SERIKALI, SEKTA BINAFSI KUIMARISHA HUDUMA ZA FEDHA NCHINI
📌 Dk. Biteko afungua tawi la Exim Benki Kahama
📌 Exim yachangia vifaa vya matibabu vya shilingi milioni 25 Hospitali ya Wilaya Kahama
Shinyanga
UZINDUZI wa...
GAVANA TUTUBA : WAFANYABIASHARA NA WANANCHI WANAOPATA FURSA YA MIKOPO YA SERIKALI WAREJESHE KWA...
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emanuel Tutuba ametoa wito kwa Wafanyabiashara na wananchi nchini wanaopata...
BoT IMEFANIKIWA KUNUNUA DHAHABU ZAIDI YA TANI MBILI
Na Esther Mnyika, Mtwara
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imesema Mpango wa Ununuzi wa Dhahabu nchini haina nia ya kuvuruga soko la dhahabu nchini hivyo...
TCB KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUJENGA UCHUMI IMARA
Dar es Salaam
BENKI ya Biashara ya Tanzania ( TCB) imesema dhamira yake ni kushirikiana na Serikali katika kujenga uchumi imara na kuimarisha uchumi...
HUDUMA JUMUISHI ZA KIFEDHA NI KIUNGO MUHIMU CHA UKUAJI UCHUMI – MAJALIWA
Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa huduma jumuishi za kifedha ni kiungo muhimu cha ukuaji wa uchumi, kupunguza umasikini na kuchochea...
RIBA YA BENKI KUU KUENDELEA KUWA ASILIMIA 6
Dar es Salaam
KAMATI ya Sera ya Fedha ya Benki Kuu ya Tanzania ( BoT) imeamua kuendelea na Kiwango cha Riba ya Benki Kuu...
BoT YATOA UFAFANUZI KUHUSU MWENENDO WA SHILINGI DHIDI YA DOLA YA MAREKANI
Dar es Salaam
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) Machi 24,2025 imetoa ufafanuzi kuhusu taarifa potofu iliyosambaa katika vyombo mbalimbali vya habari.
Taarifa hiyo, iliyochapishwa...
MSIGWA :BANDARI YA KWALA INAHUDUMIA KONTENA 300000 KWA MWAKA
Pwani
BANDARI Kavu ya Kwala inahudumia kontena 823 kwa siku na kwa mwaka 300000 zikiwemo zinazokwenda nchi jirani ikiwa ni sawa na asilimia 30...
RAIS DK. MWINYI: UCHUMI WA ZANZIBAR UMEKUA KWA ASILIMIA 7
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Uchumi wa Zanzibar Umeendelea kukua kila Mwaka ambapo sasa umefikia...