Rais Dk.Samia: Tutatumia Rasilimali zetu kuijenga Tanzania

Na Mwandishi wetu, Dodoma RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amesema vurugu na uharibifu uliotokea nchini unaweza kuipunguzia sifa Tanzania ya kuweza kupata mikopo na...

Amani ya kudumu haiwezi kupatikana bila maendeleo jumuishi na endelevu- Dk. Nchimbi

Na Mwandishi wetu, Congo WITO wa amani, usalama na maendeleo kama ilivyosadifu kaulimbiu ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Ukanda...

Mbeto awatahadharisha Viongozi wa Dini awaomba watoe ushauri bali wasijiingize katika Siasa

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar CHAMA Cha Mapinduzi (CCM)kimewaasa Viongozi wa Dini kuacha kuvaa viatu vya kisiasa kwani kwa kufanya hivyo kunaweza kulipoteza Taifa katika dira...

Waziri Mkuu afanya ziara ya kushtukiza hospitali ya Mkoa wa Dodoma

▪️Atoa maagizo kwa Wizara ya Afya, MSD na hospitali zote nchini. ▪️Ataka wajawazito wasisubirishwe mapokezi wanapofika hospitali ▪️Wagojwa waipongeza Srtikali kwa kuboresha huduma za afya Na Mwandishi...

Rais Dk.Samia: tutaongeza uzalishaji wa umeme kufikia megawati 8000 ifikapo 2030

📌Mikoa yote nchi nzima kuungwa kwenye Gridi ya Taifa. Na Mwandishi wetu, Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,...

Mkakati wa Mawasiliano wa nishati safi kupikia, dira ya mafanikio ya Taifa-Mhandisi Kabunguru

📌Aeleza Mkakati huo ni mwongozo wa kitaifa kwa wadau wote 📌Atoa wito kwa Maafisa dawati kuwa chachu ya mabadiliko ya Matumizi ya Nishati Safi ya...

Wadau wa usimamizi wa maafa wakutana kujadili rasimu ya mpango wa...

Na Mwandishi Wetu- Dodoma MKURUGENZI Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Brigedia Jenerali Hosea Ndagala amewataka washiriki wa...

Tutaunda  Wizara kamili ya vijana-Rais Samia

Na Esther Mnyika,  Dodoma  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ameliambia Bunge la Tanzania  kuwa anadhamiria kuunda Wizara kamili ya Vijana badala ya kuwa na idara...

Serikali yaunda Tume maalumu kuchunguza ghasia za Oktoba 29 — Rais Samia

Na Esther Mnyika, Dodoma RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amewaongoza Wabunge wa Bunge la Tanzania na wageni waalikwa kusimama na kuomba kwa dakika moja kwaajili...