WAZIRI KABUDI AITAMBULISHA RASMI BODI YA ITHIBATI BUNGENI

Dodoma WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi, ameitambulisha rasmi Bungeni Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) na kubainisha...

SHULE 216 ZA SERIKALI ZATUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA-KAPINGA

๐Ÿ“Œ REA yapata kibali kufunga miundombinu ya nishati safi ya kupikia katika Shule 115 Dodoma NAIBU Waziri Nishati, Judith Kapinga amesema hadi kufikia mwezi Machi...

KONGAMANO LA KWANZA LA NISHATI SAFI YA KUPIKIA AFRIKA MASHARIKI LAFANYIKA ARUSHA

๐Ÿ“Œ Tanzania yapongezwa kuwa kinara utekelezaji Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia ๐Ÿ“Œ Kamishna Luoga aeleza hatua zinazochukuliwa na Serikali kuwezesha wananchi kutumia Nishati Safi...

MAHAKAMA YAAMURU LISSU AFIKISHWE MAHAKAMANI MEI 19 MWAKA HUU

Dar es Salaam MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu afikishwe mahakamani hapo Mei 19,...

KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA DAR ES SALAAM YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA...

Dar es Salaam KAMATI ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar ea Salaam imefanya ziara ya kutembelea na kukagua ujenzi wa...

WAZIRI CHANA AZINDUA MRADI WA DOLA MILIONI 5.8 KUHIFADHI MISITU YA ASILIA

Pwani WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk. Pindi Chana amezindua mradi wa 'Kuimarisha Ustahimilivu wa Bioanuai ya Misitu ya Mazingira Asilia Tanzania...

TUMEDHAMIRIA KUWAINUA KIUCHUMI WACHIMBAJI WADOGO-MAJALIWA

โ–ช๏ธAsema Rais Dk. Samia ni alama ya ukuaji wa Sekta ya Madini Lindi WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa...

JAJI MUTUNGI : VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA KUHIMIZA WANANCHI NA WANACHAMA WAO KUFUATA...

Dar es Salaam MSAJILI wa Vyama Vya Siasa, Jaji Francis Mutungi amewataka viongozi wa vyama vya siasa kuwahimiza wananchi wakiwemo wanachama wao, kufuata sheria...

SEKTA YA NISHATI IPO SALAMA CHINI YA RAIS SAMIA โ€“ DK. BITEKO

๐Ÿ“ŒAkagua Kituo cha Kupoza umeme - Urambo ๐Ÿ“ŒAmshukuru mama Sitta kwa mchango wake katika mradi ๐Ÿ“ŒAipongeza TANESCO na ETDCO kwa kukamilisha mradi kwa ufanisi ๐Ÿ“ŒUrambo yapata umeme...

TEF YATOA TAHADARI KWA WAANDISHI WA HABARI ZA MAHAKAMANI

Dar es Salaam MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile ameshauri waandishi wa habari kuwa na alama za utambuzi wakati wa kuripoti...