Wateja wa iliyokuwa Benki ya FBME waanza kupokea asilimia 30 ya fidia
Na Mwandishi wetu
BAADHI ya wateja wa iliyokuwa FBME Bank Limited (iliyo katika ufilisi) wameanza kupokea fidia ya ufilisi ya asilimia 30 iliyotangazwa hivi...
Serikali inatambua mchango wa TCB kupanua wigo wa huduma jumuishi za fedha
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
SERIKALI, imesema inatambua na kuthamini mchango wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB) katika kupanua wigo wa upatikanaji wa...
BoT yakanusha kuchapisha fedha kwa ajili ya uchaguzi
Na Mwandishi wetu
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imekanusha uvumi wa taarifa zinazozunguka kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa imechapisha na kusambaza fedha kwa...
Gavana Tutuba: CBR yanaendelea kubaki asilimia 5.75
Na Esther Mnyika,Dar es Salaam
KAMATI ya Sera ya Fedha ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema kiwango cha Riba ya Benki Kuu (CBR)...
Dk. Samia: Uchumi Tanzania Bara kukua kwa asilimia saba 2026/27
Na Esther Mnyika, Zanzibar
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa endapo atachaguliwa...
Dk. Samia: TASAF umeondoa wengi katika umaskini, nitauendeleza
Na Esther Mnyika, Zanzibar
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema usimamizi mzuri wa...
Samia aahidi kuimarisha wajasiriamali kupitia mikopo isiyo na riba
Na Esther Mnyika, Zanzibar
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake...
Dk. Samia aahidi kukuza uchumi, ajira na utawala bora
Na Esther Mnyika, Zanzibar
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kwamba ndani ya...
Dk. Mwinyi: Amani, umoja na maridhiano ndiyo msingi wa maendeleo Zanzibar
Na Esther Mnyika, Zanzibar
Mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa sasa wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewataka...
BOT yang’ara Kimataifa yapewa tuzo kwa huduma jumuishi za fedha
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
BENKI ya Kuu ya Tanzania (CCM) imetunukiwa Tuzo Kuu ya ubunifu katika Huduma Jumuishi za Fedha (Nestor Espenilla...












