Dk. Mpango aipongeza BoT kwa kutengeneza Mfumo Mkuu Jumuishi wa Kibenki (iCBS)

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango ameipongeza Benki Kuu ya Tanzania (BoT) pamoja na wataalamu wake waliotengeneza Mfumo Mkuu...

Sera ya Viwanda 2023 kuongeza thamani ya mazao ya kilimo, kuchochea uchumi wa ndani

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Denis Nondo amesema kuwa sera ya maendeleo endelevu ya viwanda ya mwaka 2023,...

EADB yatoa bilioni 63.2 kuiwezesha taasisi za fedha Tanzania

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam BENKI ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB) imesaini hati ya makubaliano matatu ya kifedha na taasisi zinazoongoza...

GAVANA TUTUBA: UCHUMI WA TANZANIA UNAENDELEA KUIMARIKA

Dar es Salaam GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amesema kuwa,hali ya uchumi wa Tanzania imeendelea kuimarika na kuwa himilivu. Gavana Tutuba...

Dk. Samia aahidi kukuza uchumi, ajira na utawala bora

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kwamba ndani ya...

Mikopo ya Kijani Kutoka CRDB kusaidia wananchi kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam BENKI ya CRDB imetenga kiasi cha shilingi bilioni 171.83 zilizopatikana kupitia mauzo ya hatifungani za kijani (green bond)...

Dk. Mwinyi aahidi kudhibiti mfumuko wa bei na kuanzisha hifadhi ya mafuta Zanzibar

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea urais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema endapo...

GAVANA TUTUBA: Taasisi ambayo haitajisajili TAMFI AU TAMIU kufutwa Disemba

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imekuja na mbinu ya kudhibiti mikopo umiza kwa Watanzania kwa kuzitaka taasisi zote...

RIBA YA BENKI KUU KUENDELEA KUWA ASILIMIA 6

Dar es Salaam KAMATI ya  Sera  ya  Fedha ya Benki Kuu ya Tanzania ( BoT) imeamua kuendelea na Kiwango cha Riba ya Benki Kuu...

Mziray: Benki ya NCBA imelenga kusaidia jamii

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam MKURUGENZI Mtendaji wa Benki ya NCBA, Alex Mziray, amesema benki hiyo imelenga kuisaidia jamii kuwa na uamuzi...