Mbeto awatahadharisha Viongozi wa Dini awaomba watoe ushauri bali wasijiingize katika Siasa
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM)kimewaasa Viongozi wa Dini kuacha kuvaa viatu vya kisiasa kwani kwa kufanya hivyo kunaweza kulipoteza Taifa katika dira...
Waziri Mkuu afanya ziara ya kushtukiza hospitali ya Mkoa wa Dodoma
▪️Atoa maagizo kwa Wizara ya Afya, MSD na hospitali zote nchini.
▪️Ataka wajawazito wasisubirishwe mapokezi wanapofika hospitali
▪️Wagojwa waipongeza Srtikali kwa kuboresha huduma za afya
Na Mwandishi...
Rais Dk.Samia: tutaongeza uzalishaji wa umeme kufikia megawati 8000 ifikapo 2030
📌Mikoa yote nchi nzima kuungwa kwenye Gridi ya Taifa.
Na Mwandishi wetu, Dodoma
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,...
Mkakati wa Mawasiliano wa nishati safi kupikia, dira ya mafanikio ya Taifa-Mhandisi Kabunguru
📌Aeleza Mkakati huo ni mwongozo wa kitaifa kwa wadau wote
📌Atoa wito kwa Maafisa dawati kuwa chachu ya mabadiliko ya Matumizi ya Nishati Safi ya...
Wadau wa usimamizi wa maafa wakutana kujadili rasimu ya mpango wa...
Na Mwandishi Wetu- Dodoma
MKURUGENZI Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Brigedia Jenerali Hosea Ndagala amewataka washiriki wa...
Tutaunda Wizara kamili ya vijana-Rais Samia
Na Esther Mnyika, Dodoma
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ameliambia Bunge la Tanzania kuwa anadhamiria kuunda Wizara kamili ya Vijana badala ya kuwa na idara...
Serikali yaunda Tume maalumu kuchunguza ghasia za Oktoba 29 — Rais Samia
Na Esther Mnyika, Dodoma
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amewaongoza Wabunge wa Bunge la Tanzania na wageni waalikwa kusimama na kuomba kwa dakika moja kwaajili...
Rais Dk. Samia amtahadharisha Dk. Mwigulu dhidi ya vishawishi vya marafiki...
Na Esther Mnyika, Dodoma
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amemtakia kheri Waziri Mkuu mpya wa Tanzania Dk. Mwigulu Lameck Nchemba, akimtaka kuepuka vishawishi...
Maoni ya Wabunge kuhusu Waziri Mkuu Mteule, Dk. Nchemba
Na Esther Mnyika, Dodoma
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu akitangaza Jina la Waziri Mkuu aliyeteuliwa na Rais...
Dk. Nchemba Aahadi Watanzania Wote Wanasikilizwa na Kuheshimiwa Katika Ofisi za Umma
*Watanzania Wote Watasikilizwa na Kuhudumiwa kwa Heshima
*Ajira na Kupambana na Umaskini
*Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025-2050: Ajira Milioni Nane kwa Vijana
Na Esther Mnyika, Dodoma...











