SERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA MASHINE ZA EFD
Na Saidina Msangi, Dodoma.
SERIKALI imesema kuwa taratibu za kikodi zimebainisha kwamba, mfanyabiashara yeyote mwenye mauzo ghafi yenye kiasi cha shilingi milioni kumi na...
USAFIRI WA ANGA NI KICHOCHEO CHA UKUAJI UCHUMI-DK.MWINYI
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema sekta ya utalii ina mchango mkubwa katika...
DK.MWINYI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI MAALUM ZANZIBAR
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ameongoza kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri...
DK. BITEKO ATETA NA BALOZI MAREKANI NCHINI
Na Mwandishi wetu@Lajiji Digital
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Marekani hapa nchini Dk....
DK. NCHEMBA WADAU WAWEKEZE KWENYE SEKTA ZA UZALISHAJI
Na. Peter Haule na Saidina Msangi, Dodoma
WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba ametoa rai kwa wadau wa maendeleo nchini likiwemo Shirika la Maendeleo la...
RAIS DK. MWINYI KUFUNGUA MKUTANO WA SITA WA MASUALA YA ANGA
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi anatarajia kufungua Mkutano wa sita wa masuala ya anga wa jumuiya ya Afrika Mashariki...
ELIMU INAYOTOLEWA NA TAWA YAMWOKOA MWANANCHI KUTOKA MDOMONI MWA MAMBA
Na Beatus Maganja, Mwanza
MKAZI wa Kijiji cha Kasenyi kilichopo wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza Obeid Francis (44) amenusurika kuliwa na mnyamapori aina ya...
ZANZIBAR NA COMORO ZINA MAHUSIANO MAALUM
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar na Comoro zina Mahusiano maalum ya...
TANZANIA KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA UNICEF-MAJALIWA
Na Mwandishi wetu Dodoma
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 14, 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa...