ZAIDI YA LESENI 8,000 ZA UCHIMBAJI MADINI ZATOLEWA
• Maeneo 65 yatengwa
Dodoma
TUME ya Madini imetoa leseni 8, 501 katika kipindi cha Julai 2024 hadi Machi 2025 ikilinganishwa na lengo la kutoa...
SERIKALI INATHAMINI KAZI INAYOFANYWA NA SEKTA BINAFSI-MAJALIWA
Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inathamini kazi kubwa inayofanywa na sekta binafsi katika kuimarisha ustawi wa jamii nchini.
Amesema hayo...
RAIS DK.SAMIA:AONGEZA MISHAHARA YA WAFANYAKAZI KWA ASILIMIA 35.1
Singida
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ametangaza kuwa mwaka huu Serikali imeongeza kima cha chini cha mshahara kwa Watumishi wa Umma kwa 35.1%...
WAZIRI CHANA AKUTANA NA SEKRETARIETI YA MKATABA WA LUSAKA
Dodoma
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk. Pindi Chana amekutana na kufanya mazungumzo na Sekretarieti ya mkataba wa Lusaka (Lusaka Agreement) kuhusu Mkutano...
RAIS DK. MWINYI :AFUNGA AWAMU YA KWANZA YA ZANZIBAR SUKUK
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali imeweka mfumo madhubuti wa usimamizi na ufuatiliaji wa...
RAIS DK. MWINYI: MKUTANO WA MAJAJI (SEACFJ) NI FURSA MUHIMU ZANZIBAR
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Majaji Wakuu wa Nchi za...
TANESCO YAANZA RASMI ZOEZI LA KULIPA FIDIA WANANCHI WALIOPISHA UJENZI WA MIRADI YA UMEME
📌Ni mradi wa ujenzi wa njia kubwa ya kusafirisha umeme wa kilovoti 220 Tunduru -Masasi .
📌Jumla ya shilingi Bilioni 4.7 kutumika kulipa fidia kwa...
HALI YA UMEME ARUSHA YAZIDI KUIMARISHWA
📌Ni kufuatia upanuzi wa Kituo cha kupoza umeme cha Njiro
📌Kituo chafungwa transforma yenye MVA 210 kutoka MVA 90 ya awali
📌Dk. Biteko aipongeza TANESCO kuendelea...
RAIS DK.MWINYI : ZANZIBAR ITAHAKIKISHA MUUNGANO UNAENDELEA KUIMARIKA
Dodoma
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeahidi kuendelea kutoa ushirikiano kuhakikisha Muungano unaimarika kufikia dhamira ya Waasisi wake ya kudumisha Uhuru,Umoja na Mshikamano wa Watanzania.
Rais...
ONGEZEKO LA MAPATO NAMANGA LAMKOSHA DK. BITEKO
📌Ailekeza TANESCO kufunga Kituo cha Kupoza Umeme Longido
📌Maelekezo ya Serikali yatekelezwa Longido
📌Amuagiza Makonda kusimamia ufungaji vifaa vya maabara Sekondari ya Longido Samia
Arusha
NAIBU Waziri...