WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS DK. SAMIA KATIKA SHEREHE ZA UAPISHO WA RAIS WA...

Msumbiji WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Januari 15, 2025 ameshiriki sherehe za uapisho wa Rais wa Msumbiji akimwakilisha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan. Katika sherehe hizo...

WAKUU WA NCHI NA SERIKALI AFRIKA WAIPA KONGOLE TANZANIA UZALISHAJI MAZAO YA CHAKULA AFRIKA.

*Rais Museveni asifu bora wa mchele wa Tanzania, asisitiza kushindana kwa ubora Uganda WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema viongozi wa nchi za Afrika wameonesha matumaini...

DK. KAZUNGU AINADI TANZANIA MIRADI YA NISHATI JADIDIFU UAE

📌Ashiriki mkutano wa 15 wa baraza la Kimataifa la wakala wa Nishati jadidifu IRENA 📌 Asema miradi ya kuzalisha umeme kwa kutumia vyanzo vya nishati...

WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS DK. SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI...

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Januari 11, 2025 ameshiriki Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika kuhusu Mpango wa...

KAPINGA ATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI NISHATI NCHINI SAUDI ARABIA

📌Ashiriki Kongamano la Wafanyabiashara na Wawekezaji nchini humo 📌 Zaidi ya Wafanyabiasha na Wawekezaji 250 wakutana 📌 JNHPP yatajwa kuongeza uhakika wa uwepo wa umeme Saudi Arabia NAIBU...

DK. NCHEMBA AHITIMISHA ZIARA NCHINI OMAN

Na Saidina Msangi, Muscat, Oman WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba amehitimisha ziara yake ya siku mbili nchini Oman ambapo akiwa katika Uwanja wa Ndege...

TANZAN IA NA OMANI ZASAINI MKATABA WA KUTOTOZA KODI MARA MBILI

Na Benny Mwaipaja, Oman SERIKALI yanJamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Kisultan ya Oman, zimetia saini Mkataba wa Kuondoa Utozaji Kodi ya Mapato...

TANZANIA KUENDELEA KUFANYA MASHAURIANO NA UENDELEZAJI USHOROBA LOBITO_DK. MPANGO

Angola MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango amesema Tanzania inaendelea kufanya mashauriano ndani ya Serikali ili kuona...

MAKAMU WA RAIS ANADI FURSA ZA UWEKEZAJI SEKTA YA UCHUMI WA BULUU, AZERBAIJAN

Na Benny Mwaipaja, Baku, Azerbaijan MAKAMU wa Rais, Dk. Philip Isdor Mpango, ameihamasisha sekta binafsi na wadau wengine wa maendeleo wa kimataifa kuchangamkia fursa...

DK. MPANGO ATAKA UBUNIFU WA VIJANA UZINGATIWE KATIKA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Na Irene Gowelle, Azerbaijan. ILI kufikia malengo tarajiwa katika matumizi ya nishati safi ya kupikia, Makamu wa Rais, Mhe.Dkt Philip Mpango amesema ni muhimu uvumbuzi...