SWAHIBA WA NYERERE APONGEZA UONGOZI WA SAMIA, AKITIMIZA MIAKA 99
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
MWANASIASA mkongwe nchini, Alhadji Mustapha Songambele amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuliongoza vyema taifa.
Mzee Songambele ametoa pongezi hizo mbele...
SERIKALI KUREJESHA MIUNDOMBINU ILIYOATHIRIKA NA MVUA-MAJALIWA
Asisitiza mpango wa Serikali wa kukuza sekta ya kilimo
Na Mwandishi wetu, Ruanga
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali imejipanga kuendelea kurejesha miundombinu yote...
COMRADE KINANA AIPONGEZA UWT KWA KUWAJENGEA UWEZO WANAWAKE NCHINI
Na Mwandishi wetu, Dodoma
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara COMRADE Abdulrahman Kinana ameipongeza Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania...
DK. NCHEMBA AUSHUKURU UMOJA WA ULAYA KWA KUSAIDIA MAENDELEO YA NCHI
Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam
WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchembaameishukuru Jumuiya ya Umoja wa Ulaya kwa mchango wake katika maendeleo ya Tanzania,...
SI MAJANGA YOTE YA MOTO MAJUMBANI YANASABABISHWA NA UMEME WA TANESCO
SERIKALI IMEDHAMIRIA KUENDELEA KUTEKELEZA AGENDA YA UCHUMI WA VIWANDA: DK. BITEKO
RAIS DK.SAMIA ASHIRIKI MAADHIMISHO YA PSC~AU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi M Dk....
BASI LA SHABIBY LAPATA AJILI
Basi la Shabiby lenye namba za usajili T 341 EEU lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Dodoma, likiwa na zaidi ya abiria 25, limepata...
NAWASHUKURU KWA DUA ZENU โ DK.MWINYI
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi amewashukuru Wazee wa Vijiji vya Ukongoroni na...
TIRA WATOA SOMO LA USAJILI WA WAMILIKI WA GEREJI
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
KAMISHNA wa Bima Dk.Baghayo Saqware amewataka wamiliki wa gereji za kutengeneza magari, kujisajili katika Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) ...