ZEEA YAANZA KUTOA MIKOPO KIDIJITALI, MAAFISA WASHAURI KUWA MAKINI

Zanzibar MIKOPO kwa njia ya kidijitali inayoanza kutolewa na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) imeelezwa kuwa itawasaidia wananchi kupata fedha kwa wakati...

WAFANYABIASHARA KARIAKOO WAIOMBA SERIKALI TOZO ZOTE ZA MIZIGO KUISHIA BANDARINI Dar es salaam JUMUIYA ya wafanyabiashara Kariakoo wamemuomba Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kutoa maelekezo kwa...

MKEYENGE : UELEWA WA WATANZANIA KUHUSU ELIMU YA BIMA NI ASILIMIA MBILI

Dar es Salaam MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Taifa la Bima (NIC), Kaimu Mkeyenge amesema wananchi wa Tanzania wana uelewa wa asilimia mbili tu...

TANI 1100 ZA UFUTA ZIMEUZWA PWANI KATIKA MNADA WA NNE KWA SHILINGI 3280/- KWA...

Pwani TANI 1100 za zao la ufuta zimeuzwa katika mnada wa nne wa msimu wa mwaka 2024/25 kwa bei ya shilingi 3280.13 kwa kilo Moja...

SAGCOT :PARACHICHI LINALOLIMWA NCHINI LINA THAMANI NJE YA NCHI

Dodoma TAAASISI Inayojihusisha na Mpango wa Kukuza Kilimo Ukanda wa Kusini Mwa Tanzania (SAGCOT) imesema zao la parachichi linalolimwa hapa nchini lina ubora...

RC CHALAMILA WAFANYABIASHARA WALIOFUNGUA MADUKA KARIAKOO WASISHINIKIZWE KUFUNGA

-Asema falsafa ya Dk. Samia ni kutatua migogoro kwa kukaa mezani pamoja -Asisitiza kamwe migogoro haiwezi kusuluhishwa kwa mashinikizo Dar es Salaam MKUU wa Mkoa wa...

MWENYEKITI WA JUMUIYA YA WAFANYABIASHARA ATOA RAI WAFANYABIASHARA KUFUNGUA MADUKA.

Dar es Salaam MWENYEKITI waJumuiya ya Wafanyabiashara Soko la Kimataifa la Kariakoo, Martin Mbwana ametoa rai kwa wafanyabiashara kufungua maduka yao na kuendelea kufanyakazi...

MAMA NA BABA LISHE WA SOKO LA SAMAKI FERI KUFUNGIWA MTAMBO WA GESI YA...

Na Esther Mnyika NAIBU Spika wa Bunge, Azzan Zungu, amewahakikishia Mama Lishe na Baba lishe katika Soko la Samaki la Kimataifa Feri kuwa watafungiwa...

TCB BENKI KUUNGA MKONO MALENGO YA RAIS DK.SAMIA KWA KUTOA KIASI CHA SHILINGI BILIONI...

Dar es Salaam BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) imejizatiti kuunga mkono malengo ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ya kukuza uchumi nchini kwa kutoa...

MKURUGENZI NIC WAWEKEZAJI WANAPASWA KUKATA BIMA ZA BIASHARA

Dar es Salaam MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Taifa la Bima (NIC) Kaimu Abdi amesema kufuatia uwekezaji unaondela nchini wawekezaji wanapaswa kukata bima za...