BoT IMEFANIKIWA KUNUNUA DHAHABU ZAIDI YA TANI MBILI

Na Esther Mnyika, Mtwara BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imesema Mpango wa Ununuzi wa Dhahabu nchini haina nia ya kuvuruga soko la dhahabu nchini hivyo...

SERIKALI, SEKTA BINAFSI KUIMARISHA HUDUMA ZA FEDHA NCHINI

📌 Dk. Biteko afungua tawi la Exim Benki Kahama 📌 Exim yachangia vifaa vya matibabu vya shilingi milioni 25 Hospitali ya Wilaya Kahama Shinyanga UZINDUZI wa...

Dk. Nchemba azitaka taasisi za fedha kujiunga na mfumo wa sema na BoT

Na Josephine Majura, Dodoma WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba ameiagiza Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kusimamia na kuhakikisha Benki na Taasisi zote za...

Mchechu: Ni wakati wa Tanzania kunadi fursa za uwekezaji kimataifa

Na Mwandishi wetu,Ivory Coast KATIKA jukwaa kubwa la viongozi wa taasisi za kibiashara barani Afrika, maarufu kama Africa CEO Forum, Tanzania imeendelea kujidhihirisha kama taifa...

EADB yatoa bilioni 63.2 kuiwezesha taasisi za fedha Tanzania

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam BENKI ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB) imesaini hati ya makubaliano matatu ya kifedha na taasisi zinazoongoza...

Serikali itaendelea kuimarisha mazingira ya ufanyaji biashara -Majaliwa

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali itaendelea kuimarisha mazingira ya ufanyaji biashara za huduma za kifedha...

TUTAENDELEA KUDHIBITI UHALIFU WA KIFEDHA-MAJALIWA

Dar es Salaam WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania itaendelea kushiriki na kutimiza matakwa ya kimataifa katika kupambana na kudhibiti uhalifu wa kifedha. Amesema...

RIBA YA BENKI KUU KUENDELEA KUWA ASILIMIA 6

Dar es Salaam KAMATI ya  Sera  ya  Fedha ya Benki Kuu ya Tanzania ( BoT) imeamua kuendelea na Kiwango cha Riba ya Benki Kuu...

BoT YATOA UFAFANUZI KUHUSU MWENENDO WA SHILINGI DHIDI YA DOLA YA MAREKANI

Dar es Salaam BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) Machi 24,2025 imetoa ufafanuzi kuhusu taarifa potofu iliyosambaa katika vyombo mbalimbali vya habari. Taarifa hiyo, iliyochapishwa...

RAIS DK. MWINYI: UCHUMI WA ZANZIBAR UMEKUA KWA ASILIMIA 7

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Uchumi wa Zanzibar Umeendelea kukua kila Mwaka ambapo sasa umefikia...