TMA YATOA TAHADHARI MWENENDO KIMBUNGA ” IALY KATIKA BAHARI YA HINDI

Na Mwandishi wetu MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa kuhusu mwenendo wa kimbunga “IALY” katika Bahari ya Hindi. Kimbunga hicho...

WAZIRI MKUU ASHIRIKI KONGAMANO LA JUMIKITA

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 21, 2024 ni mgeni rasmi katika kongamano la Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA). Katika Kongamano...

WIKI YA UBUNIFU TOLEO LA 10 KUZINDULIWA MEI 21, DAR ES SALAAM NA KILELE...

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital IMEELEZWA kuwa dunia ya leo inayobadilika kwa kasi ni budi kutengeneza rasilimali kupitia ubunifu ili kusaidia kubadili changamoto na kuwa...

WATANZANIA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA KATIKA SEKTA YA MADINI

Na Mwandishi wetu,Arusha WATANZANIA wametakiwa kuchangamkia fursa zilizopo katika uwekezaji katika Sekta ya Madini ili kuupiga jeki uchumi wa taifa kwa kutengeneza ajira na...

SERIKALI IMEANDAA SHERIA YA KUSIMAMIA BEI ZA BIDHAA NA HUDUMA

NaSaidina Msangi, Dodoma SERIKALI imesema imeandaa Sheria na kanuni ili kumlinda mlaji, na kuhakikisha kuwa bei za bidhaa na huduma zinapangwa kwa msingi wa nguvu...

WAZIRI BASHUNGWA AKUTANA NA BALOZI WA URUSI

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Urusi nchini, Andrey Avetisyan katika Kituo cha Mikutano...

TANZANIA YAUNGA MKONO UAMUZI WA SADC – MAJALIWA

Ni kuhusu mbinu za uvunaji wa maji na udhibiti wa mafuriko Na Mwandishi wetu,Dodoma WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Tanzania inaunga mkono uamuzi wa Jumuiya...

WAZIRI MKUU ATOA WITO KWA WANAOTEKELEZA AFUA ZA WANAWAKE

Awataka watumie taarifa za na takwimu za sensa kuandaa mipango yao Na Mwandishi wetu,Mwanza WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wadau wanaotekeleza...

KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA KASI YA UJENZI KITUO CHA KUPOZA UMEME CHALINZE

📌 Mradi wafikia asilimia 93.7 📌 Ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme kutoka JNHPP wafikia 99.5% Na Mwandishi wetu, Pwani. KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati...

IGP WAMBURA AWAVISHA NISHANI POLISI 27 WA VYEO MBALIMBALI DAR

Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital MKUU wa Jeshi la Polisi, IGP Camillus Wambura amewataka askari Polisi kuelendea kufanya kazi kwa kuzingatia tunu za Jeshi la...