Rais wa Cameroon aanza kampeni za urais muhula wa nane
Na Mwandishi wetu
RAIS wa Cameroon Paul Biya mwenye umri wa miaka 92 amejitokeza jana Jumanne katika mkutano wake wa kwanza wa kampeni kwa...
Waziri Mkuu amwakilish Rais Dk.Samia uapisho wa Rais Malawi
⬛Rais Mutharika awahakikishia wananchi kuwa Serikali yake itawaletea maendeleo
⬛Awasisitiza viongozi kushirikiana na kuwatumikia Wamalawi
Na Mwandishi wetu, Malawi
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Oktoba 04, 2025...
Kesi ya Waziri Mkuu wa zamani wa Mali ya Moussa yaanza kusikilizwa rasmi
Na Mwandishi wetu
KESI ya Waziri Mkuu wa zamani wa Mali, Moussa Mara imeanza kusikilizwa rasmi katika Mahakama ya uhalifu wa Mtandao ...
Trump afichua mpango wa amani kumaliza vita gaza, Netanyahu aunga mkono
Na Mwandishi wetu,
RAIS wa Marekani,Donald Trump amefichua mpango unaolenga kumaliza vita vinavyoendelea huko Gaza, huku waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu akielezea kumuunga mkono.
Akizungumza...
Dk.Mpango afanya mazungumzo New York
Na Mwandishi wetu
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa...
Mshukiwa wa mauaji ya Charlie Kirk akiri kwa ujumbe, akabiliwa na mashtaka saba
Utah, Marekani
Mwanamume anayedaiwa kumpiga risasi na kumuua mwanaharakati wa mrengo wa kulia, Charlie Kirk, ameripotiwa kukiri tendo hilo kupitia ujumbe aliomuandikia mpenzi wake, waendesha...
Polisi Somalia wawakamata wafuasi wa TikTok kwa kumtusi Rais Mohamud
Mogadishu, Somalia
Polisi nchini Somalia wamewakamata vijana wanne wanaotumia mtandao wa TikTok kwa madai ya kumtusi Rais Hassan Sheikh Mohamud kupitia video ya densi.
Katika video...
Trump: Sikuarifiwa mapema kuhusu shambulizi la Israel nchini Qatar
Washingtona, Marekani
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Jumatatu kwamba hakujulishwa mapema na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, kuhusu shambulizi la anga la Israel...
Malawi kupiga kura leo, ushindani watarajiwa kati ya Rais Chakwera na Mutharika
Lilongwe, Malawi
Malawi inaelekea kwenye uchaguzi leo, Jumanne, utakaomkutanisha Rais Lazarus Chakwera na mtangulizi wake, Peter Mutharika, huku taifa hilo likikabiliwa na mfumuko wa bei...
Mvutano Marekani na Venezuela wazidi kushika kasi
Washingiton, Marekani
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema jeshi la nchi yake limeharibu meli inayodaiwa kuwa ya mihadarati kutoka Venezuela, iliyokuwa ikielekea Marekani kupitia bahari...