Dk. Mwigulu aweka jiwe la msingi mradi wa kupoza umeme Mkata

📌Transfoma mbili za MVA 60 kuimarisha Huduma kwa wananchi. 📌Bilioni 44 zatumika. Na Mwandishi Wetu, Tanga WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba amekagua ujenzi wa mradi wa kupoza...

Kilombero Sugar yaendelea kukuza mpango wa uwezeshaji wa TEHAMA kwa manufaa ya wanafunzi 2,500...

Na Mwandishi Wetu, Morogoro KAMPUNI ya Sukari Kilombero imekamilisha kwa mafanikio Awamu ya Pili ya Mpango wa Uwezeshaji wa TEHAMA kwa Shule, mpango endelevu unaoendeshwa...

EWURA yapongezwa kwa kudumisha uhimilivu wa bei za nishati

Na Mwandishi Wetu, Dodoma MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Subira Mgalu, ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za...

Nishati ya umeme inachochea kasi ya maendeleo-Meya Singida

📌Afungua kikao kazi kati ya TANESCO na viongozi wa Serikali za Mitaa, Kata na Madiwani 📌Aipongeza TANESCO kwa kuendelea kuboresha na kusogeza huduma zake kwa...

Serikali yatenga bilioni 13 kuwezesha ujenzi wa ofisi za TMA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam NAIBU Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, David Kihenzile, ametembelea ujenzi wa ofisi za Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania...

Chalamila aagiza ujenzi wa maghorofa ya madarasa kukabiliana na ongezeko la wanafunzi

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila Chalamila ameagiza halmashauri zote kuweka mpango wa kudumu wa ujenzi...

Waziri Mkuu azindua miradi ya shilingi bilioni114 ya utalii

Na Mwandishi Wetu,Pwani WAZIRI Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amezindua na kukabidhi miundombinu 21 ya utalii yenye thamani ya Shillingi billioni 114.62. Amesema ujenzi wa Miradi hiyo...

Waziri Mkuu achukizwa na migogoro ya ardhi

Awasisitiza watendaji kuwafuata wananchi na kutatua kero zinazowakabili Na Mwandishi Watu, Dodoma WAZIRI Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba amewasisitiza Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya pamoja...

Serikali yabainisha Maeneo ya Miradi ya Umeme wa Upepo na Jua, Kishapu kuzalisha MW...

Na Mwandishi Wetu, Dodoma NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba amesema Serikali imekwishabainisha na kufanya utafiti wa maeneo mbalimbali yanayofaa kuendelezwa kwa ajili ya miradi...

TMA yatangaza mwelekeo wa mvua za masika Machi–Mei 2026

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa mwelekeo wa mvua za Masika kwa kipindi cha Machi hadi Mei,...