Dk. Nchemba aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake
Na Mwandishi wetu, Singida
WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba, ameelekeza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha wanamkamata na kuzuia hati ya kusafiria ya...
Mpogolo atoa wito kwa viongozi kupambana na uwizi wa umeme
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewataka viongozi wa serikali za mitaa, na madiwani, kuwa mstari wa...
Rais Dk. Samia: kachunguzeni uwepo wa taarifa kwamba vijana walilipwa fedha
Na Mwandishi wetu, Dodoma
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ameiagiza Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati wa Uchaguzi Mkuu...
Mohamed Othman Chande kuongoza Tume ya Uchanguzi vurugu za Oktoba 29
Na Mwandishi wetu, Dodoma
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan leo Jumanne Novemba 18, 2025 kwa mamlaka aliyonayo ameunda Tume huru ya kufanya uchunguzi wa...
Ndejembi asisitiza utekelezaji wa vipaumbele vya serikali kufukia 2030
📌Asema siku mia moja za Rais ni dira ya kufikia malengo
📌Asisitiza ushirikiano baina ya watumishi na viongozi ndani ya Wizara ya Nishati
Na Mwandishi wetu,...
Rais Dk.Samia: Tutatumia Rasilimali zetu kuijenga Tanzania
Na Mwandishi wetu, Dodoma
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amesema vurugu na uharibifu uliotokea nchini unaweza kuipunguzia sifa Tanzania ya kuweza kupata mikopo na...
Amani ya kudumu haiwezi kupatikana bila maendeleo jumuishi na endelevu- Dk. Nchimbi
Na Mwandishi wetu, Congo
WITO wa amani, usalama na maendeleo kama ilivyosadifu kaulimbiu ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Ukanda...
Mbeto awatahadharisha Viongozi wa Dini awaomba watoe ushauri bali wasijiingize katika Siasa
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM)kimewaasa Viongozi wa Dini kuacha kuvaa viatu vya kisiasa kwani kwa kufanya hivyo kunaweza kulipoteza Taifa katika dira...
Waziri Mkuu afanya ziara ya kushtukiza hospitali ya Mkoa wa Dodoma
▪️Atoa maagizo kwa Wizara ya Afya, MSD na hospitali zote nchini.
▪️Ataka wajawazito wasisubirishwe mapokezi wanapofika hospitali
▪️Wagojwa waipongeza Srtikali kwa kuboresha huduma za afya
Na Mwandishi...












