Waziri Mkuu awataka madereva wa Serikali kufanyakazi kwa weledi

Asisitiza wajiepushe na tabia zinazoharatisha maisha, mali na siri za Serikali Na Mwandishi wetu,Dodoma WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa madereva wa Serikali wanawajibu wa...

Majaliwa ataka mikakati zaidi matumizi ya nishati safi kwenye magereza

Asema Rais Dk. Samia ameonesha njia kwenye matumizi ya nishati safi. Alipongeza Jeshi la Magereza kwa kuanza kutekeleza kwa vitendo matumizi ya nishati safi. Na Mwandishi...

Makamu wa Rais wa Zimbabwe awasili Tanzania kwa ziara ya kikazi

Na Mwandishi, Wetu Dar es Salaam MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe, Kanali Mstaafu Kembo Campbell Mohadi amewasili nchini Agosti 30. 2025 kwa...

CCM yaahidi ajira sekta ya elimu 7000 na afya 5000

Na Mwandishi wetu, Mwanza MGOMBEA Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema miongoni mwa mipango kazi ya miaka mitano...

Kailima aongoza INEC Kutoa fomu za uteuzi kwa wagombea Urais na Makamu wa Rais

Na Mwandishi wetu, Dodoma MKURUGENZI wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhani Kailima akiongoza watumishi wa Tume kuondoa fomu za...

Tanzania Yatajwa Kitovu cha Ushirikiano Mpya kati ya Afrika na Singapore

Na Mwandishi wetu TANZANIA imewekwa katika nafasi ya kimkakati kunufaika na ushirikiano mpya kati ya Afrika na Singapore, hasa kutokana na rasilimali zake, soko...

Serikali Yasistiza Ushirikiano na Sekta Binafsi Katika Utekelezaji wa ASDP II

Na Mwandishi wetu , Dodoma SERIKALI imesisitiza umuhimu wa ushirikiano wa karibu kati ya sekta ya umma na sekta binafsi katika utekelezaji wa Programu...

Waziri Mkuu alipongeza jeshi la Magereza urasimishaji ujuzi kwa wafungwa

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amelipongeza Jeshi la Magereza Tanzania kwa kufanya urasimishaji wa ujuzi wanaoupata wafungwa kupitia VETA...

Ahadi ya serikali kufikisha umeme wa gridi Kagera yatekelezwa

📌 Dkt.Biteko ashuhudia utiaji saini mikataba itakayowezesha Wilaya zote Kagera kupata umeme wa Gridi 📌 Awali umeme mwingi ulikuwa ukitoka nchini Uganda hivyo kufanya Mkoa...

Majaliwa: elimu ya watu wazima ni zana ya maendeleo endelevu.

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema elimu ya watu wazima sio tu elimu ya masomo ya kawaida, bali ni...