BITEKO AKUTANA NA MTENDAJI MKUU WA RASHAL ENERGIES INAYIJENGA BOMBA LA GESI KISEMVULE_ MBAGALA

Dar es Salaam  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Rashal...

RAIS MWINYI:SMZ MSTARI WA MBELE KWA FURSA ZA KIUCHUMI KWA WANAWAKE.

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imekuwa mstari wa Mbele Kuhakikisha...

SERIKALI KUJENGA MTANDAO MKUBWA WA MABOMBA YA GESI-DK.BITEKO

📌 Asema lengo ni kurahisisha huduma kwa Wananchi 📌 Afanya mazungumzo na kampuni Rashal Energies inayojenga Bomba la Gesi Kisemvule-Mbagala 📌 Aikaribisha kampuni ya CNOOC ya...

MTUHUMIWA MMOJA AKAMATWA KWA TUHUMA ZA MAUAJI ARUSHA.

Arusha JESHI la Polisi Mkoani Arusha linamshikilia mtu mmoja aitwaye Emmanuel Charles (25) mkazi wa wilaya ya Arumeru kwa tuhuma za mauaji ya binti...

DK.MPANGO ATAKA AFRIKA KUBUNI NJIA BORA UENDELEZAJI RASILIMALI ZA NISHATI ILI KUKIDHI MAHITAJI

📌 Asema upatikanaji wa Nishati Afrika bado ni mdogo kulinganisha na Mabara mengine 📌 Asisitiza uendelezaji wa vyanzo vya Nishati uzingatie mustakabali wa vizazi vijavyo 📌...

RAIS DK. MWINYI: UNESCO KUSAIDIA ZANZIBAR KUENDELEZA UCHUMI WA BULUU

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amelishauri Shirika la Elimu , Sayansi na Utamaduni la Umoja wa...

VETA KUADHIMISHA MIAKA 30 NA 50 YA ELIMU YA UFUNDI

Dar es Salaam MAADHIMISHO ya miaka 50 ya Mfumo wa Kitaifa wa Serikali ya Taasisi ya Kusimamia Ufundi Stadi pamoja na miaka 30 ya...

MAJALIWA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BWAWA LA KIDUNDA.

Morogoro WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Machi 05, 2025 Mkoani Morogoro ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa mradi wa Bwawa la Kidunga litakalokuwa...

DK. BITEKO AWATAKA WANAWAKE KUWA MABALOZI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

📌 Serikali kuwezesha Sera, Sheria kwa wawekezaji wa Nishati Safi ya kupikia 📌 Ahamasisha matumizi ya Nishati ya Safi ya kupikia nchini 📌Ampongeza Mkurugenzi Mtendaji TANESCO...

AFRIKA TUNAYAPA KIPAUMBLE MATUMIZI YA NISHATI SAFI ILI KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI-DK.BITEKO

📌 Asema Sera na Sheria zinazowekwa zinahimiza matumizi ya Nishati Safi 📌 Afungua Mkutano wa Awali EAPCE'25 📌 Ataka utumike kujadili na kuweka mipango itakayowezesha matumizi...