Odinga kuzikwa Jumapili Bondo

Nairobi, Kenya Kamati ya Kitaifa inayoandaa Mazishi ya Kitaifa ya Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga, imetangaza kwamba mazishi yake yatafanyika Jumapili nyumbani...

zaidi ya vituo 200 DRC Vinakabiliwa na uhaba wa dawa

Na Mwandishi wetu ZAIDI ya vituo 200 vya afya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vinakabiliwa na uhaba mkubwa wa dawa ikiwa ni...

Rais wa Cameroon aanza kampeni za urais muhula wa nane

Na Mwandishi wetu RAIS wa Cameroon Paul Biya mwenye umri wa miaka 92 amejitokeza jana Jumanne katika mkutano wake wa kwanza wa kampeni kwa...

Waziri Mkuu amwakilish Rais Dk.Samia uapisho wa Rais Malawi

⬛Rais Mutharika awahakikishia wananchi kuwa Serikali yake itawaletea maendeleo ⬛Awasisitiza viongozi kushirikiana na kuwatumikia Wamalawi Na Mwandishi wetu, Malawi WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Oktoba 04, 2025...

Kesi ya Waziri Mkuu wa zamani wa Mali ya Moussa yaanza kusikilizwa rasmi

Na Mwandishi wetu KESI ya Waziri Mkuu wa zamani wa Mali, Moussa Mara imeanza kusikilizwa rasmi katika Mahakama ya uhalifu wa Mtandao ...

Trump afichua mpango wa amani kumaliza vita gaza, Netanyahu aunga mkono

Na Mwandishi wetu, RAIS wa Marekani,Donald Trump amefichua mpango unaolenga kumaliza vita vinavyoendelea huko Gaza, huku waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu akielezea kumuunga mkono. Akizungumza...

Dk.Mpango afanya mazungumzo New York

Na Mwandishi wetu MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa...

Mshukiwa wa mauaji ya Charlie Kirk akiri kwa ujumbe, akabiliwa na mashtaka saba

Utah, Marekani Mwanamume anayedaiwa kumpiga risasi na kumuua mwanaharakati wa mrengo wa kulia, Charlie Kirk, ameripotiwa kukiri tendo hilo kupitia ujumbe aliomuandikia mpenzi wake, waendesha...

Polisi Somalia wawakamata wafuasi wa TikTok kwa kumtusi Rais Mohamud

Mogadishu, Somalia Polisi nchini Somalia wamewakamata vijana wanne wanaotumia mtandao wa TikTok kwa madai ya kumtusi Rais Hassan Sheikh Mohamud kupitia video ya densi. Katika video...

Trump: Sikuarifiwa mapema kuhusu shambulizi la Israel nchini Qatar

Washingtona, Marekani Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Jumatatu kwamba hakujulishwa mapema na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, kuhusu shambulizi la anga la Israel...