WAZIRI MKUU AKAGUA VIWANJA VITAKAVYOTUMIKA CHAN AGOSTI 2025
Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Machi 29, 2025 amefanya ukaguzi wa viwanja vitakavyotumiwa kufanyia mazoezi na timu zitakazo shiriki michuano ya...
NBC WAKABIDHI BASI LA WACHEZAJI COASTAL UNION
Na Boniface Gideon, Tanga
BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC)ambao pia ni wadhamini wa Ligi kuu na Ligi daraja la kwanza nchini,jana wamekabidhi Basi la...
WATUMISHI WA MADINI WAASWA KUFANYA KAZI KWA BIDII KUWA WAZALENDO
*Watakiwa kuongeza bidii kufikia asilimia 10 mchango wa Sekta ya Madini kwenye Pato la Taifa
*Watakiwa kulinda afya, kuepuka magonjwa yasiyo ya kuambukiza
Dodoma
WATUMISHI wa...
YANGA YAACHANA NA KOCHA WAKE RAMOVIC, YAMTANGAZA KOCHA MPYA MILOUD HAMD KUSHIKA MIKOBA
Dar es Salaam
KLABU ya Yanga Wana Jangnwani usiku huu wa saa Nne kamili, 4 Februari, 2025 wametoa taarifa rasmi kwa Umma juu ya...
TANZANIA IMEJIPANGA MAANDALIZI CHAN NA AFCON – MAJALIWA.
Dodoma
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imejipanga vyema kukamilisha maandalizi yote muhimu ikiwemo miundombinu kwa ajili ya Michuano ya Mpira wa Miguu kwa...
SIMBA SC YAICHAPA CS CONSTANTINE 2-0 YAMALIZA KUNDI KILELENI
Dar es Salaam
TIMU ya Simba SC ya Tanzania imeonyesha ubora wa soka dhidi ya Timu ya CS Constantine_officiel kutoka Tunisia mara baada ya...
WATANZANIA KUNUFAIKA NA MASHINDANO YA CHAN 2025, AFCON 2027
📌Mashindano yameipa heshima Tanzania kimataifa
📌Rais Samia kinara wa Michezo nchini
Dar es Salaam
WATANZANIA watanufaika na fursa mbalimbali za kiuchumi na kijamii zitakazopatikana kuelekea mashindano...
RAIS DK. MWINYI AIPA SHILINGI MILIONI 50 ZANZIBAR HEROES
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk,Hussein Ali Mwinyi ameizawadia Timu ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes shilingi milioni 50...
DK.MWINYI : ZANZIBAR KUZALISHA VIPAJI VYA VIJANA WENYE UWEZO WA KUCHEZA NJE YA NCHI
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema umefika wakati kwa Zanzibar kuzalisha vipaji vya vijana watakaokuwa...
HAKIKISHENI MABONDIA WANANUFAIKA NA VIPAJI VYAO-MAJALIWA
Rais Dk. Samia apiga simu, awataka mabondia Watanzania kuibeba bendera ya Tanzania kwenye tukio hilo
Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya...