DK. BITEKO ATAKA MITAALA VYUONI IENDANE NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA

📌Azindua dira ya miaka 50 ya CBE (2025 - 2075) 📌Asisitiza matumizi ya teknolojia za kisasa, zinazojibu changamoto za jamii 📌Taasisi za elimu ya juu zatakiwa...

SERIKALI YAPUNGUZA KODI KWENYE VIFAA VYA MAZOEZI TIBA

Na Saidina Msangi, Dodoma. SERIKALI imesema kuwa msamaha kwenye vifaa tiba vya mazoezi yaani physiotherapy hutolewa kwa hospitali zilizosajiliwa na kuidhinishwa na Waziri wa Afya,...

TCB NA RAMANI.IO WAMEZINDUA RASMI USHIRIKIANO WA KULETA MAGEUZI KATIKA SEKTA YA...

Dar es Salaam BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) kwa kushirikiana na Ramani.io wamezindua rasmi ushirikiano unaolenga kuimarisha biashara za ndani na kuongeza ujumuishaji wa...

ZEEA YAANZA KUTOA MIKOPO KIDIJITALI, MAAFISA WASHAURI KUWA MAKINI

Zanzibar MIKOPO kwa njia ya kidijitali inayoanza kutolewa na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) imeelezwa kuwa itawasaidia wananchi kupata fedha kwa wakati...

TRADE MARK AFRIKA KUENDELEA KUTEKELEZA MIRADI NCHINI

Na Saidina Msangi,Dodoma. NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Amina Khamis Shaaban, ameongoza Mkutano wa 47 wa Kamati Tendaji ya Kitaifa (National Oversight Committee -NOC)...

BRELA YATOA ELIMU MAONYESHO YA BIASHARA NA UTALII TANGA.

Na Boniface Gideon,Tanga WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), wameendelea na zoezi la kutoa Elimu kwa Wafanyabiashara na Wananchi pamoja na kufanya huduma...

AKIBA COMMERCIAL BANK PLC YAWATOA HOFU WATEJA WAKE KARIAKOO.

Dar es Salaam AKIBA Commercial Banki imeendelea kujitoa si tu kuhudumia wateja wake bali pia kushiriki katika juhudi za kijamii wakati wa dharura na...

WAVUVI WA MUSOMA VIJIJINI WAISHUKURU SERIKALI MIKOPO NAFUU YA DK.SAMIA YA UVUVI WA VIZIMBA

Na Shomari Binda-Musoma WAVUVI katika jimbo la Musoma vijijini wameishukuru serikali chini ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa mikopo nafuu kwaajili ya uvuvi wa vizimba. Shukrani...

BoT YAZIFUNGIA APPLICATION “69 ZA MIKOPO MITANDAONI

Dar es Salaam BENKI Kuu ya Tanzania(BoT), imetoa orodha ya ‘Applications’ 69 zinazotoa mikopo ya fedha mtandaoni zilizofungiwa kujihusisha na huduma hiyo. Taarifa iliyotolewa...

TCB BENKI KUUNGA MKONO MALENGO YA RAIS DK.SAMIA KWA KUTOA KIASI CHA SHILINGI BILIONI...

Dar es Salaam BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) imejizatiti kuunga mkono malengo ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ya kukuza uchumi nchini kwa kutoa...