MAMA KANUMBA APONGEZA WAANDAJI WA TAMASHA LA FARAJA YA TASNIA
Dar es Salaam
MAMA wa marehemu Steven Kanumba, Frola Mtegoa amesema tangu mwanaea afariki dunia hajawahi kuangalia filamu ya Kanumba hata moja kwa sababu...
WASANII WA TANZANIA NA KOREA KUCHEZA FILAMU KWA PAMOJA
Korea
SEKTA ya Filamu nchini Jamhuri ya Korea imeahidi kushirikiana na sekta ya filamu nchini Tanzania ili iweze kuzalisha filamu zenye viwango vya Kimataifa zitakazovutia...
RAIS SAMIA ASHUHUDIA UZINDUZI WA ALBAM YA MUZIKI WA MAMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Msanii wa Bongo Flavour Rajab Abdul aka Harmonize mara baada ya kuwasili...
DC TANGA AKUTANA NA FAMILIA ZA KING MAJUTO, SHABAN ROBERT.
Na Boniface Gideon,TANGA
MKUU wa Wilaya ya Tanga, Raphael Kubecha mwishoni mwa wiki hii amekutana na familia za wanasanaa maarufu nchini King Majuto na Shaban...
KING KIKII WA KITAMBAA CHEUPE AFARIKI DUNIA
Mwanamziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini Tanzania Bonifance maarufu kwa jina la King Kikii amefariki dunia.
Mwanamziki huyo ambaye ameugua kwa mda mrefu...
Zuchu afungiwa miezi sita Visiwani Zanzibar
Na Mwandishi wetu
BARAZA la Sanaa, Sensa, Filamu na Utamaduni la Zanzibar, ( BASSFU), limemfungia msanii wa kizazi kipya Zuhura Othman Masoud maarufu kwa jina...
RAIS DK. MWINYI AAHIDI KUENDELEZA MATAMASHA YA ASILI ILI KUONGEZA IDADI YA WATALII
Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuyaimarisha matamasha yaliyopo ikiwemo Mwaka Kogwa na...
KAMPUNI YA HEINKENI INATARAJIA KUZINDUA RASMI JALADA NA CHAPA YA KAMPUNI MPYA MEI 25
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
MENEJA Mkazi nchini wa Kampuni ya Heinken , Obabiya Fagade amesema kampuni ya Heinken imefanya ununuzi wa Kampuni ya Distell...
TAMASHA LA UTALII LUSHOTO KUIBUA FURSA MPYA ZA AJIRA KWA WANANCHI
Na Ashrack Miraji, Tanga
MKUU wa Wilaya Lushoto, Japhari Kubecha, amesema Tamasha la Utalii Wilayani humo liitwalo USAMBALA TOURISM FESTIVAL linatarajiwa kufanyika mwezi Septemba...
WAZIRI NDUMBARO ASISITIZA WASANII KURASIMISHA KAZI ZAO .
Dar es Salaam
WAZIRI wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro amehimiza na kuwasisitiza wasanii kujiraismisha ili kurahisisha mipango ya Serikali ya kuwatafutia...