BASHUNGWA CUP 2024 KUANZA KURINDIMA MWEZI JULAI

Na Mathias Canal, Karagwe-Kagera MASHINDANO ya mpira wa miguu yaliyopewa jina la "BASHUNGWA CUP 2024" yataanza kurindima mwanzoni mwa mwezi Julai 2024 katika Wilaya ya...

MAJALIWA: SERIKALI ITAENDELEA KUIPA KIPAUMBELE SEKTA YA MICHEZO

Dar es Salaam WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita imejipanga kikamilifu kuhakikisha kuwa sekta ya michezo inaendelea kuwezeshwa na kupewa...

MAJALIWA: MIUNDOMBINU YA MICHEZO KUENDELEA KUBORESHWA

Tabora WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea kutekeleza mpango wa kuboresha miundombinu ya michezo katika shule teule 56 nchini. Amesema hadi kufikia Machi 2024...

UFUNGUZI WA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasili mkoani Tabora ambapo atafungua mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa shule za Msingi (UMITASHUMTA) na Sekondari (UMISSETA)...

JAMII YAKUMBUSHWA UMUHIMU WA KUSHIRIKI KUFANYA MAZOEZI KUEPUKA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA

Na Shomari Binda-Musoma JAMII imeshauriwa kufanya mazoezi ili kuweza kuepukana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa club ya mazoezi ya Musoma...

MAJALIWA MICHEZO NI NYENZO MUHIMU INAYODUMISHA AMANI

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema ushirikiano katika michezo ni nyenzo muhimu katika kudumisha diplomasia na amani miongoni mwa nchi washirika...

TUZO ZA WANAMICHEZO KUTOLEWA JUNI 09/2024 WADAU WATAKIWA KUJITOKEZA KUDHAMINI TUKIO HILO MUHIMU.

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital TUZO za Wanamichezo bora zinatarajiwa kutolewa June 9 Mwaka huu Jijini Dar es salaam katika Ukumbi maarufu wa The Super...

MICHEZO NI AFYA, NI FURSA YA AJIRA – MAJALIWA

Na Mwandishi wetu, Mbeya WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema michezo ni zaidi ya afya na burudani, ni fursa ya ajira na pia hupunguza magonjwa...

DK. NDUMBARO AKUTANA NA VIONGOZI WA CHAMUSTA.

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital WAZIRI wa Utamaduni Sanaa na Michezo Dk. Damas Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Chama cha Maafisa Utamaduni...

RAIS DK.MWINYI AWAKABIDHI SIMBA UBINGWA WA MUUNGANO

Na Mwandishi wetu,Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi amewakabidhi timu ya Simba shilingi milioni 50 ambayo ni...