RAIS DK. MWINYI: UCHUMI WA ZANZIBAR UMEKUA KWA ASILIMIA 7
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Uchumi wa Zanzibar Umeendelea kukua kila Mwaka ambapo sasa umefikia...
Waziri Mkuya azipongeza DIB, BoT kushughulikia ufilisi wa FBME
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
WAZIRI wa Ofisi ya Rais Fedha na Mipango wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk. Saada Mkuya Salum, amezipongeza...
GAVANA TUTUBA : WAFANYABIASHARA NA WANANCHI WANAOPATA FURSA YA MIKOPO YA SERIKALI WAREJESHE KWA...
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emanuel Tutuba ametoa wito kwa Wafanyabiashara na wananchi nchini wanaopata...
Dk. Mwinyi aahidi kudhibiti mfumuko wa bei na kuanzisha hifadhi ya mafuta Zanzibar
Na Esther Mnyika, Zanzibar
Mgombea urais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema endapo...
Dk. Mwinyi: Amani, umoja na maridhiano ndiyo msingi wa maendeleo Zanzibar
Na Esther Mnyika, Zanzibar
Mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa sasa wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewataka...
Mchechu: Ni wakati wa Tanzania kunadi fursa za uwekezaji kimataifa
Na Mwandishi wetu,Ivory Coast
KATIKA jukwaa kubwa la viongozi wa taasisi za kibiashara barani Afrika, maarufu kama Africa CEO Forum, Tanzania imeendelea kujidhihirisha kama taifa...
Dk. Mwinyi aahidi ajira zaidi ya 350,000 kwa vijana Zanzibar
Na Esther Mnyika, Lajiji- Zanzibar
Mgombea wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuendeleza zaidi miradi...
Dk. Samia: Uchumi Tanzania Bara kukua kwa asilimia saba 2026/27
Na Esther Mnyika, Zanzibar
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa endapo atachaguliwa...
Mikopo ya Kijani Kutoka CRDB kusaidia wananchi kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
BENKI ya CRDB imetenga kiasi cha shilingi bilioni 171.83 zilizopatikana kupitia mauzo ya hatifungani za kijani (green bond)...
Serikali itaendelea kuimarisha mazingira ya ufanyaji biashara -Majaliwa
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali itaendelea kuimarisha mazingira ya ufanyaji biashara za huduma za kifedha...