Wananchi wajitokeze kwa wingi kupiga kura Oktoba,29
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
MUUNGANIKO wa Asasi za Kiraia Wanawake na Watetezi wa Usawa wa kijinsia hususan wanawake na vijana umeto...
Maaskofu, Masheikh nyandaza juu wahimiza uchaguzi wa amani
Na Mwandishi Wetu, Mbeya
VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wamewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kushiriki Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29,...
Mradi wa Taza kufungua soko jipya la biashara ya umeme Afrika
📌 Wafikia asilimia 83
📌Dkt. Mataragio akagua mradi na kutoa maelekezo TANESCO
📌 TAZA kuunganisha Mkoa wa Rukwa na gridi ya Taifa
📌 Kuimarisha upatikanaji umeme Mikoa...
Asilimia 83 ya watanzania wathibitisha kupiga kura Oktoba 29
Na Mwandishi wetu ,Dar es salaam
TAKWIMU zinaonyesha asilimia 83 ya Wananchi walioshiriki kura ya maoni kutoka Mikoa 19 wamethibitisha kushiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa Kufanyika...
Viongozi wa dini Kaskazini wahimiza amani kuelekea Uchaguzi Mkuu
Na Mwandishi Wetu, Moshi
VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya kanda ya kaskazini, wamewataka Watanzania kulinda amani ya nchi, hasa taifa linapoelekea katika Uchaguzi Mkuu,...
Tanesco yatekeleza mafanikio programu ya” Konekt Umeme,Pika kwa umeme nchi nzima
Na Mwandishi wetu.
SIKU chache baada ya uzinduzi rasmi wa programu maalum ya Konekt Umeme, Pika kwa Umeme uliofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar...
UDSM yaboresha tehama kupitia mradi wa heet
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeboresha kwa kiwango kikubwa miundombinu yake ya TEHAMA kupitia Mradi wa...
Dar es Salaam huduma ya umeme kupatikana masaa 24-Dk. Samia
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk. Samia Suluhu Hassan amesema...
DCEA yakamata kilo 10,783 za dawa za kulevya
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kati ya mwezi Septemba na Oktoba 2025,...
Darasa la nne kufanya mtihani wa mtaala mpya kesho
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
JUMLA ya wanafunzi 1,582,140 kutoka shule 20,517 zilizopo Tanzania Bara wamesajiliwa kushiriki katika Upimaji wa Kitaifa wa Darasa...












