Wabunge wapongeza NIRC kwa mageuzi ya kilimo cha umwagiliaji
Na Mwandishi Wetu, Dodoma.
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, wameipongeza Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na Mkurugenzi Mkuu Tume...
Tunataka kazi za serikali zifanyike makao makuu ya nchi-Dk.Mwigulu
Asisitiza Taasisi za Serikali zinapaswa kufahamu kwamba makao makuu ya nchi ni Dodoma
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali inataka...
Kamati ya Bunge yapokea taarifa ya Wizara ya Katiba na Sheria
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Zainab Katimba (Aliyesimama) Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara pamoja na Taasisi zilizo chini yake...
Mkurugenzi Mkuu REA awafunda wahandisi wa mkoa
📌Asisitiza kuimarisha Mawasiliano na Uhusiano
📌Awakumbusha kuzingatia Sheria, Kanuni na Miongozo
📌Awasisitiza kushirikiana kwa karibu na Jamii eneo la Mradi
📌Awasisitiza kushirikiana kwa karibu na Taasisi zingine...
Nkasi yajengewa uwezo masuala ya menejimenti ya maafa
Na Mwandushi Wetu, Nkasi
IDARA ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu imewajengea uwezo wajumbe wa Kamati...
Dkt. Mwigulu aongoza kikao kazi kuhusu ujenzi wa miradi ya barabara za haraka kwa...
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 17, 2026 ameongoza kikao cha kazi kuhusu ujenzi wa miradi ya barabara za haraka (Express Ways) kwa...
Dk. Mwigulu: kazi zinazoweza kufanywa wazawa zisifanywe na wageni
Na Mwandishi Wetu,Dodoma
WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba amezitaka wizara zinazohusika na masuala ya ajira zisimamie kikamilifu utekelezaji wa sheria zinazotaka kazi zinazoweza kufanywa na...
NECTA yatanga matokeo ya darasa la nne na kidato cha pili
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA ) limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Darasa la Nne...
Mradi wa umeme jua kishapu uko mbioni kukamilika-Salome Makamba
📌Asema jumla ya Megawati 50 kuingizwa kwenye Gridi ya Taifa
📌Ampongeza Rais kwa uwekezaji Mkubwa wa Miradi ya umeme
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri wa Nishati,...
Serikali yawekeza zaidi ya shilingi bolioni 280 kuimarisha upatikanaji wa umeme Dar es salaam
📍Asema Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi
📍Ni baada ya ziara yake kwenye vituo vya Gongo la Mboto, Kinyerezi I Extension na Mabibo
Na Mwandishi wetu, Dar...











