Idadi ya wananchama CCM yavuka milioni 13, yafanya mabadiliko ya Katiba kuendana na teknolojia

Na Esther Mnyika, Dodoma Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepokea jumla ya wanachama wapya 13,000,670 hadi kufikia Mei 29, 2025, ikiwa ni ongezeko kubwa linaloashiria kuendelea...

Kapinga ataja vigezo vya ziada upelekaji umeme Vitongojini

๐Ÿ“Œ Lengo ni kuhakikisha kila Jimbo linakuwa na vitongoji vingi vilivyofikiwa na umeme ๐Ÿ“Œ Vinahusisha mahitaji ya kiuchumi na Kijamii, ukubwa wa Jimbo na Kitongoji ๐Ÿ“Œ...

Dk. Samia: CCM itazindua Ilani mpya ya Uchaguzi kesho

Na Esther Mnyika, Dodoma Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amesema chama hicho...

Dk.Biteko akutana na Mtendaji Mkuu wa Puma Duniani

๐Ÿ“ŒTanzania na PUMA kuimarisha ushirikiano ๐Ÿ“ŒPUMA kuendelea kuwekeza zaidi Tanzania Dodoma NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na...

Mitaa 58 Halmashauri ya Mji wa Tarime imefikiwa na umeme-Kapinga

๐Ÿ“Œ Ni kati ya mitaa 81 ya Halmashauri ya Mji wa Tarime ๐Ÿ“Œ Asema kazi ya kupeleka umeme vitongojini ni endelevu Dodoma NAIBU Waziri wa Nishati,...

Rais Samia anataka Taifa lenye upendo na maendeleo

๐Ÿ“ŒDk. Biteko awaasa Watanzania kutogawanyika na kuendelea kuwa wamoja ๐Ÿ“Œ Awapongeza CCT kwa kuendelea kushirikiana ๐Ÿ“Œ Asema Serikali inathamini mchango wa CCT kwa maendeleo ya Taifa Mwanza...

Dk.Biteko awataka wazazi kuvumiliani kutunza familia zao

๐Ÿ“ŒAsisitiza wazazi kutenga muda wa kuwa na watoto wao ๐Ÿ“ŒAsema familia imara ni msingi wa dunia imara ๐Ÿ“Œ Mashirika, Wadau wa Maendeleo waipongeza Serikali kuimarisha malezi...

Waziri Mkuu kumwakilisha Rais Dk.Samia maonesho ya World Expo 2025 Osaka Japan

Japan WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 23, 2025 amewasili Osaka nchini Japan kumwakilisha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwenye maonesho ya kimataifa ya...

Serikali imetoa ruzuku ya asilimia 20 hadi 50 kwenye mtungi ya gesi laki...

๐Ÿ“Œ Asema lengo ni kupunguza gharama na kuhamasisha Nishati Safi ya Kupikia ๐Ÿ“Œ REA kusambaza majiko banifu 200,000 kwa punguzo la hadi asilimia 75 ๐Ÿ“Œ Baada...

Wiki ya Azaki kufanyika Juni 2 hadi 6 mwaka huu Arusha

Dar es Salaam MAADHIMISHO ya wiki ya Asasi za Kiraia (Azaki) kwa mwaka 2025 yanatarajiwa kufanyika kuanzia Juni 2 hadi 6 Jijini Arusha yanayolenga...