SEKTA YA UWEKEZAJI NCHINI INAZIDI KUIMARIKA -PROFESA KITILA.

Na Esther Mnyika @Lajiji Digital WAZIRI wa Ofisi ya Rais Uwekezaji na Mipango Profesa Kitila Mkumbo amesema kwa Sekta ya Uwekezaji nchini inazidi kuimarika...

RC CHALAMILA WAFANYABIASHARA WALIOFUNGUA MADUKA KARIAKOO WASISHINIKIZWE KUFUNGA

-Asema falsafa ya Dk. Samia ni kutatua migogoro kwa kukaa mezani pamoja -Asisitiza kamwe migogoro haiwezi kusuluhishwa kwa mashinikizo Dar es Salaam MKUU wa Mkoa wa...

SERIKALI KUZINDUA SERA MPYA YA BIASHARA

Na Esther Mnyika, Dar es salaam SERIKALI inatarajia kuzindua Sera mpya yaTaifa ya Biashara ya 2003 Toleo la 2023 yenye dhamira ya kuweka mfumo...

KUKUA KWA TEKNOLOJIA KUTASAIDIA KUONGEZA TIJA NA USHINDANI WA BIASHARA

Na Hughes Dugilo, DaresSalaam. KUKUA kwa Teknolojia katika Sekta ya TEHAMA na uwepo wa akili mnemba (IA), kutasaidia kuongeza tija na ushindani wa Biashara...

DK. BITEKO ATAKA MITAALA VYUONI IENDANE NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA

📌Azindua dira ya miaka 50 ya CBE (2025 - 2075) 📌Asisitiza matumizi ya teknolojia za kisasa, zinazojibu changamoto za jamii 📌Taasisi za elimu ya juu zatakiwa...

AKIBA COMMERCIAL BANK PLC YAWATOA HOFU WATEJA WAKE KARIAKOO.

Dar es Salaam AKIBA Commercial Banki imeendelea kujitoa si tu kuhudumia wateja wake bali pia kushiriki katika juhudi za kijamii wakati wa dharura na...

TCB BENKI KUUNGA MKONO MALENGO YA RAIS DK.SAMIA KWA KUTOA KIASI CHA SHILINGI BILIONI...

Dar es Salaam BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) imejizatiti kuunga mkono malengo ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ya kukuza uchumi nchini kwa kutoa...

WAZIRI MAVUNDE AAGIZA LESENI ZA UTAFITI 45 MKOANI RUKWA KUREJESHWA SERIKALINI

-Ni Leseni ambazo hazifanyiwi kazi na kuzuia maelfu ya wachimbaji kuchimba -Eneo lililorejeshwa la ekari 812,383 ni kubwa zaidi ya Wilaya ya Sumbawanga -Wachimbaji wadogo na...

TANTRADE YAPOKEA VIFAA MBALIMBALI VYA BILIONI MOJA

Na Esther Mnyika Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Nchini (TANTRADE) wamepokea msaada wa vifaa mbalimbali kwa ajili ya kuboresha utendaji kazi wao kutoka mamlaka...

BRELA YATOA ELIMU MAONYESHO YA BIASHARA NA UTALII TANGA.

Na Boniface Gideon,Tanga WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), wameendelea na zoezi la kutoa Elimu kwa Wafanyabiashara na Wananchi pamoja na kufanya huduma...