TBC, TAMISEMI waandaa shindano la insha kwa shule za sekondari
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
SHIRIKA la utangazaji Tanzania (TBC) kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za...
TANESCO yaandika historia ajira mpya
📍Waajiriwa wapya 555 wapata ajira kwa mara moja
📍Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO afungua rasmi mafunzo elekezi kwa waajiriwa hao
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
SHIRIKA la Umeme...
INEC yaasisitiza maandalizi ya Uchaguzi kuzingatia misingi ya sheria na maadili
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesisitiza maandalizi ya Uchaguzi Mkuu yanafanyika kwa kuzingatia misingi ya sheria, maadili,...
Watendaji uchaguzi watakiwa kutoa taarifa kwa vyama vya siasa
Na Mwandishi wetu, Shinyanga
TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka watendaji wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kutoa taarifa mapema kwa vyama vya siasa...
Twange akagua maendeleo ya miradi ya umeme Dodoma
📌Awataka Wakandarasi kuongeza kasi ili Miradi ikamilike kwa wakati
📌Asema lengo la TANESCO ni kuhakikisha inamudu mahitaji ya wateja wake
Na Mwandishi wetu, Dodoma
MKURUGENZI...
MEO na DMTA wasaini makubaliano ya ushirikiano kusaidia vijana ajira kwenye sekta ya meli
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
TAASISI Maritime empowment Organization imesaini makubaliano ya miaka mitatu ya kukuza ushirikiano na DMTA Crewing Angecy ikiwa lengo...
TPTC kimeendelea kuaminika na medani za Umoja wa Mataifa
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
CHUO cha Mafunzo ya Ulinzi wa Amani Tanzania (TPTC) kimeendelea kuaminika na medani za Umoja wa Mataifa...
Mradi wa ujenzi wa Bomba la Mafuta (EACOP) umeleta Mapinduzi ya kiuchumi kwa wananchi...
📌Wananchi wampongeza Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mafanikio ya ujenzi wa Mradi, wafikia asilimia 64.2
📌 Timu...
Rais Dk.Mwinyi afungua jengo jipya la Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)
Na Mwandishi wetu,Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezindua rasmi Jengo jipya na la kisasa la...
Mume ashikiliwa kwa mauaji ya mkewe
Na Mwandishi wetu, Morogoro
JESHI la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia James Lugembe (55), mkazi wa Kitongoji cha Manzese B, Kata ya Mkwatani, Wilaya ya...