MOI,JWTZ na Jeshi la Ulinzi la Misri kushirikiana kutoa huduma za kibingwa na kibobezi

Na Mwandishi wetu,Dar es Salaam TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Jeshi la Ulinzi...

Dk. Yonazi: tuimarishe Lishe, tupunguze magonjwa sugu

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam KATIBU Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dk. Jim Yonazi amewataka wadau kushirikiana na Serikali...

wito watolewa kwa wadau kuendelea kuunga mkono jitihada za Kupambana na changamoto za lishe...

Na Mwandishi wetu,Dar es Salaam MKURUGENZI Mtendaji Taasisi ya Chakula na Lishe Dk. Germana Leyna ametoa wito kwa wadu wa masuala ya lishe...

JKCI na SACH kufanya kambi maalum ya upasuaji wa moyo kwa watoto 20...

Na Mwandishi wetu, Zambia MADAKTARI Bingwa wa Upasuaji wa Moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao kutoka...

Profesa Mwandosya kinara wa matibabu ya Saratani nchini -Dk. Biteko

📌Dk. Biteko azindua Kitabu cha Living with Cancer cha Profesa Mark Mwandosya 📌 Watanzania watakiwa kujenga utamaduni wa kupima afya 📌Serikali yaimarisha huduma za uchunguzi na...

Wataalamu wazawa zaidi ya 70 wa usingiz tiba na ngazi wapewa mbinu za kisasa...

Na Amani Nsello- MOI WATAALAMU wazawa zaidi ya 70 wamepewa mbinu za kisasa za kutoa matibabu kwa wagonjwa ili kupunguza madhara yatokananyo na dawa kwa...

Serikali yazindua mafunzo ya mtandao ya Afya moja(ECHO)

Na Mwandishi wetu,Dar es Salaam SERIKALI imeanzisha mafunzo kwa njia ya mtandao ya Afya moja (ECHO) ili kuwajengea uwezo watoa huduma wa kada za afya...

Ndoga aiomba serikali kuendelea kuwekeza kwenye matumizi ya dawa asili

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam MKUFUNZI wa Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) kutoka Idara ya Kemia, Dismas Ngoda ameiomba serikali kuendelea kuwekeza kwenye...

Majaliwa atoa wito kwa watoa huduma za afya kuzingatia maadili ya taaluma zao.

 ▪️Asema Serikali imefanya uwekezaji mkubwa kuboresha huduma za afya Na Mwandishi wetu, Arusha  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa mabaraza ya kitaaluma, Chama...

MOI yatoa matibabu ya kibingwa na kibobezi Chuo Kikuu cha Waislam Morogoro

Na Abdallah Nassoro- Morogoro TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) inashiriki katika maadhimisho ya miaka 20 ya Chuo Kikuu cha Waislam...