GAVANA TUTUBA : WAFANYABIASHARA NA WANANCHI WANAOPATA FURSA YA MIKOPO YA SERIKALI WAREJESHE KWA...

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emanuel Tutuba ametoa wito kwa Wafanyabiashara na wananchi nchini wanaopata...

GAVANA TUTUBA: UCHUMI WA TANZANIA UNAENDELEA KUIMARIKA

Dar es Salaam GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amesema kuwa,hali ya uchumi wa Tanzania imeendelea kuimarika na kuwa himilivu. Gavana Tutuba...

RAIS DK. MWINYI: UCHUMI WA ZANZIBAR UMEKUA KWA ASILIMIA 7

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Uchumi wa Zanzibar Umeendelea kukua kila Mwaka ambapo sasa umefikia...

BoT YATOA UFAFANUZI KUHUSU MWENENDO WA SHILINGI DHIDI YA DOLA YA MAREKANI

Dar es Salaam BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) Machi 24,2025 imetoa ufafanuzi kuhusu taarifa potofu iliyosambaa katika vyombo mbalimbali vya habari. Taarifa hiyo, iliyochapishwa...

MSIGWA :BANDARI YA KWALA INAHUDUMIA KONTENA 300000 KWA MWAKA

Pwani BANDARI Kavu ya Kwala inahudumia kontena 823 kwa siku na kwa mwaka 300000 zikiwemo zinazokwenda nchi jirani ikiwa ni sawa na asilimia 30...

BoT IMEFANIKIWA KUNUNUA DHAHABU ZAIDI YA TANI MBILI

Na Esther Mnyika, Mtwara BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imesema Mpango wa Ununuzi wa Dhahabu nchini haina nia ya kuvuruga soko la dhahabu nchini hivyo...

TUTAENDELEA KUDHIBITI UHALIFU WA KIFEDHA-MAJALIWA

Dar es Salaam WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania itaendelea kushiriki na kutimiza matakwa ya kimataifa katika kupambana na kudhibiti uhalifu wa kifedha. Amesema...

GAVANA TUTUBA: Taasisi ambayo haitajisajili TAMFI AU TAMIU kufutwa Disemba

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imekuja na mbinu ya kudhibiti mikopo umiza kwa Watanzania kwa kuzitaka taasisi zote...

SERIKALI, SEKTA BINAFSI KUIMARISHA HUDUMA ZA FEDHA NCHINI

📌 Dk. Biteko afungua tawi la Exim Benki Kahama 📌 Exim yachangia vifaa vya matibabu vya shilingi milioni 25 Hospitali ya Wilaya Kahama Shinyanga UZINDUZI wa...

Dk. Mpango aipongeza BoT kwa kutengeneza Mfumo Mkuu Jumuishi wa Kibenki (iCBS)

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango ameipongeza Benki Kuu ya Tanzania (BoT) pamoja na wataalamu wake waliotengeneza Mfumo Mkuu...