabu ya kibingwa na kibobezi ya mifupa, ubongo, mgongo na mishipa ya fahamu ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili...

WANAFUNZI WA AFYA 25,390 WADAHILIWA KUPUNGUZA UHABA WA WATUMISHI

Dar es Salaam SERIKALI imeongeza udahili wa wanafunzi wa Taaluma za Afya ngazi ya kati, kutoka wanafunzi 20,030 mwaka 2020 hadi kufikia wanafunzi 25,390...

DK.MPANGO AMEMUAGIZA WAZIRI WA TAMISEMI KUTAMA TIMU WATALAAMU KUCHUNGUZA HOSPITALI

Na Mwandishi wetu, Kilimanjaro MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amemuagiza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa...

ZAHANATI MPYA 17 ZAENDELEA KUJENGWA KWA KASI JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI

Na Shomari Binda-Musoma JUMLA ya zahanati 17 zinaendelea kujengwa kwa kasi ndani ya jimbo la Musoma vijijini ili kutoa huduma za afya Taarifa iliyotolewa leo septemba...

MARATHON NI MPANGO MKAKATI WA KUJENGA AFYA ZA WATANZANIA – MAJALIWA

Lindi WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema marathon zinazofanyika kila kona nchini ni mpango mkakati wa kuwafanya Watanzania wawe na afya njema na wakae pamoja ili...

DK. MBONEA: JAMII IJITOKEZE KUCHANGIA DAMU KUKIDHI MAHITAJI MKUBWA

Dar es Salaam HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) imetoa wito kwa jamii nchini kujitokeza kuchangia damu ili kukabiliana na uhitaji wa damu uliopo hospitali...

HAKUNA MGONJWA ANAYEBEBWA KWENYE TENGA TUNDURU – MCHENGERWA

Ruvuma WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amesema hakuna mgonjwa anayesafirishwa kwa njia ya...

WATOTO 23 AKIWEMO WA UMRI WA SIKU TATU WAFANYIWA UPASUAJI WA MOYO

Dar es Salaam WATOTO 23 akiwemo wa umri wa siku tatu wenye matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo wamefanyiwa upasuaji mkubwa wa moyo katika...