Fedha za miradi zitumike kama ilivyokusudiwa-Dk. Mwigulu

Aonya watendaji wa Serikali “kuzoea” matatizo ya wananchi Azindua mitambo ya kuzalisha hewa tiba ya Oksijeni Na Mwandishi Wetu, Tanga WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amesema kuwa...

Mwanasheria Mkuu aongoza kliniki ya sheria bure kwa wananchi wa Dar

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amewaongoza Mawakili wa Serikali kutoa huduma za ushauri wa Kisheria kwa wananchi wakati...

Tutajenga vituo vya kipokea na kupoza umeme kila Wilaya-Waziri Ndajembi

📌Akagua Kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Uhuru Urambo- TABORA 📌Asisitiza Tanzania inazalisha umeme wa kutosha unaokidhi mahitaji ya nchi 📌Aipongeza TANESCO kwa utekelezaji wa...

Tunasogeza huduma za kisheria karibu zaidi na wananchi-Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari ametoa wito kwa wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam kujitokeza...

chalamila: udanganyifu wachochea migogoro ya ardhi Dar

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema migogoro mingi ya ardhi Dar es Salaam inachangiwa na...

Dk. Mwigulu aweka jiwe la msingi mradi wa kupoza umeme Mkata

📌Transfoma mbili za MVA 60 kuimarisha Huduma kwa wananchi. 📌Bilioni 44 zatumika. Na Mwandishi Wetu, Tanga WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba amekagua ujenzi wa mradi wa kupoza...

Kilombero Sugar yaendelea kukuza mpango wa uwezeshaji wa TEHAMA kwa manufaa ya wanafunzi 2,500...

Na Mwandishi Wetu, Morogoro KAMPUNI ya Sukari Kilombero imekamilisha kwa mafanikio Awamu ya Pili ya Mpango wa Uwezeshaji wa TEHAMA kwa Shule, mpango endelevu unaoendeshwa...

EWURA yapongezwa kwa kudumisha uhimilivu wa bei za nishati

Na Mwandishi Wetu, Dodoma MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Subira Mgalu, ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za...

Nishati ya umeme inachochea kasi ya maendeleo-Meya Singida

📌Afungua kikao kazi kati ya TANESCO na viongozi wa Serikali za Mitaa, Kata na Madiwani 📌Aipongeza TANESCO kwa kuendelea kuboresha na kusogeza huduma zake kwa...

Serikali yatenga bilioni 13 kuwezesha ujenzi wa ofisi za TMA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam NAIBU Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, David Kihenzile, ametembelea ujenzi wa ofisi za Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania...