Majaliwa: kamilisheni uchunguzi wa wizi wa vifaa vya hospitali

▪️Asema Serikali haitomvumia mtumishi atakayethibitika kuhusika na wizi Mwanza WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameuagiza uongozi wa mkoa wa Mwanza uhakikishe unakamilisha uchunguzi wa watumishi wa...

Moi yaandika historia yawa ya kwanza Afrika kuendesha mafunzo maalum ya upasuaji wa mishipa...

Dar es Salaam BAADA ya kuandika historia kwa upasuaji wa kutumia akili unde, sasa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeandika...

MOI YANADI HUDUMA ZAKE ZA KIBOBEZI KATIKA WIKI YA AFYA ZANZIBAR

Zanzibar TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) inashiriki maonesho ya Wiki ya Afya Zanzibar yaliyoanza Mei 4,na yatafikia tamati Mei 10,...

MOI KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA WIKI YA AFYA KITAIFA DODOMA

Dodoma TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) inashiriki katika Wiki ya Afya kitaifa 2025 inayofanyika jijini Dodoma, ambapo wananchi watapa huduma...

MOI YATOA MATIBABU YA KIBINGWA BURE KWA WANANCHI VIWANJA VYA AMANI ZANZIBAR

Zanzibar TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) inashiriki katika kambi ya matibabu ya kibigwa na kibobezi ya mifupa, ubongo, mgongo, mishipa...

MOI KUANZA KUFANYA UPASUAJI WA UBONGO KWA KUTUMIA TEKNOLOJIA YA AKILI UNDE

Na Abdallah Nassoro- Dar es Salaam TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), mapema wiki hii inatarajia kuanza kutoa huduma za upasuaji wa...

WIZARA YA AFYA YAWASILISHA VIPAUMBELE 11 VYA BAJETI 2025/26 MBELE YA KAMATI YA BUNGE

Dodoma WIZARA ya Afya imewasilisha vipaumbele 11 kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI ambavyo ni pamoja na kuimarisha...

MAJALIWA: HAKIKISHENI BIDHAA ZINAZOZALISHWA NCHINI ZINAKIDHI VIWANGO

Dar es Salaam WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameziagiza taasisi za kudhibiti viwango nchini zihakikishe uzalishaji wa bidhaa zote zinazozalishwa zikiwemo za afya zinakidhi ubora...

MUHIMBILI YATOA ELIMU YA UGONJWA WA FIGO KWA WAKUU WA SHULE DAR ES SALAAM...

Dar es Salaam HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) leo imetoa elimu kuhusu ugonjwa ya figo na magonjwa yasiyoambukiza kwa walimu wakuu wa shule za...

MOI KUBORESHA MFUMO WA UTOAJI WA TAARIFA KWA NDUGU WA WAGONJWA WANAOFANYIWA UPASUAJI

Morogoro TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imejipanga kuboresha utoaji wa taarifa za mwenendo wa upasuaji wa wagonjwa kwa ndugu wa...