Kila sekta ijiandae kupokea wageni kuelekea chan-iDk.Yonazi
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu, Dk. Jim Yonazi amezitaka sekta zote kujianda...
Wachezaji zaidi ya 150 waliamsha Lina PG Tour, Lugalo
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
MASHINDANO ya Gofu kwa ajili ya kumuenzi mchezaji wa zamanı wa timu ya taifa ya wanawake ya gofu, marehemu...
Rais Dk.Mwinyi azaiwadia milioni 100 klabu ya Yanga
Na Mwandishi wetu,Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameizawadia Klabu ya Yanga SC shilingi milioni 100,...
Simba SC Yakwepa Mkutano wa Pre-Match, Bodi ya Ligi yatoa tamko
Na Mwandishi Wetu, Lajiji
Klabu ya Simba haikuhudhuria mkutano wa kabla ya mchezo (Pre-Match Conference) uliopangwa kufanyika leo Juni 24, 2025 saa 5:30 asubuhi, jijini...
Simba yadai kutoshiriki mchezo mwingine na Yanga isipokuwa Juni 15.
Na Mwandishi wetu
KLABU ya Simba imesema itaingia uwanjani Juni 15, 2025 kwa ajili ya kushiriki mchezo namba 184 dhidi ya Yanga SC...
Waziri Mkuu: Serikali yatenga shilingi bilioni 43 kuimarisha michezo shuleni
▪️Azindua mashindano ya UMITASHUMTA na UMISSETA Iringa
Iringa
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga shilingi bilioni 43 ili kuimarisha michezo katika shule mbalimbali nchini...
Majaliwa amewakilisha Rais Dk.Samia tuzo za BMT
Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu,Kassim Majaliwa leo Juni 01, 2025 jijini Dar es Salaam amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika tuzo za wanamichezo...
Waziri Mkuu aridhishwa na maboresho yanayoendelea kwa Mkapa
Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Mei 17, 2025 amekagua ukarabati wa uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam ikiwa ni...
MAKALLA: TIMU YA NAMUNGO IMECHANGIA KUKUZA UCHUMI NA UTALII WA MICHEZO RUANGWA
• Kuchangia Namungo ni hiari msirudi nyuma ichangieni
•Apongeza jitihada za Rais kukuza michezo na timu kuwa na uwanja kisasa
Lindi
KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi,...
MICHUANO YA AFCON NA CHAN ITAENDELEZA MICHEZO NA UTALII NCHINI – MAJALIWA
▪️Aridhishwa na kasi na ubora wa ukarabati
Zanzibar
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema uamuzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia...