TASAC YAWAJENGEA UWEZO MAWAKALA WA MELI, FORODHA NA WAKUSANYAJI NA WATAWANYAJI WA MIZIGO MWANZA

Mwanza SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), leo tarehe 16 Aprili, 2025 limeendesha mafunzo kwa wadau wa usafirishaji mkoani Mwanza wanaojishughulisha na shughuli za...

RAIS DK.MWINYI: MABALOZI WANAOIWAKILISHA TANZANIA KATIKA NCHI MBALIMBALI KUZINGATIA DIPLOMASIA YA UCHUMI

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amewasisitiza Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali kuzingatia Diplomasia ya Uchumi...

NYONGO: SEKTA BINAFSI INA MCHANGO MKUBWA KWA TAIFA

Mwanza NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Mipango na Uwekezaji, Stanislaus Nyongo, ametoa wito kwa sekta binafsi kushiriki kikamilifu katika kupanga na kutekeleza mikakati...

MAWAKILI WASISITIZWA KUISHAURI SERIKALI KWA WELEDI

📌Dk. Biteko asema Serikali inatambua jitihada za Asasi za Kiraia kuhudumia Wananchi 📌Rais Samia apongezwa kwa mageuzi katika huduma za sheria nchini 📌Wawakili wahimizwa kuwa 'marafiki'wa...

RAIS DK.SAMIA ANATARAJIA KUWA MGENI RASMI ‘Samia Kalamu Awards’

Dar es Salaam RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya utoaji tuzo za waandishi wa habari zinazofahamika kama "Samia...

DK. MWINYI: SERIKALI KUIMARISHA SEKTA YA UTALII

Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua madhubuti za kuimarisha sekta ya...

WANANCHI WAGUSWA NA MIRADI YA ELIMU INAYOTEKELEZWA NA TAWA LIWALE

Wakiri uhifadhi kuwa na manufaa. Lindi MIRADI ya ujenzi wa madarasa mawili yenye thamani ya shillingi millioni 60 katika kijiji cha Ngumbu wilaya ya Liwale...

NIDA KUSITISHA RASMI MATUMIZI YA NINs MEI MOSI

Dar es Salaam MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imetangaza kuanzia  Mei mosi 2025 itasitisha rasmi matumizi ya Namba ya Utambulisho wa Taifa (NINs)...

AWAMU YA PILI UBORESHAJI, UWEKAJI WAZI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA MEI

DodomaUBORESHAJI wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura awamu ya pili utafanyika sambamba na uwekaji wazi wa Daftari la Awali la Wapiga Kura kuanzia...

NACHINGWEA YAANZA KUNUFAIKA NA VITUO VYA KUDHIBITI WANYAMAPORI WAHARIBIFU

Lindi WANANCHI wa Kijiji cha Nditi, Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi, wameanza kuona manufaa ya vituo vya Askari wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania...