Mwinjuma atoa msimamo wa Serikali kuhusu mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji Simba...
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
SERIKALI imesisitiza kuwa haitalazimisha Klabu yoyote nchini kufanya mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji bila uamuzi wa wanachama wake,...
Hasheem Thabit: Mchezo ulikuwa mgumu
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
NAHODHA wa Timu ya Basketball ya Dar City, Hasheem Thabit, amesema mashindano waliyoshiriki nchini Kenya yalikuwa na ushindani...
Marufuku mashabiki wa Simba na Yanga kuingia na silaha uwanjani-Kamanda Muliro
Na Mwandishi wetu, Dar es salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limetoa Onyo kali kwa Mashabiki wote wa Klabu ya Simba...
Trionda mpira utakaotumika kombe la Dunia 2026
Na Mwandishi wetu
SHIRIKISHO la Masoko Duniani (FIFA), limezindua mpira utakaotumika katika Michuano ya Kombe la Dunia 2026 uliopewa jina la Trionda ambapo una...
Rais Dk. Samia ampongeza mwanariadha Simbu
*Amkabidhi Nyumba jijini Dodoma
* Majaliwa asema Simbu ameliheshimisha Taifa
*Atoa zawadi kwa Timu zilizofanya vizuri kimataifa
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
RAIS Dk. Samia Suluhu...
Uwanja wa black rhimo Karatu ni uwanja bora-Makalla
*Asema ni uwanja utakaotumika na timu za Mataifa mbalimbali kwenye maandalizi ya AFCON 2027
Na Mwandishi wetu, Arusha
MKUU wa mkoa wa Arusha CPA Amos...
Hawa hapa waamuzi watakaoamua Kariakoo Dabi leo
Na Mwandishi Wetu, Lajiji
Joto la Kariakoo Dabi linazidi kupanda kuelekea mchezo wa fainali ya Ngao ya Jamii utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Septemba 16,...
Dk. Biteko ahimiza wanamichezo kuchunguza afya zao
๐ Tasnia ya Burudani na Michezo kwa mwaka 2024/2025 imekuwa kwa asilimia 18
๐ Watumishi 3,353 washiriki SHIMIWI mwaka 2025
๐ Awahimiza washiriki SHIMIWI kusikiliza kampeni...
Tanzania yazoa medali za riadha FEASSA 2025
OR-TAMISEMI, Kenya
TANZANIA imeendelea kungโara katika mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Shule za Msingi na Sekondari Afrika Mashariki (FEASSA 2025) baada ya kufanya vizuri...
Taifa Stars kuvuna bilioni moja ikitwaa ubingwa CHAN 2024
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi ya donge nono ya fedha taslimu shilingi bilioni moja iwapo...












