WAUGUZI IDARA YA CHUMBA CHA UPASUAJI MOI, MNH, AGAKHAN NA TEMEKE WANOLEWA

Dar es Salaam WAUGUZI wa Idara ya chumba cha upasuaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), Hospitali ya Taifa...

MOI YAWAHIMIZA WAGONJWA NA NDUGU WA WAGONJWA KUDAI RISITI BAADA YA KUFANYA MALIPO

Dar es Salaam WAGONJWA na ndugu wa wagonjwa wanaopatiwa huduma za matibabu katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wamehimizwa...

HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA YA MIFUPA NA UBONGO ZAZINDULIWA KATIKA HOSPITALI CHATO.

Chato HUDUMA za matibabu ya kibingwa na kibobezi ya mifupa, ubongo, mgongo na mishipa ya fahamu ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili...

SERIKALI KUSHIRIKISHA WADAU MPANGO WA BIMA YA AFYA KWA WOTE-MAJALIWA

Arusha WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Washirika wa Maendeleo kushikiriana na Serikali katika kufanikisha utekelezaji wa mpango wa Bima ya Afya kwa...

TIRA YACHANGIA ZAIDI YA MILIONI 20 KUBORESHA HOSPITALI YA RUFAA YA AMANA

Dar es Salaam MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima (TIRA) imeshiriki kwenye halfa ya Harambee iliyopewa jina la 'Rafiki wa Amana Dinner Gala 2024' iliyofanyika...

MUHIMBILI NA RAFIKI SURGICAL MISSION WAANZA KAMBI YA UPASUAJI REKEBISHI

Dar es Salaam HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) leo Oktoba,21 2024 imeanza rasmi kambi maalum ya upasuaji rekebishi ambayo itahitimishwa Novemba, 1 mwaka huu...

RAIS SAMIA APONGEZWA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA AFYA

πŸ“Œ Serikali Yawapongeza Wanaradiografia kwa Mchango wao kwa Jamii πŸ“Œ Uwekezaji katika Sekta ya Afya Waokoa Fedha πŸ“Œ Tanzania Nchi ya Nne Afrika kuwa na PET...

WAZIRI MKUU : LISHE BORA NI KIPAUMBELE CHA SERIKALI

Mwanza WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa suala ya lishe ni kipaumbele muhimu kwa Serikali katika kuwezesha utekelezaji wa mipango ya maendeleo na shughuli za...

MOI YAJIPANGA KUTOA HUDUMA KWA WAGONJWA 1,500 KWA SIKU

Dar es Salaam TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imesema kukamilika kwa miradi mikubwa mitatu ya Ujenzi wa jengo jipya ya...

WATAALAMU WA MAABARA TOENI MAJIBU SAHIHI KUWASAIDIA WATANZANIA – DK. BITEKO

πŸ“Œ Serikali Yafanya Mageuzi Makubwa Sekta ya Afya Nchini πŸ“Œ Wataalam wa Maabara za Binadamu Wasisitizwa Kulinda Taaluma Yao πŸ“ŒTanzania ya Tatu Barani Afrika kwa Huduma...