Mikopo ya Kijani Kutoka CRDB kusaidia wananchi kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
BENKI ya CRDB imetenga kiasi cha shilingi bilioni 171.83 zilizopatikana kupitia mauzo ya hatifungani za kijani (green bond)...
Rais Dk.Samia anatarajia kuzindua Kituo cha Biashara Ubungo
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Nchini(TISEZA), Gilead Teri amesema Rais Dk.Samia Suluhu...
Samia aahidi kuimarisha wajasiriamali kupitia mikopo isiyo na riba
Na Esther Mnyika, Zanzibar
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake...
TUTAENDELEA KUDHIBITI UHALIFU WA KIFEDHA-MAJALIWA
Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania itaendelea kushiriki na kutimiza matakwa ya kimataifa katika kupambana na kudhibiti uhalifu wa kifedha.
Amesema...
RAIS DK. MWINYI: UCHUMI WA ZANZIBAR UMEKUA KWA ASILIMIA 7
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Uchumi wa Zanzibar Umeendelea kukua kila Mwaka ambapo sasa umefikia...
MSIGWA :BANDARI YA KWALA INAHUDUMIA KONTENA 300000 KWA MWAKA
Pwani
BANDARI Kavu ya Kwala inahudumia kontena 823 kwa siku na kwa mwaka 300000 zikiwemo zinazokwenda nchi jirani ikiwa ni sawa na asilimia 30...
Dk. Samia aahidi kukuza uchumi, ajira na utawala bora
Na Esther Mnyika, Zanzibar
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kwamba ndani ya...
TCB yaahidi kuunga mkono Dira ya Maendeleo ya 2050 kwa kuimarisha huduma za...
Na Mwandishi wetu, Dodoma
Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 katika hafla iliyofanyika leo Julai,172025 jijini Dodoma,...
Dk. Mwinyi aahidi ajira zaidi ya 350,000 kwa vijana Zanzibar
Na Esther Mnyika, Lajiji- Zanzibar
Mgombea wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuendeleza zaidi miradi...
Dk. Mwinyi: Amani, umoja na maridhiano ndiyo msingi wa maendeleo Zanzibar
Na Esther Mnyika, Zanzibar
Mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa sasa wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewataka...












