Balozi Kombo afanya ziara ya kikazi Washington D.C

Na Mwandishi wetu, Marekani WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Balozi Mahmoud Thabit Kombo anafanya ziara Rasmi ya kikazi jijini Washington,...

Nchi za Afrika zahimizwa kushirikiana katika kuimarisha matumizi bora ya nishati

📌Ni katika kutekeleza mikakati na mipango ya kuendeleza matumizi bora ya Nishati Afrika 📌Tanzania Yapiga Hatua Kubwa Katika Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia 📌Ushirikiano wa...

Bodi ya Bima ya Amana yashiriki mkutano wa 24 wa mwaka wa taasisi...

Na Mwandishi wetu BODI ya Bima ya Amana (DIB) inashiriki katika Mkutano Mkuu wa 24 wa Taasisi ya Kimataifa ya Bima za Amana (IADI)...

ICGLR yajipanga kuimari amani Kanda

Na Mwandishi wetu, Congo IMEELEZWA kuwa Jumuiya ya nchi Wanachama wa Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) ni jukwaa sahihi la kupata ufumbuzi wa Kudumu wa...

Waratibu wa Kitaifa wa Nchi z Jumuiya ya Ukanda wa Maziwa Mkuu-ICGLR wakutana Jijini...

Na Mwandishi wetu, Congo MKUTANO wa 20 wa Kawaida wa Waratibu wa Kitaifa wa Nchi za Jumuiya ya Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) umefanyika...

Odinga kuzikwa Jumapili Bondo

Nairobi, Kenya Kamati ya Kitaifa inayoandaa Mazishi ya Kitaifa ya Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga, imetangaza kwamba mazishi yake yatafanyika Jumapili nyumbani...

zaidi ya vituo 200 DRC Vinakabiliwa na uhaba wa dawa

Na Mwandishi wetu ZAIDI ya vituo 200 vya afya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vinakabiliwa na uhaba mkubwa wa dawa ikiwa ni...

Rais wa Cameroon aanza kampeni za urais muhula wa nane

Na Mwandishi wetu RAIS wa Cameroon Paul Biya mwenye umri wa miaka 92 amejitokeza jana Jumanne katika mkutano wake wa kwanza wa kampeni kwa...

Waziri Mkuu amwakilish Rais Dk.Samia uapisho wa Rais Malawi

⬛Rais Mutharika awahakikishia wananchi kuwa Serikali yake itawaletea maendeleo ⬛Awasisitiza viongozi kushirikiana na kuwatumikia Wamalawi Na Mwandishi wetu, Malawi WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Oktoba 04, 2025...

Kesi ya Waziri Mkuu wa zamani wa Mali ya Moussa yaanza kusikilizwa rasmi

Na Mwandishi wetu KESI ya Waziri Mkuu wa zamani wa Mali, Moussa Mara imeanza kusikilizwa rasmi katika Mahakama ya uhalifu wa Mtandao ...