Balozi Omar aishauri EADB kuchochea zaidi ukuaji wa maendeleo kanda ya Afrika Mashariki

Na Mwandishi Wetu,Dodoma WAZIRI wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar ameishauri Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB) kuongeza ubunifu katika kushirikiana na Serikali...

BoT yazidi kudumisha Riba ya asilimia 5.75 kwa robo ya kwanza ya mwaka...

Na Esther Mnyika,Dar es Salaam KAMATI ya Sera ya Fedha ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeamua kwamba riba kuu ya benki (CBR) itabaki kuwa...

Serikali Yaahidi kuimarisha uendelevu wa viwanda na biashara nchini

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam SERIKALI imesema imejipanga kikamilifu kuimarisha uendelevu wa viwanda na biashara nchini kwa kuweka sera, sheria na mifumo rafiki...

TCB Yazindua Kampeni ya Sikukuu Yenye Rejesho la 10% kwa Wateja

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua Kampeni Kabambe ya Msimu wa Sikukuu kwa ajili ya kuwazawadia wateja...

Wateja wa iliyokuwa Benki ya FBME waanza kupokea asilimia 30 ya fidia

Na Mwandishi wetu BAADHI ya wateja wa iliyokuwa FBME Bank Limited (iliyo katika ufilisi) wameanza kupokea fidia ya ufilisi ya asilimia 30 iliyotangazwa hivi...

Serikali inatambua mchango wa TCB kupanua wigo wa huduma jumuishi za fedha

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam SERIKALI, imesema inatambua na kuthamini mchango wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB) katika kupanua wigo wa upatikanaji wa...

BoT yakanusha kuchapisha fedha kwa ajili ya uchaguzi

Na Mwandishi wetu BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imekanusha uvumi wa taarifa zinazozunguka kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa imechapisha na kusambaza fedha kwa...

Gavana Tutuba: CBR yanaendelea kubaki asilimia 5.75

Na Esther Mnyika,Dar es Salaam KAMATI ya Sera ya Fedha ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema kiwango cha Riba ya Benki Kuu (CBR)...

Dk. Samia: Uchumi Tanzania Bara kukua kwa asilimia saba 2026/27

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa endapo atachaguliwa...

Dk. Samia: TASAF umeondoa wengi katika umaskini, nitauendeleza

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema usimamizi mzuri wa...