Tunasogeza huduma za kisheria karibu zaidi na wananchi-Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari ametoa wito kwa wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam kujitokeza...

chalamila: udanganyifu wachochea migogoro ya ardhi Dar

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema migogoro mingi ya ardhi Dar es Salaam inachangiwa na...

Dk. Mwigulu aweka jiwe la msingi mradi wa kupoza umeme Mkata

šŸ“ŒTransfoma mbili za MVA 60 kuimarisha Huduma kwa wananchi. šŸ“ŒBilioni 44 zatumika. Na Mwandishi Wetu, Tanga WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba amekagua ujenzi wa mradi wa kupoza...

Kilombero Sugar yaendelea kukuza mpango wa uwezeshaji wa TEHAMA kwa manufaa ya wanafunzi 2,500...

Na Mwandishi Wetu, Morogoro KAMPUNI ya Sukari Kilombero imekamilisha kwa mafanikio Awamu ya Pili ya Mpango wa Uwezeshaji wa TEHAMA kwa Shule, mpango endelevu unaoendeshwa...

EWURA yapongezwa kwa kudumisha uhimilivu wa bei za nishati

Na Mwandishi Wetu, Dodoma MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Subira Mgalu, ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za...

Nishati ya umeme inachochea kasi ya maendeleo-Meya Singida

šŸ“ŒAfungua kikao kazi kati ya TANESCO na viongozi wa Serikali za Mitaa, Kata na Madiwani šŸ“ŒAipongeza TANESCO kwa kuendelea kuboresha na kusogeza huduma zake kwa...

Serikali yatenga bilioni 13 kuwezesha ujenzi wa ofisi za TMA

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam NAIBU Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, David Kihenzile, ametembelea ujenzi wa ofisi za Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania...

Chalamila aagiza ujenzi wa maghorofa ya madarasa kukabiliana na ongezeko la wanafunzi

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila Chalamila ameagiza halmashauri zote kuweka mpango wa kudumu wa ujenzi...

Waziri Mkuu azindua miradi ya shilingi bilioni114 ya utalii

Na Mwandishi Wetu,Pwani WAZIRI Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amezindua na kukabidhi miundombinu 21 ya utalii yenye thamani ya Shillingi billioni 114.62. Amesema ujenzi wa Miradi hiyo...

Waziri Mkuu achukizwa na migogoro ya ardhi

Awasisitiza watendaji kuwafuata wananchi na kutatua kero zinazowakabili Na Mwandishi Watu, DodomaĀ WAZIRI Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba amewasisitiza Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya pamoja...