SWAHIBA WA NYERERE APONGEZA UONGOZI WA SAMIA, AKITIMIZA MIAKA 99

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital MWANASIASA mkongwe nchini, Alhadji Mustapha Songambele amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuliongoza vyema taifa. Mzee Songambele ametoa pongezi hizo mbele...

SERIKALI KUREJESHA MIUNDOMBINU ILIYOATHIRIKA NA MVUA-MAJALIWA

Asisitiza mpango wa Serikali wa kukuza sekta ya kilimo Na Mwandishi wetu, Ruanga WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali imejipanga kuendelea kurejesha miundombinu yote...

COMRADE KINANA AIPONGEZA UWT KWA KUWAJENGEA UWEZO WANAWAKE NCHINI

Na Mwandishi wetu, Dodoma MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara COMRADE Abdulrahman Kinana ameipongeza Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania...

DK. NCHEMBA AUSHUKURU UMOJA WA ULAYA KWA KUSAIDIA MAENDELEO YA NCHI

Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchembaameishukuru Jumuiya ya Umoja wa Ulaya kwa mchango wake katika maendeleo ya Tanzania,...

SI MAJANGA YOTE YA MOTO MAJUMBANI YANASABABISHWA NA UMEME WA TANESCO

๐Ÿ“ŒMatumizi ya wakandarasi wasio na utaalamu (Vishoka)kutandaza nyaya (wiring)pasipo kuwa na utaalaamu wa kufanya hivyo ๐Ÿ“Œ*Matumizi holela ya vyombo mbalimbambali vinavyohitaji kutumia nishati ya Umeme...

SERIKALI IMEDHAMIRIA KUENDELEA KUTEKELEZA AGENDA YA UCHUMI WA VIWANDA: DK. BITEKO

๐Ÿ“ŒTanzania na Uganda kuendelea kushirikiana kukuza biashara na diplomasia ๐Ÿ“Œ Serikali kuhakikisha upatikanaji wa mafuta na gesi kwa bei nafuu na kuongeza ushiriki wa wananchi...

RAIS DK.SAMIA ASHIRIKI MAADHIMISHO YA PSC~AU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi M Dk....

BASI LA SHABIBY LAPATA AJILI

Basi la Shabiby lenye namba za usajili T 341 EEU lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Dodoma, likiwa na zaidi ya abiria 25, limepata...

NAWASHUKURU KWA DUA ZENU โ€“ DK.MWINYI

Na Mwandishi wetu, Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi amewashukuru Wazee wa Vijiji vya Ukongoroni na...

TIRA WATOA SOMO LA USAJILI WA WAMILIKI WA GEREJI

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital KAMISHNA wa Bima  Dk.Baghayo Saqware amewataka wamiliki wa gereji za kutengeneza magari, kujisajili katika Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) ...