Dawa za kufubaza makali ya VVU (ARV) zipo kwa asilimia 100-Lukuvi
Na Mwandishi Wetu-Dar es Salaam
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, William Lukuvi, amewahakikishia Watanzania kuwa dawa...
FCC kuongeza uelewa kuhusu athari za teknolojia ya AI
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
TUME ya Ushindani FCC) imeanza maadhimisho ya wiki ya ushindani Ikiwa lengo la kuongeza uelewa kwa umma kuhusu...
Oryx Gas Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya “Gesi Yente”
Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania imewahakikishia Watanzania kuwa itaendelea kuboresha huduma zake kwa kuboresha miundombinu, kupanua mtandao wa usambazaji, ili kutekeleza ajenda...
Ulega aagiza tathmini barabara ya nje ya jiji la Arusha
📌 Itakuwa suluhisho la msongamano wa magari katikati ya jiji📌Atoa rai wananchi walinde miundombinu.
Na Mwandishi wetu, Arusha
WAZIRI Ujenzi, Abdallah Ulega, ametoa maelekezo kwa...
Wateja wa iliyokuwa Benki ya FBME kulipwa asilimia 30 awamu ya tatuNa Mwandishi wetu
Na Mwandishi wetu
BODI ya Bima ya Amana (DIB) ipo katika mchakato wa kulipa fidia ya ufilisi awamu ya tatu ya asilimia 30 kwa ...
Rais Dk.Samia: polisi waache kumtafuta Dk.Gwajima
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba amesema Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ameliagiza Jeshi la Polisi liache kumtafuta Askofu...
Ndejembi awahakiiishia wakazi wa Kigamboni umeme wa uhakika
📌Afanya Ziara katika Kituo cha Dege
📌Aelekeza hatua za haraka kuchukuliwa kunusuru hali ya umeme Kigamboni
📌Umeme wa Megawati 22 kupatikana kwa hatua za haraka
📌Upanuzi wa...
Gavana Tutuba awaasa wahitimu uadilifu, uzalendo
Na Mwandishi wetu
GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, amewataka wahitimu wa Chuo cha Benki Kuu ya Tanzania kudumisha uadilifu, uzalendo...
Mradi wa umeme Kishapu kielelezo cha ongezeko la uzalishaji umeme nchini
📌Mradi wa umeme wa jua wafikia asilimia 84 ya utekelezaji
📌Twange aagiza ukamilishwe ifikapo Januari 15, 2026
Na Mwandishi Wetu, Shinyanga
MKUU wa Wilaya ya Kishapu...
Mashahidi 55 kuhojiwa kesi ya Kariakoo
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
UPANDE wa mashitaka katika kesi ya kuua bila kukusudia inayowakabili wafanyabiashara watatu wanaodaiwa kuwa ni wamiliki wa jengo...












