Tuwawezeshe wafanyakazi kukabiliana na mabadiliko ya teknolojia _Majaliwa

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa vyama vya wafanyakazi barani afrika kuweka mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya...

Serikali kugharamia mazishi ya waliofariki katika ajali ya mgodi Nyandolwa

Na Mwandishi wetu,Shinyanga WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na Uratibu, William Lukuvi, amemfikishia Rais Dk. Samia Suluhu Hassan,...

Dk. Biteko ataka watumishi Wizara ya Nishati na Taasisi kuwa mfano wa matumizi ya...

πŸ“Œ Lengo ni kutekeleza Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia kwa vitendo πŸ“ŒMatumizi ya Nishati Safi ya Kupikia yapaa kutoka asilimia 6 hadi 20.3 πŸ“Œ Agawa...

Agizo la minada yote nchini kutumia nishati safi ya kipikia laanza kute

πŸ“Œ Wachoma nyama na Mama Lishe katika mnada wa Msalato Dodoma waanza kuonja matunda ya Nishati Safi ya Kupikia; πŸ“Œ Dkt. Biteko asema ni matunda...

Kasi ndogo ya utekelezaji mradi wa umeme wa Chalinze-Dodoma yamakasirisha-Dk. Biteko

πŸ“Œ Asikitishwa mradi huo aliouzindua Novemba 2024 kuwa nyuma kwa asilimia Saba πŸ“Œ Asema Rais Samia alitoa agizo mradi usichezewe kutokana na umuhimu wake katika...

Vyombo vya habari ni nguzo muhimu kufanikisha utekelezaji wa Dira ya Taifa ya maendeleo...

Na Florah Amon, Dar es Salaam VYOMBO vya habari nchini Tanzania vimetajwa kuwa nguzo muhimu katika kufanikisha utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050...

Mwanamke ni msukumo wa maendeleo katika jamii_Dk. Biteko

πŸ“Œ Asema Serikali itaendelea kuhakikisha kuwa wanapata haki na heshima wnayostahili πŸ“ŒAzindua Mpango kazi wa Kitaifa wa Ajenda ya Wanawake, Amani na Usalama πŸ“Œ Unalenga kushirikisha...

Wizara ya Nishati ya jivunia utekelezaji wa miradi saba kati ya 17 nchini

πŸ“Œ Katibu Mkuu Nishati asema kati ya miradi hiyo saba, JNHPP imekamilika πŸ“Œ Asema EACOP imefikia asilimia 65 huku Serikali ya Tanzania ikichangia hisa za...

Majaliwa atoa wito kwa wadau kuimarisha ushirikiano na Serikali

Na Mwandishi Wetu – Dodoma WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa mashirika yasiyo ya kiserikali, sekta binafsi na taasisi za dini kuimairisha ushirikiano...

Dk. Biteko azindua mradi utakaowakwamua vijana kiuchumi katika maeneo yanayopitiwa na EACOP

πŸ“Œ Unahusisha kuongezea vijana ujuzi, kuboresha upatikanaji wa huduma za kifedha, na kuondoa vikwazo vya ujasiriamali na ajira binafsi πŸ“Œ Ataka ujuzi unaotolewa kwa vijana...