Dawa za kufubaza makali ya VVU (ARV) zipo kwa asilimia 100-Lukuvi

Na Mwandishi Wetu-Dar es Salaam WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, William Lukuvi, amewahakikishia Watanzania kuwa dawa...

FCC kuongeza uelewa kuhusu athari za teknolojia ya AI

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam TUME ya Ushindani FCC) imeanza maadhimisho ya wiki ya ushindani Ikiwa lengo la kuongeza uelewa kwa umma kuhusu...

Oryx Gas Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya “Gesi Yente”

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania imewahakikishia Watanzania kuwa itaendelea kuboresha huduma zake kwa kuboresha miundombinu, kupanua mtandao wa usambazaji, ili kutekeleza ajenda...

Ulega aagiza tathmini barabara ya nje ya jiji la Arusha

📌 Itakuwa suluhisho la msongamano wa magari katikati ya jiji📌Atoa rai wananchi walinde miundombinu. Na Mwandishi wetu, Arusha WAZIRI Ujenzi, Abdallah Ulega, ametoa maelekezo kwa...

Wateja  wa iliyokuwa Benki ya FBME kulipwa  asilimia  30 awamu ya tatuNa Mwandishi wetu

Na Mwandishi wetu BODI ya  Bima ya Amana (DIB)  ipo katika mchakato wa kulipa fidia ya ufilisi awamu ya tatu ya asilimia 30 kwa ...

Rais Dk.Samia: polisi waache kumtafuta Dk.Gwajima

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba amesema Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ameliagiza Jeshi la Polisi liache kumtafuta Askofu...

Ndejembi awahakiiishia wakazi wa Kigamboni umeme wa uhakika

📌Afanya Ziara katika Kituo cha Dege 📌Aelekeza hatua za haraka kuchukuliwa kunusuru hali ya umeme Kigamboni 📌Umeme wa Megawati 22 kupatikana kwa hatua za haraka 📌Upanuzi wa...

Gavana Tutuba awaasa wahitimu uadilifu, uzalendo

Na Mwandishi wetu GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, amewataka wahitimu wa Chuo cha Benki Kuu ya Tanzania kudumisha uadilifu, uzalendo...

Mradi wa umeme Kishapu kielelezo cha ongezeko la uzalishaji umeme nchini

📌Mradi wa umeme wa jua wafikia asilimia 84 ya utekelezaji 📌Twange aagiza ukamilishwe ifikapo Januari 15, 2026 Na Mwandishi Wetu, Shinyanga MKUU wa Wilaya ya Kishapu...

Mashahidi 55 kuhojiwa kesi ya Kariakoo

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam UPANDE wa mashitaka katika kesi ya kuua bila kukusudia inayowakabili wafanyabiashara watatu wanaodaiwa kuwa ni wamiliki wa jengo...