NSSF yaibuka mshindi wa kwanza na kupokea tuzo kwa uzingatiaji wa sheria ya serikali...
Na Mwandishi Wetu, Arusha
MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeibuka mshindi wa kwanza na kutunukiwa tuzo kwa Taasisi zilizofanya vizuri katika uzingatiaji...
NEMC yapokea gari la maabara tembezi ya kisasa yenye thamani ya shilingi milioni...
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limepokea gari lenye maabara tembezi ya kisasa yenye thamani...
Umeme ni kupaumbele katika maeneo ya uchimbaji madini-Das Kahama
📌Afungua kikao kazi kati ya TANESCO na Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
📌Aipongeza TANESCO kwa kuwashirikisha Madiwani utekelezaji wa miradi ya umeme
Na Mwandishi Wetu,...
Watuhumiwa saba wakamatwa na kg 299.8 za mirungi Same
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama hususan Jeshi la...
TRA yasifu matumizi mazuri ya fedha ujenzi wa Bwawa laJulius Nyerere
📌 Yasema mradi huo ni ushahidi wa thamani ya kodi za wananchi katika kuchochea maendeleo ya nchi
📌Yahimiza ulipaji wa kodi kwa hiari na wakati...
CUF yapinga uamuzi wa Msajili kutengua matokeo ya uchaguzi wa viongozi wakuu
Na Mwandishi wetu,Dar es Salaam
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimeelezea kutoridhishwa kwake na uamuzi wa Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini wa kutengua matokeo ya...
Fedha za miradi zitumike kama ilivyokusudiwa-Dk. Mwigulu
Aonya watendaji wa Serikali “kuzoea” matatizo ya wananchi
Azindua mitambo ya kuzalisha hewa tiba ya Oksijeni
Na Mwandishi Wetu, Tanga
WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amesema kuwa...
Mwanasheria Mkuu aongoza kliniki ya sheria bure kwa wananchi wa Dar
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amewaongoza Mawakili wa Serikali kutoa huduma za ushauri wa Kisheria kwa wananchi wakati...
Tutajenga vituo vya kipokea na kupoza umeme kila Wilaya-Waziri Ndajembi
📌Akagua Kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Uhuru Urambo- TABORA
📌Asisitiza Tanzania inazalisha umeme wa kutosha unaokidhi mahitaji ya nchi
📌Aipongeza TANESCO kwa utekelezaji wa...
Tunasogeza huduma za kisheria karibu zaidi na wananchi-Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari ametoa wito kwa wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam kujitokeza...












