THBUB yalaani vurugu za Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi wetu, Dodoma TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imelaani vurugu iliyotokea nchini kipindi cha Uchaguzi Mkuu na kusababisha vifo, uharibifu...

Mkutano wa Kimataifa wadau wa kilimo cha mboga na matunda kufanyika nchini

Na Mwandishi Wetu, Dodoma  ASASI ya Kilele Sekta Binafsi inayoendeleza na kukuza Sekta ya Horticulture nchini (TAHA) kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo imeandaa...

Mpaka wa Kenya na Tanzania ni salama-Makalla

Na Mwandishi wetu, Arusha MKUU wa Mkoa wa Arusha,CPA Amos Gabriel Makalla ameeleza kuridhishwa na hali ya ulinzi na usalama katika Mpaka wa...

“Uchaguzi Mkuu wa 2025 ni halali” Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Na Mwandishi wetu, Dodoma Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema kuwa, Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025 unaotarajiwa kufanyika tarehe...

Tanesco yaandika historia mpya yawasha mtambo wa kuzalisha gesi asilia wa megawati...

📌Uwezo wa uzalishaji umeme wapanda hadi megawati 77.5 📌RC Mtwara auzindua mradi na kupongeza Wizara ya Nishati na TANESCO kwa jmageuzi katika sekta ya nishati 📌Atoa...

Viongozi wa dini waendelea kihimiza amani uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam VIONGOZI wa dini nchini wameendelea kuhimiza umuhimu wa kudumisha amani, umoja na uzalendo kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,...

NCCR Mageuzi chawasisitiza watanzania kilinda amani ya Tanzania

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam CHAMA Cha NCCR Mageuzi, kimewasisitiza Wananchi kudumisha amani na mshikamano na kuachana na baadhi ya watu wanaochochea vurugu...

Elimu ya nishati safi ya kupikia yawafikia maafisa dawati ngazi ya mkoa na halmashauri

📌 Lengo ni kuwa na uelewa wa pamoja katika utekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Nishati Safi ya Kupikia. 📌 Mafunzo kuhusisha mikoa 26 na...

Viongozi wa dini Kanda ya Kati wataka amani uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dodoma VIONGOZI wa dini mbalimbali kutoka Kanda ya Kati wamewataka Watanzania kuendelea kulinda amani ya nchi na kujitokeza kwa wingi kushiriki katika...

Mradi wa TACTIC utanufaisha wananchi wa Mpanda- Mrindoko

Na Mwandishi wetu Katavi MKUU wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, amesema utekelezaji wa Mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) katika Mji wa...