Serikali yawekeza zaidi ya shilingi bolioni 280 kuimarisha upatikanaji wa umeme Dar es salaam
📍Asema Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi
📍Ni baada ya ziara yake kwenye vituo vya Gongo la Mboto, Kinyerezi I Extension na Mabibo
Na Mwandishi wetu, Dar...
Rais Dk. Mwinyi afungua flyover Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewahakikishia wananchi kuwa Serikali itawalipa fidia wananchi...
Mradi wa EACOP wafungua fursa za ajira na kuchochea maendeleo ya uchumi
📌Ndejembi asema Watanzania 8,500 wamenufaika na Ajira za Moja kwa Moja
📌EACOP yakuza biashara za ndani na kuimarisha ushirikiano wa kikanda kati ya Tanzania na...
Hakikisheni mradi wa bwawa la maji Kidunda hausimami-Dk.Mwigulu
Na Mwandishi wetu, Morogoro
WAZIRI Mkuu Dk Mwigulu Nchemba ameiagiza Wizara ya Maji kuhakikisha mradi wa Bwawa la Maji Kidunda hausimami na unakamilika kwa...
Polisi yasisitiza kusherekea sikukuu ya mwaka mpya kwa kuzingatia sheria na kanuni za...
Na Mwandishi wetu,Dodoma
JESHI la Polisi nchini Tanzania limetoa wito kwa wananchi kusherekea sikukuu ya mwisho wa mwaka na kuukaribisha mwaka mpya kwa kuzingatia...
Hakuna mtoto atakayezuiwa kusoma kwa kukosa sare za shule
Na Mwandishi wetu
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Profesa Riziki Shemdoe, amewaagiza Wakuu...
Mhasibu Mkuu wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Afariki Dunia
Na Mwandishi wetu,Dodoma.
TANZIA Mhasibu Mkuu wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Mbogo Alexander Munubi, amefariki dunia ghafla Desemba, 28 2025, mkoani Dodoma.
Taarifa...
Ni muhimu hoja za vijana kusikilizwa na kupatia ufumbuzi-Askofu Kisare
Na Mwandishi Wetu, Mara
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Mennonite Tanzania Nelson Kisare, amesema ni muhimu hoja za vijana kusikilizwa na kupatiwa ufumbuzi na sio...
Serikali imejipanga kuwawezesha vijana kiuchumi na kijamii na kuwafikia walipo
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka amesema Serikali ya Awamu ya Sita imejipanga...
Mashimo: Viongozi wa dini kusimamia pamoja ili kuleta amani ya nchi
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
MCHUNGAJI wa Kanisa Christian Assembly, Daudi Mashimo ametoa wito maalum kwa viongozi wa dini wa madhehebu yote kusimama...












