Balozi Omar aishauri EADB kuchochea zaidi ukuaji wa maendeleo kanda ya Afrika Mashariki
Na Mwandishi Wetu,Dodoma
WAZIRI wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar ameishauri Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB) kuongeza ubunifu katika kushirikiana na Serikali...
BoT yazidi kudumisha Riba ya asilimia 5.75 kwa robo ya kwanza ya mwaka...
Na Esther Mnyika,Dar es Salaam
KAMATI ya Sera ya Fedha ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeamua kwamba riba kuu ya benki (CBR) itabaki kuwa...
Serikali Yaahidi kuimarisha uendelevu wa viwanda na biashara nchini
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
SERIKALI imesema imejipanga kikamilifu kuimarisha uendelevu wa viwanda na biashara nchini kwa kuweka sera, sheria na mifumo rafiki...
TCB Yazindua Kampeni ya Sikukuu Yenye Rejesho la 10% kwa Wateja
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua Kampeni Kabambe ya Msimu wa Sikukuu kwa ajili ya kuwazawadia wateja...
Wateja wa iliyokuwa Benki ya FBME waanza kupokea asilimia 30 ya fidia
Na Mwandishi wetu
BAADHI ya wateja wa iliyokuwa FBME Bank Limited (iliyo katika ufilisi) wameanza kupokea fidia ya ufilisi ya asilimia 30 iliyotangazwa hivi...
Serikali inatambua mchango wa TCB kupanua wigo wa huduma jumuishi za fedha
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
SERIKALI, imesema inatambua na kuthamini mchango wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB) katika kupanua wigo wa upatikanaji wa...
BoT yakanusha kuchapisha fedha kwa ajili ya uchaguzi
Na Mwandishi wetu
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imekanusha uvumi wa taarifa zinazozunguka kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa imechapisha na kusambaza fedha kwa...
Gavana Tutuba: CBR yanaendelea kubaki asilimia 5.75
Na Esther Mnyika,Dar es Salaam
KAMATI ya Sera ya Fedha ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema kiwango cha Riba ya Benki Kuu (CBR)...
Dk. Samia: Uchumi Tanzania Bara kukua kwa asilimia saba 2026/27
Na Esther Mnyika, Zanzibar
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa endapo atachaguliwa...
Dk. Samia: TASAF umeondoa wengi katika umaskini, nitauendeleza
Na Esther Mnyika, Zanzibar
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema usimamizi mzuri wa...












