Tunasogeza huduma za kisheria karibu zaidi na wananchi-Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari ametoa wito kwa wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam kujitokeza...
chalamila: udanganyifu wachochea migogoro ya ardhi Dar
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema migogoro mingi ya ardhi Dar es Salaam inachangiwa na...
Dk. Mwigulu aweka jiwe la msingi mradi wa kupoza umeme Mkata
šTransfoma mbili za MVA 60 kuimarisha Huduma kwa wananchi.
šBilioni 44 zatumika.
Na Mwandishi Wetu, Tanga
WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba amekagua ujenzi wa mradi wa kupoza...
Kilombero Sugar yaendelea kukuza mpango wa uwezeshaji wa TEHAMA kwa manufaa ya wanafunzi 2,500...
Na Mwandishi Wetu, Morogoro
KAMPUNI ya Sukari Kilombero imekamilisha kwa mafanikio Awamu ya Pili ya Mpango wa Uwezeshaji wa TEHAMA kwa Shule, mpango endelevu unaoendeshwa...
EWURA yapongezwa kwa kudumisha uhimilivu wa bei za nishati
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Subira Mgalu, ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za...
Nishati ya umeme inachochea kasi ya maendeleo-Meya Singida
šAfungua kikao kazi kati ya TANESCO na viongozi wa Serikali za Mitaa, Kata na Madiwani
šAipongeza TANESCO kwa kuendelea kuboresha na kusogeza huduma zake kwa...
Serikali yatenga bilioni 13 kuwezesha ujenzi wa ofisi za TMA
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam
NAIBU Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, David Kihenzile, ametembelea ujenzi wa ofisi za Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania...
Chalamila aagiza ujenzi wa maghorofa ya madarasa kukabiliana na ongezeko la wanafunzi
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila Chalamila ameagiza halmashauri zote kuweka mpango wa kudumu wa ujenzi...
Waziri Mkuu azindua miradi ya shilingi bilioni114 ya utalii
Na Mwandishi Wetu,Pwani
WAZIRI Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amezindua na kukabidhi miundombinu 21 ya utalii yenye thamani ya Shillingi billioni 114.62.
Amesema ujenzi wa Miradi hiyo...
Waziri Mkuu achukizwa na migogoro ya ardhi
Awasisitiza watendaji kuwafuata wananchi na kutatua kero zinazowakabili
Na Mwandishi Watu, DodomaĀ WAZIRI Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba amewasisitiza Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya pamoja...











