Tanzania kuwa kinara wa utoaji wa huduma za kimaabara Afrika Mashariki na Kati
                    
▪️Waziri Mavunde aweka jiwe la Msingi wa Ujenzi wa Maabara ya kisasa
▪️Ni maabara kubwa ya uchunguzi wa sampuli za madini Afrika Mashariki
▪️Kugharimu Tsh Bilioni...                
            Lukuvi atoa maagizo ya Rais Dk. Samia ajali ya mgodi Nyandolwa
                    
Na Mwandishi wetu, Shinyanga 
WAZIRI wa nchi Ofisi ya waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge William Lukuvi akimwakilisha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ametoa...                
            Bodi ya Bima ya Amana yapata Mkurugenzi Mkuu
                    
Na Mwandishi wetu 
BODI ya Wakurugenzi ya Bodi ya Bima ya Amana (DIB) imemteua Bw. Isack Nikodem Kihwili kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya...                
            Tuwawezeshe wafanyakazi kukabiliana na mabadiliko ya teknolojia _Majaliwa
                    
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa vyama vya wafanyakazi barani afrika kuweka mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya...                
            Serikali kugharamia mazishi ya waliofariki katika ajali ya mgodi Nyandolwa
                    
Na Mwandishi wetu,Shinyanga 
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na Uratibu, William Lukuvi, amemfikishia Rais  Dk. Samia Suluhu Hassan,...                
            Dk. Biteko ataka watumishi Wizara ya Nishati na Taasisi kuwa mfano wa matumizi ya...
                    
📌 Lengo ni kutekeleza Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia kwa vitendo
📌Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia yapaa kutoka asilimia 6 hadi 20.3
📌 Agawa...                
            Agizo la minada yote nchini kutumia nishati safi ya kipikia laanza kute
                    
📌 Wachoma nyama na Mama Lishe katika mnada wa Msalato Dodoma waanza kuonja matunda ya Nishati Safi ya Kupikia;
📌 Dkt. Biteko asema ni matunda...                
            Kasi ndogo ya utekelezaji mradi wa umeme wa Chalinze-Dodoma yamakasirisha-Dk. Biteko
                    
📌 Asikitishwa mradi huo aliouzindua Novemba 2024 kuwa nyuma kwa asilimia Saba
📌 Asema Rais Samia alitoa agizo mradi usichezewe kutokana na umuhimu wake katika...                
            Vyombo vya habari ni nguzo muhimu kufanikisha utekelezaji wa Dira ya Taifa ya maendeleo...
                    
Na Florah Amon, Dar es Salaam
VYOMBO vya habari nchini Tanzania vimetajwa kuwa nguzo muhimu katika kufanikisha utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050...                
            Mwanamke ni msukumo wa maendeleo katika jamii_Dk. Biteko
                    
📌 Asema Serikali itaendelea kuhakikisha kuwa wanapata haki na heshima wnayostahili
📌Azindua Mpango kazi wa Kitaifa wa Ajenda ya Wanawake, Amani na Usalama
📌 Unalenga kushirikisha...                
            











