Huyu ndiye Dk.Mwigulu Waziri Mkuu Mteule wa Tanzania

Na Esther Mnyika, Dodoma RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amemteua Mbunge wa Iramba Magharibi, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa...

Elimu ya matumizi ya nishati safi ya kupikia kuokoa maisha zaidi ya elfu...

📌Wizara ya Nishati yasema elimu kwa maafisa dawati italeta mapinduzi ya kiafya na kimazingira 📌Mikoa ya Kanda ya Kati na Kaskazini wanufaika na elimu 📌Maafisa Dawati...

Shigela Aagiza Viongozi wa Mitaa Kudhibiti Uvamizi wa Maeneo ya Shule

Na Mwandishi wetu, Geita MKUU wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela amewataka viongozi wa serikali za mtaa kushirikiana na halmashauri kufuatilia kwa ukaribu na...

Makalla akutana na viongozi wa dini wafanya dua maalum kuombea amani

Na Mwandishi wetu, Arusha  MKUU wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla  amekutana na Viongozi wa dini na wa kimila kutoka Mkoa wa Arusha,...

Rais Dk. Mwinyi azindua Baraza la 11 la Wawakilishi atoa mwelekeo wa...

Na Mwandishi wetu, Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezindua rasmi Baraza la 11 la Wawakilishi...

Serikali yatoa milioni 403 kurejesha mawasiliano Mbinga

Na Mwandishi wetu, Ruvuma KATIKA mwaka wa fedha 2024/2025, Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Wilaya ya Mbinga imepokea jumla ya shilingi...

Niffer na wenzake 21 wamesomewa mashtaka matatu ikiwemo uhaini

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam MFANYABIASHARA Jenifer Jovin (26) maarufu Niffer na wenzake 21 amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa...

THBUB yalaani vurugu za Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi wetu, Dodoma TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imelaani vurugu iliyotokea nchini kipindi cha Uchaguzi Mkuu na kusababisha vifo, uharibifu...

Mkutano wa Kimataifa wadau wa kilimo cha mboga na matunda kufanyika nchini

Na Mwandishi Wetu, Dodoma  ASASI ya Kilele Sekta Binafsi inayoendeleza na kukuza Sekta ya Horticulture nchini (TAHA) kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo imeandaa...

Mpaka wa Kenya na Tanzania ni salama-Makalla

Na Mwandishi wetu, Arusha MKUU wa Mkoa wa Arusha,CPA Amos Gabriel Makalla ameeleza kuridhishwa na hali ya ulinzi na usalama katika Mpaka wa...