TCB KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUJENGA UCHUMI IMARA
Dar es Salaam
BENKI ya Biashara ya Tanzania ( TCB) imesema dhamira yake ni kushirikiana na Serikali katika kujenga uchumi imara na kuimarisha uchumi...
Mchechu: Ni wakati wa Tanzania kunadi fursa za uwekezaji kimataifa
Na Mwandishi wetu,Ivory Coast
KATIKA jukwaa kubwa la viongozi wa taasisi za kibiashara barani Afrika, maarufu kama Africa CEO Forum, Tanzania imeendelea kujidhihirisha kama taifa...
TUTAENDELEA KUDHIBITI UHALIFU WA KIFEDHA-MAJALIWA
Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania itaendelea kushiriki na kutimiza matakwa ya kimataifa katika kupambana na kudhibiti uhalifu wa kifedha.
Amesema...
BoT YATOA UFAFANUZI KUHUSU MWENENDO WA SHILINGI DHIDI YA DOLA YA MAREKANI
Dar es Salaam
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) Machi 24,2025 imetoa ufafanuzi kuhusu taarifa potofu iliyosambaa katika vyombo mbalimbali vya habari.
Taarifa hiyo, iliyochapishwa...
Dk. Nchemba azitaka taasisi za fedha kujiunga na mfumo wa sema na BoT
Na Josephine Majura, Dodoma
WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba ameiagiza Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kusimamia na kuhakikisha Benki na Taasisi zote za...
Tanzania, Namibia kukuza ushirikiano wa kiuchumi, nishati na biashara
Na Esther Mnyika, Lajiji
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Namibia zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi, hususan...
HUDUMA JUMUISHI ZA KIFEDHA NI KIUNGO MUHIMU CHA UKUAJI UCHUMI – MAJALIWA
Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa huduma jumuishi za kifedha ni kiungo muhimu cha ukuaji wa uchumi, kupunguza umasikini na kuchochea...
SERIKALI, SEKTA BINAFSI KUIMARISHA HUDUMA ZA FEDHA NCHINI
📌 Dk. Biteko afungua tawi la Exim Benki Kahama
📌 Exim yachangia vifaa vya matibabu vya shilingi milioni 25 Hospitali ya Wilaya Kahama
Shinyanga
UZINDUZI wa...
GAVANA TUTUBA: UCHUMI WA TANZANIA UNAENDELEA KUIMARIKA
Dar es Salaam
GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amesema kuwa,hali ya uchumi wa Tanzania imeendelea kuimarika na kuwa himilivu.
Gavana Tutuba...
RIBA YA BENKI KUU KUENDELEA KUWA ASILIMIA 6
Dar es Salaam
KAMATI ya Sera ya Fedha ya Benki Kuu ya Tanzania ( BoT) imeamua kuendelea na Kiwango cha Riba ya Benki Kuu...