Samia; Amani na utulivu wa Tanzania ni jambo muhimu kuliko yote

Na Mwandishi Wetu, Lajiji Akiwa kwenye Kijiji cha Kajengwa, Makunduchi Unguja Visiwani Zanzibar, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama...

Nimekuja nyumbani kuchota baraka za wazee- Dk. Samia

Na Mwandishi wetu, Lajiji Mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amesema amerejea Zanzibar na kuanzia kampeni zake Makunduchi...

Dk. Mwinyi aahidi ajira na mitaji kwa vijana Zanzibar

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,...

Dk. Mwinyi: Pemba inakwenda kufunguka kupitia bandari, Airport ya kimataifa

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Mwinyi, amesema Pemba ipo mbioni kufunguka kiuchumi kupitia miradi mikubwa...

Hawa hapa waamuzi watakaoamua Kariakoo Dabi leo

Na Mwandishi Wetu, Lajiji Joto la Kariakoo Dabi linazidi kupanda kuelekea mchezo wa fainali ya Ngao ya Jamii utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Septemba 16,...

Dk. Mwinyi ataja mambo 11 akisaka kura Pemba

*Asisitiza juu ya uchumi wa buluu Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuimarisha uchumi...

Mtambo wa gesi asilia wasafirishwa kwenda Mtwara kuongeza nguvu ya uzalishaji wa umeme

Na Agnes Njaala, Dar es Salaam SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limeendelea kuchukua hatua madhubuti kuhakikisha upatikanaji wa huduma ya umeme wa uhakika katika mikoa...

Dk. Mwinyi aahidi ajira zaidi ya 350,000 kwa vijana Zanzibar

Na Esther Mnyika, Lajiji- Zanzibar Mgombea wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuendeleza zaidi miradi...

Dk. Mwinyi aahidi kudhibiti mfumuko wa bei na kuanzisha hifadhi ya mafuta Zanzibar

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea urais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema endapo...

Mkurugenzi wa uchaguzi washuhudia ubandikaji wa fomu za uteuzi za Act-Wazalendo

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi,Ramadhani Kailima, (kulia) na Mkurugenzi wa Ofisi ya Zanzibar, Adam Mkina wakishuhudia ubandikaji wa...