DC TANGA AKUTANA NA FAMILIA ZA KING MAJUTO, SHABAN ROBERT.
Na Boniface Gideon,TANGA
MKUU wa Wilaya ya Tanga, Raphael Kubecha mwishoni mwa wiki hii amekutana na familia za wanasanaa maarufu nchini King Majuto na Shaban...
RAIS SAMIA ASHUHUDIA UZINDUZI WA ALBAM YA MUZIKI WA MAMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Msanii wa Bongo Flavour Rajab Abdul aka Harmonize mara baada ya kuwasili...
DK. SERERA AHIMIZA MFUKO WA SANAA NA UTAMADUNI KUJENGA UWEZO KWA WASANII
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Suleiman Serera ametoa wito kwa watendaji wa Mfuko wa Utamaduni...
DISEMBA 26,2024 HISTORIA YA MASUMBWI NGUMI ZA KULIPWA KUANDIKWA TANZANIA
Dar es salaam
WASANII Filamu Nchini Bongo movie wametoa mitazamo yao kuelekea siku ya Disemba, 26 Masaki Jijini Dar es salaam siku ya boxing...
TUZO ZA TAMTHILIA ZA KIMATAIFA KUZINDULIWA AGOSTI 24,2024
Dar es Salaam
WASANII filamu za Bongomovie wameshauriwa kuchangamkia fursa waliyopewa Kimataifa kupitia Tuzo za Tamthilia zinazotarajiwa kuzinduliwa rasmi Agosti 24,2024 Jijini Dar es Salaam.
Akizungumza...
HARMONIZE ANATARAJIA KUZINDUA ALBUM YA TANO MEI 25
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
MSANII wa mziki bongo fleva Rajab Abdul maarufu kama "Harmonize" Mei 25,2024 anatarajia kuzindua album yake ya tano ambayo...
ZARI THE BOSS LADY KESHO ANATARAJIA KUTOA MSAADA HOSPITALI
MPENZi wa zamani wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, Zarina Hassan maarufu The Boss Lady, anatarajiwa kutoa msaada kwa wanawake waliojifungua kwenye Hospitali...
KESI YA NICOLE YASOGEZWA MBELE HADI APRIL 14
Dar es Salaam
KESI ya uhujumu uchumi inayomkabili msanii wa uigizaji Joyce Mbaga (32), maarufu Nicole Berry na mwenzake Rehema Mahanyu (31), imetajwa leo...
WASANII WA TANZANIA NA KOREA KUCHEZA FILAMU KWA PAMOJA
Korea
SEKTA ya Filamu nchini Jamhuri ya Korea imeahidi kushirikiana na sekta ya filamu nchini Tanzania ili iweze kuzalisha filamu zenye viwango vya Kimataifa zitakazovutia...
RAYVAN AZINDUA PROMOSHENI YA ‘KULA SHAVU
Dar es Salaam
MSANII nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Raymond Mwakyusa, Rayvanny, maarufu kama Chui, ameizindua rasmi promosheni mpya inayojulikana kama “Kula Shavu”,...












