ELIMU YA FEDHA KUIBUA MABADILIKO YA KIFEDHA KIGOMA
Na Chedaiwe Msuya, KigomaSERIKALI imewataka wananchi kufanya maamuzi mazuri ya matumizi ya kifedha kulingana na malengo waliyojiwekea, ikiwemo kuweka akiba, kupanga matumizi, na kudhibiti...
TANZANIA INA UMEME WA KUTOSHA KUFANYA SHUGHULI ZA KIUCHUMI- DK. BITEKO
📌 Asisitiza hakuna mgawo wa umeme
📌 Amshukuru Rais Samia kuiimarisha Sekta ya Nishati
Geita
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa,...
WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA ITALIA NCHINI TANZANIA ANAYEMALIZA MUDA WAKE
Dar es Salaam
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Juni 09, 2024 amefanya mazungumzo na Balozi wa Italia Nchini Tanzania Balozi Marco Lombardi ambaye amemaliza...
WABUNGE WAPEWA SEMINA SERA MPYA YA JINSIA
Dodoma
NAIBU Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Azzan Zungu amesema ili kwenda sambamba na utekelezaji wa dhana ya kuwa na Bajeti...
WANANCHI SENGEREMA WAASWA KUZINGATIA MATUMIZI YA VIZIMBA ILI KUEPUKA MADHARA YA MAMBA
Na Beatus Maganja
WANANCHI waishio kandokando ya ziwa Victoria wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza wamesisitizwa umuhimu wa kuzingatia matumizi ya vizimba vilivyojengwa na Wizara ya...
MAKAMU WA RAIS ATAKA DIRA 2050 ITAMBUE MAHITAJI YA VIJANA
Dar es Salaam
MAKAMU wa Rais wa Dk. Philip Mpango amesema Dira 2050 ni muhimu itambue mahitaji ya vijana na kubeba matamanio yao ili...
WANANCHI WASHAURIWA KUWA NA UTAMADUNI WA KUWEKA AKIBA YA FEDHA
Na Chedaiwe Msuya, Kigoma
WANANCHI wametakiwa kukopa mikopo yenye faida kwenye taasisi au mtu binafsi ambaye ana leseni iliyotolewa na Benki Kuu ya Tanzania ili...
WIZARA YA NISHATI YASHIRIKI KONGAMANO LA KITAIFA LA NISHATI JADIDIFU
📌 Yaeleza juhudi za Serikali katika uendelezaji wa Nishati Jadidfu nchini*
📌 Mkakati na Mpango Kazi wa Kitaifa wa Nishati Jadidifu mbioni kuzinduliwa
WIZARA ya Nishati...
WATENDAJI SERIKALINI WATAKIWA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI
📌 Wananchi Kata ya Katome wanufaika na mradi wa maji
📌 Barabara ya njia nne kujengwa Mwanza - Kigongo Busisi
Geita
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri...
DK. BITEKO AWATAKA WAZAZI KUPELEKA WATOTO SHULE
📌 Asisitiza nia yake kuchochea maendeleo Bukombe
📌 Ataka ufuatiliaji wa wasioenda shule ufanyike hadi ngazi ya kaya
📌 Daraja la mpakani kati ya Burenga na...












