SHILINGI BILIONI 108.43 KUWEZESHA UANZISHAJI, UENDELEZAJI VIWANDA VYA KUONGEZA THAMANI – DK. BITEKO
                    
📌 Mwananchi Communications Ltd yapongezwa kwa ubunifu
📌 Kongamano la Wajasiriamali wadogo na wa kati kuibua fursa (MSMEs)
Dar es Salaam 
SERIKALI kupitia Benki ya Maendeleo...                
            KONGAMANO LA BIASHARA KATI YA TANAZANIA NA CHINA KUFANYIKA MACHI 27.
                    
Na Mwandishi wetu 
KATIKA kile kinachothibitisha kuwa uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan umefungua fursa za kiuchumi Machi 27 mwaka huu kampuni 180 za China...                
            DKT. NCHEMBA ATETA NA UONGOZI WA BENKI YA WATU WA ZANZIBAR
                    
Na Benny Mwaipaja, DodomaWaziri wa Fedha, Dk. Mwigulu  Nchemba, ameipongeza Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) kwa kupanua biashara zake hapa nchini na kuitaka...                
            WAVUVI WA MUSOMA VIJIJINI WAISHUKURU SERIKALI MIKOPO NAFUU YA DK.SAMIA YA UVUVI WA VIZIMBA
                    
Na Shomari Binda-Musoma
WAVUVI katika jimbo la Musoma vijijini wameishukuru serikali chini ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa mikopo nafuu kwaajili ya uvuvi wa vizimba.
Shukrani...                
            MKURUGENZI NIC WAWEKEZAJI WANAPASWA KUKATA BIMA ZA BIASHARA
                    
Dar es Salaam 
MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Taifa la Bima (NIC) Kaimu Abdi amesema kufuatia uwekezaji unaondela nchini wawekezaji wanapaswa kukata bima za...                
            MKEYENGE : UELEWA WA WATANZANIA KUHUSU ELIMU YA BIMA NI ASILIMIA MBILI
                    
Dar es Salaam 
MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Taifa la Bima (NIC), Kaimu Mkeyenge amesema wananchi wa Tanzania wana uelewa wa asilimia mbili tu...                
            BRELA YATOA ELIMU YA MILIKI UBUNIFU , WIKI YA ELIMU, UJUZI NA UBUNIFU.
                    
Na Boniface Gideon -TANGA
WAKALA wa Biashara na Leseni  (BRELA) wameendesha zoezi la kutoa Elimu ya alama Miliki Ubunifu Bunifu kwa Wateja na Wadau...                
            Dk. Samia aahidi kukuza uchumi, ajira na utawala bora
                    
Na Esther Mnyika, Zanzibar
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kwamba ndani ya...                
            MAMA NA BABA LISHE WA SOKO LA SAMAKI FERI KUFUNGIWA MTAMBO WA GESI YA...
                    
Na Esther Mnyika 
NAIBU Spika wa Bunge, Azzan Zungu, amewahakikishia Mama Lishe na Baba lishe katika Soko la Samaki la Kimataifa Feri kuwa watafungiwa...                
            MAROBOTI YAWA KIVUTIO SABASABA
                    
Dar es Salaam
IKIWA zimebaki siku mbili kufungwa kwa maonesho 48 ya biashara kimataifa maarufu kama Sabasaba miongoni mwa vitu ambavyo vimekuwa kivutio ni pamoja...                
            











