Mvutano Marekani na Venezuela wazidi kushika kasi

Washingiton, Marekani Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema jeshi la nchi yake limeharibu meli inayodaiwa kuwa ya mihadarati kutoka Venezuela, iliyokuwa ikielekea Marekani kupitia bahari...

Dk. Mpango: Afrika ipewe kipaumbele Tabianchi

Na Mwandishi wetu, Ethiopia MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amesema licha ya Afrika kuchangia chini ya asilimia...

Tanzania Yatajwa Kitovu cha Ushirikiano Mpya kati ya Afrika na Singapore

Na Mwandishi wetu TANZANIA imewekwa katika nafasi ya kimkakati kunufaika na ushirikiano mpya kati ya Afrika na Singapore, hasa kutokana na rasilimali zake, soko...

Umoja na mshikamano vyatawala hotuba za viongozi mkutano wa SADC

Na Mwandishi wetu, Madagascar MKUTANO wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umehitimishwa jijini Antananarivo Agosti 17, 2025, huku...

Pinda ahutubia kongamano la vyama vya ukombozi Afrika Kusini

Na Mwandishi Wetu, Afrika Kusini WAZIRI Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mizengo Pinda amesema ushirikiano na...

Majaliwa akutana na Waziri Mkuu wa Belarus

Washuhudia utiaji saini hati tatu za makubaliano na mkataba mmoja Minsk WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Belarus, Alexander Turchin na kujadiliana naye...

Dk.Biteko asama nishati itakayozalishwa na Nyuklia kujumuishwa Gridi ya Taifa

📌 Asema ni nishati yenye unafuu wa gharama kulinganisha na vyanzo vingine vya nishati, pia isiyochafuzi kwa mazingira. 📌 Asisitiza nyuklia kwa ajili ya kuzalisha...

Museveni kuwania tena Urais Uganda 2026

Kampala, Uganda Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, amethibitishwa kuwa atawania tena urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mapema mwaka 2026, hatua itakayoongeza muda wake...

Iran: Lazima Tujibu Mashambulizi ya Marekani – Waziri wa Mambo ya Nje

Tehran, Iran  Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema kuwa taifa lake halina budi kujibu mashambulizi ya Marekani dhidi ya vituo vya...

Putin hana mpago wakuzungumza na Trump kuhusu mashambulizi ya Marekani, Iran

Moscow, Russia Rais wa Urusi, Vladimir Putin, hana mpango wowote wa kuzungumza na mwenzake wa Marekani, Donald Trump, kufuatia mashambulizi ya kijeshi ya Marekani dhidi...