RAIS DK.SAMIA AMEPOKEA ZAWADI YA CD ZENYE BAADHI YA FILAMU ZA KOREA KUSINI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akipokea Zawadi ya CD zenye baadhi ya Filamu zilizochezwa na Watayarishaji maarufu wa Jamhuri...
ZANZIBAR KUSHIRIKIANA NA WASANII KUTANGAZA VIVUTIO:DK.MWINYI
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kushirikiana na Wasanii kutangaza vivutio mbalimbali vya utalii.
Dk.Mwinyi...
Waziri Mkuu aendelea kuwashawishi Wajapan kuwekeza Nchini
Japan
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameendelea kuwashawishi wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa wa Japan kuja kuwekeza kwenye sekta za kilimo, afya, uchumi wa buluu, nishati,...
DISEMBA 26,2024 HISTORIA YA MASUMBWI NGUMI ZA KULIPWA KUANDIKWA TANZANIA
Dar es salaam
WASANII Filamu Nchini Bongo movie wametoa mitazamo yao kuelekea siku ya Disemba, 26 Masaki Jijini Dar es salaam siku ya boxing...
WASANII WA BONGO MOVIE WAJIFUNZA KWA KINA KUHUSU SEKTA YA MADINI
Dar es Salaam,
BAADHI ya Wasanii wa filamu maarufu Bongo Movie wamepata fursa ya kujifunza kwa kina kuhusu sekta ya madini kupitia Maonesho ya 48...
KISWAHILI NI FURSA- BALOZI MAHMOUD THABIT KOMBO
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
LUGHA ya Kiswahili ni fursa Watanzania tutumie kukuza uchumi wetu.
Hayo yamesemwa mei, 6 , 2024 na Balozi wa Tanzania nchini Italia...
MAMA KANUMBA APONGEZA WAANDAJI WA TAMASHA LA FARAJA YA TASNIA
Dar es Salaam
MAMA wa marehemu Steven Kanumba, Frola Mtegoa amesema tangu mwanaea afariki dunia hajawahi kuangalia filamu ya Kanumba hata moja kwa sababu...
STEVE NYERERE AMESEMA WANATARAJIA KUAANDAA TAMASHA KUBWA
Na Mwandishi wetu
MWENYEKITI wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao, Steven Mengele maarufu kama"Steve Nyerere" amesema wanatarajia kufanya Tamasha kubwa kwaajili ya walemavu ...
ZARI THE BOSS LADY KESHO ANATARAJIA KUTOA MSAADA HOSPITALI
MPENZi wa zamani wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, Zarina Hassan maarufu The Boss Lady, anatarajiwa kutoa msaada kwa wanawake waliojifungua kwenye Hospitali...
WASANII MBALIMBALI NA WATU MAARUFU NDANI YA MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM
Dodoma
WASANII mbalimbali na watu maarufu ni miongoni mwa watu waliohudhuria mkutano Mkuu Maalum wa CCM unaofanyika kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.
Lengo...