GAVANA TUTUBA: UCHUMI WA TANZANIA UNAENDELEA KUIMARIKA

Dar es Salaam GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amesema kuwa,hali ya uchumi wa Tanzania imeendelea kuimarika na kuwa himilivu. Gavana Tutuba...

EADB yatoa bilioni 63.2 kuiwezesha taasisi za fedha Tanzania

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam BENKI ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB) imesaini hati ya makubaliano matatu ya kifedha na taasisi zinazoongoza...

Dk. Samia: TASAF umeondoa wengi katika umaskini, nitauendeleza

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema usimamizi mzuri wa...

BoT yakanusha kuchapisha fedha kwa ajili ya uchaguzi

Na Mwandishi wetu BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imekanusha uvumi wa taarifa zinazozunguka kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa imechapisha na kusambaza fedha kwa...

Mziray: Benki ya NCBA imelenga kusaidia jamii

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam MKURUGENZI Mtendaji wa Benki ya NCBA, Alex Mziray, amesema benki hiyo imelenga kuisaidia jamii kuwa na uamuzi...

BoT yazidi kudumisha Riba ya asilimia 5.75 kwa robo ya kwanza ya mwaka...

Na Esther Mnyika,Dar es Salaam KAMATI ya Sera ya Fedha ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeamua kwamba riba kuu ya benki (CBR) itabaki kuwa...

Sera ya Viwanda 2023 kuongeza thamani ya mazao ya kilimo, kuchochea uchumi wa ndani

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Denis Nondo amesema kuwa sera ya maendeleo endelevu ya viwanda ya mwaka 2023,...

Samia aahidi kuimarisha wajasiriamali kupitia mikopo isiyo na riba

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake...

TUTAENDELEA KUDHIBITI UHALIFU WA KIFEDHA-MAJALIWA

Dar es Salaam WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania itaendelea kushiriki na kutimiza matakwa ya kimataifa katika kupambana na kudhibiti uhalifu wa kifedha. Amesema...

RIBA YA BENKI KUU KUENDELEA KUWA ASILIMIA 6

Dar es Salaam KAMATI ya  Sera  ya  Fedha ya Benki Kuu ya Tanzania ( BoT) imeamua kuendelea na Kiwango cha Riba ya Benki Kuu...