“Uchaguzi Mkuu wa 2025 ni halali” Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Na Mwandishi wetu, Dodoma
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema kuwa, Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025 unaotarajiwa kufanyika tarehe...
Tanesco yaandika historia mpya yawasha mtambo wa kuzalisha gesi asilia wa megawati...
πUwezo wa uzalishaji umeme wapanda hadi megawati 77.5
πRC Mtwara auzindua mradi na kupongeza Wizara ya Nishati na TANESCO kwa jmageuzi katika sekta ya nishati
πAtoa...
Viongozi wa dini waendelea kihimiza amani uchaguzi mkuu
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
VIONGOZI wa dini nchini wameendelea kuhimiza umuhimu wa kudumisha amani, umoja na uzalendo kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,...
NCCR Mageuzi chawasisitiza watanzania kilinda amani ya Tanzania
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
CHAMA Cha NCCR Mageuzi, kimewasisitiza Wananchi kudumisha amani na mshikamano na kuachana na baadhi ya watu wanaochochea vurugu...
Elimu ya nishati safi ya kupikia yawafikia maafisa dawati ngazi ya mkoa na halmashauri
π Lengo ni kuwa na uelewa wa pamoja katika utekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Nishati Safi ya Kupikia.
π Mafunzo kuhusisha mikoa 26 na...
Viongozi wa dini Kanda ya Kati wataka amani uchaguzi mkuu
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
VIONGOZI wa dini mbalimbali kutoka Kanda ya Kati wamewataka Watanzania kuendelea kulinda amani ya nchi na kujitokeza kwa wingi kushiriki katika...
Mradi wa TACTIC utanufaisha wananchi wa Mpanda- Mrindoko
Na Mwandishi wetu Katavi
MKUU wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, amesema utekelezaji wa Mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) katika Mji wa...
Bil. 21.9/- za TACTIC Kujenga Kilomita 8.4 za Barabara Manispaa ya Mpanda
Na Mwandishi wetu, Mpanda
HALMASHAURI ya Manispaa ya Mpanda na Mkandarasi M/s Chonqing International Construction Corporation (CICO), wametiliana saini mkataba wa ujenzi wa barabara za...
Tanesco yaokoa upotevu wa mapato ya shilingi bilioni 1.7 kupitia zoezi la ukaguzi wa...
π Jumla ya wateja 1,700 wamebainika kutumia umeme kinyume na taratibu.
π Yatoa onyo kali kwa wateja wanaofanya udanganyifu kurejesha umeme kwa kutumia vishoka baada...
Viongozi wa Dini Kanda ya Kusini wataka ulinzi amani, kujitokeza upigaji kura
Na Mwandishi Wetu, Lindi
VIONGOZI wa dini mbalimbali kutoka mikoa ya Kanda ya Kusini wamewataka vijana nchini kuendelea kulinda amani ya Taifa, kuacha kutegemea taarifa...












