Mwinjuma atoa msimamo wa Serikali kuhusu mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji Simba...

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam SERIKALI imesisitiza kuwa haitalazimisha Klabu yoyote nchini kufanya mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji bila uamuzi wa wanachama wake,...

Hasheem Thabit: Mchezo ulikuwa mgumu

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam NAHODHA wa Timu ya Basketball ya Dar City, Hasheem Thabit, amesema mashindano waliyoshiriki nchini Kenya yalikuwa na ushindani...

Marufuku mashabiki wa Simba na Yanga kuingia na silaha uwanjani-Kamanda Muliro

Na Mwandishi wetu, Dar es salaam JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limetoa Onyo kali kwa Mashabiki wote wa Klabu ya Simba...

Trionda mpira utakaotumika kombe la Dunia 2026

Na Mwandishi wetu SHIRIKISHO la Masoko Duniani (FIFA), limezindua mpira utakaotumika katika Michuano ya Kombe la Dunia 2026 uliopewa jina la Trionda ambapo una...

Rais Dk. Samia ampongeza mwanariadha Simbu

*Amkabidhi Nyumba jijini Dodoma * Majaliwa asema Simbu ameliheshimisha Taifa *Atoa zawadi kwa Timu zilizofanya vizuri kimataifa Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam RAIS Dk. Samia Suluhu...

Uwanja wa black rhimo Karatu ni uwanja bora-Makalla

*Asema ni uwanja utakaotumika na timu za Mataifa mbalimbali kwenye maandalizi ya AFCON 2027 Na Mwandishi wetu, Arusha MKUU wa mkoa wa Arusha CPA Amos...

Hawa hapa waamuzi watakaoamua Kariakoo Dabi leo

Na Mwandishi Wetu, Lajiji Joto la Kariakoo Dabi linazidi kupanda kuelekea mchezo wa fainali ya Ngao ya Jamii utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Septemba 16,...

Dk. Biteko ahimiza wanamichezo kuchunguza afya zao

๐Ÿ“Œ Tasnia ya Burudani na Michezo kwa mwaka 2024/2025 imekuwa kwa asilimia 18 ๐Ÿ“Œ Watumishi 3,353 washiriki SHIMIWI mwaka 2025 ๐Ÿ“Œ Awahimiza washiriki SHIMIWI kusikiliza kampeni...

Tanzania yazoa medali za riadha FEASSA 2025

OR-TAMISEMI, Kenya TANZANIA imeendelea kungโ€™ara katika mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Shule za Msingi na Sekondari Afrika Mashariki (FEASSA 2025) baada ya kufanya vizuri...

Taifa Stars kuvuna bilioni moja ikitwaa ubingwa CHAN 2024

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi ya donge nono ya fedha taslimu shilingi bilioni moja iwapo...