KONGAMANO LA BIASHARA KATI YA TANAZANIA NA CHINA KUFANYIKA MACHI 27.

Na Mwandishi wetu  KATIKA kile kinachothibitisha kuwa uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan umefungua fursa za kiuchumi Machi 27 mwaka huu kampuni 180 za China...

DC SAME AIGIZA TRA KUTUMIA UBUNIFU WA KUDHIBITI MIANYA YA UKWEPAJI KODI KWA BAADHI...

Na Mwandishi wetu, SAME MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni ameagiza Maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wilayani humo kutumia...

MWENYEKITI WA JUMUIYA YA WAFANYABIASHARA ATOA RAI WAFANYABIASHARA KUFUNGUA MADUKA.

Dar es Salaam MWENYEKITI waJumuiya ya Wafanyabiashara Soko la Kimataifa la Kariakoo, Martin Mbwana ametoa rai kwa wafanyabiashara kufungua maduka yao na kuendelea kufanyakazi...

TCB BENKI KUUNGA MKONO MALENGO YA RAIS DK.SAMIA KWA KUTOA KIASI CHA SHILINGI BILIONI...

Dar es Salaam BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) imejizatiti kuunga mkono malengo ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ya kukuza uchumi nchini kwa kutoa...

MKEYENGE : UELEWA WA WATANZANIA KUHUSU ELIMU YA BIMA NI ASILIMIA MBILI

Dar es Salaam MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Taifa la Bima (NIC), Kaimu Mkeyenge amesema wananchi wa Tanzania wana uelewa wa asilimia mbili tu...

KUKUA KWA TEKNOLOJIA KUTASAIDIA KUONGEZA TIJA NA USHINDANI WA BIASHARA

Na Hughes Dugilo, DaresSalaam. KUKUA kwa Teknolojia katika Sekta ya TEHAMA na uwepo wa akili mnemba (IA), kutasaidia kuongeza tija na ushindani wa Biashara...

WAVUVI WA MUSOMA VIJIJINI WAISHUKURU SERIKALI MIKOPO NAFUU YA DK.SAMIA YA UVUVI WA VIZIMBA

Na Shomari Binda-Musoma WAVUVI katika jimbo la Musoma vijijini wameishukuru serikali chini ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa mikopo nafuu kwaajili ya uvuvi wa vizimba. Shukrani...

AKIBA COMMERCIAL BANK PLC YAWATOA HOFU WATEJA WAKE KARIAKOO.

Dar es Salaam AKIBA Commercial Banki imeendelea kujitoa si tu kuhudumia wateja wake bali pia kushiriki katika juhudi za kijamii wakati wa dharura na...

TADB WATANZANIA WANAWATEGEMEA KATIKA ELIMU NA MIKOPO – DK. BITEKO

Pwani NAIBU Waziri Mkuu Dk. Dotto Biteko amesema Watanzania wanawategemea katika uwezeshaji wa elimu na mikopo Banki ya maendeleo ya kilimo nchini TADB kwani...

SERIKALI IMETANGAZA KUFANYA SENSA YA VIWANDA REJEA YA MWAKA 2023

Dar es Salaam SERIKALI imetangaza kufanya sensa ya uzalishaji wa viwanda rejea ya mwaka 2023 kubaini mchango wa viwanda katika ukuaji wa uchumi. Kauli hiyo...