TANESCO yawataka wateja wao kulipa madeni ya malipo ya kabla na baada
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limewataka wateja wao kulipa madeni ya malipo ya kabla na baada ili kuweza kuboresha...
Polisi Tanga yasarambatisha genge tishio la watoto wa ibilisi
Na Boniface Gideon, Tanga
JESHI la polisi mkoani Tanga, limewakamata watu watano wanaofahamika kama 'Watoto wa Ibilisi' wanaojihusisha na matukio ya uhalifu Jijini Tanga ikiwemo...
Zaidi ya shilingi bilioni 107 zakamilisha usambazaji umeme vijijini Simiyu
📌Kapinga asema sasa Serikali inapeleka umeme kwenye Vitongoji 638
📌Ataja miradi ya kuimarisha umeme Simiyu
📌 Simiyu yapata mitungi ya gesi 16,275 kwa bei ya ruzuku
Na...
Rais Dk.Samia: mwelekeo ni elimu ya ujuzi kwa vijana kumudu soko la ajira
Na Mwandishi wetu, Simiyu
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ya CCM anayoiongoza, imechukua hatua madhubuti katika kuweka mwelekeo wa elimu itakayotoa ujuzi...
Rais Dk. Mwinyi atunukiwa tuzo ya Mhamasishaji bora wa uwekezaji
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk. Hussein Ali Mwinyi, ametunukiwa Tuzo Maalum ya kuwa Mhamasishaji Bora wa Sekta ya...
Meatu mtaendelea kupata miradi mikubwa ya maendeleo ikiwemo nishati-Dk. Samia
📌Asema baada ya Vijiji vyote Meatu kupata umeme kasi inaelekea vitongojini
📌 Ataka umeme utumike kuongeza thamani ya mazao, kilimo na ufugaji.
Mwandishi Wetu, Geita
RAIS Dk....
Majaliwa: tunataka TET iwe kitovu cha ubora katika uandaaji wa mitala
Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali itaendelea kuiimarisha Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) ili ifikie maono ya kuwa kitovu maridhawa...
Rais Dk.Samia azindua Hospitali ya zaidi ya shilingi bilioni 4,Wananchi wampa tano
Simiyu
RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan leo Juni, 17 2025 amezindua Hospitali ya Wilaya ya Itilima iliyogharimu shilingi bilioni 4.7 iliyojumuisha ujenzi wa miundombinu na ununuzi...
Rais Dk.Mwinyi: Benki ya Dunia endeleeni kuiunga mkono Zanzibar katika kutekeleza miradi
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameishauri Benki ya Dunia kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika kutekeleza miradi...
Rais Dk.Mwinyi: SMZ itaendelea kuimarisha utumishi wa umma
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali ya Mapinduzi itaendelea kuimarisha utumishi wa umma...