Wananchi wajitokeze kwa wingi kupiga kura Oktoba,29

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam MUUNGANIKO wa Asasi za Kiraia  Wanawake  na Watetezi wa Usawa wa kijinsia  hususan wanawake na vijana umeto...

Maaskofu, Masheikh nyandaza juu wahimiza uchaguzi wa amani

Na Mwandishi Wetu, Mbeya VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wamewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kushiriki Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29,...

Mradi wa Taza kufungua soko jipya la biashara ya umeme Afrika

📌 Wafikia asilimia 83 📌Dkt. Mataragio akagua mradi na kutoa maelekezo TANESCO 📌 TAZA kuunganisha Mkoa wa Rukwa na gridi ya Taifa 📌 Kuimarisha upatikanaji umeme Mikoa...

Asilimia 83 ya watanzania wathibitisha kupiga kura Oktoba 29

Na Mwandishi wetu ,Dar es salaam TAKWIMU zinaonyesha asilimia 83 ya Wananchi walioshiriki kura ya maoni kutoka Mikoa 19 wamethibitisha kushiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa Kufanyika...

Viongozi wa dini Kaskazini wahimiza amani kuelekea Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu, Moshi VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya kanda ya kaskazini, wamewataka Watanzania kulinda amani ya nchi, hasa taifa linapoelekea katika Uchaguzi Mkuu,...

Tanesco yatekeleza mafanikio programu ya” Konekt Umeme,Pika kwa umeme nchi nzima

Na Mwandishi wetu. SIKU chache baada ya uzinduzi rasmi wa programu maalum ya Konekt Umeme, Pika kwa Umeme uliofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar...

UDSM yaboresha tehama kupitia mradi wa heet

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeboresha kwa kiwango kikubwa miundombinu yake ya TEHAMA kupitia Mradi wa...

Dar es Salaam huduma ya umeme kupatikana masaa 24-Dk. Samia

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk. Samia Suluhu Hassan amesema...

DCEA yakamata kilo 10,783 za dawa za kulevya

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kati ya mwezi Septemba na Oktoba 2025,...

Darasa la nne kufanya mtihani wa mtaala mpya kesho

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam JUMLA ya wanafunzi 1,582,140 kutoka shule 20,517 zilizopo Tanzania Bara wamesajiliwa kushiriki katika Upimaji wa Kitaifa wa Darasa...