Tanesco yafanya ukaguzi wa mita kitaalamu kubaini ukweli malalamiko ya umeme kuisha haraka yagundua...
📌 Ni kufuatia malalamiko ya baadhi ya wateja kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari
📌 Chanzo cha tatizo kwa mita zilizokaguliwa chatajwa kuwa...
Mradi wa boost waimarisha elimu ya awali na msingi
Na Mwandishi Wetu, Tanga
SHULE ya Msingi Mwakidila, iliyopo Kata ya Tanga, Halmashauri ya Jiji la Tanga, imefanyiwa maboresho makubwa ya miundombinu na ufundishaji kupitia...
Serikali yaeleza sababu za kutowalazimisha watoto kuwahudumia wazazi
Na Jackline Minja MJJWM-Dodoma
SERIKALI imesema haina haja ya kuweka sharti la kisheria linalowalazimisha watoto kuwahudumia wazazi wao wasiojiweza, ikieleza kuwa suala hilo tayari linashughulikiwa...
Uwekezaji wa Rais Dk. Samia wagusa vijana Dar
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
VIJANA na Wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam wamesema wanatambua na kuthamini mchango wa...
Rais Samia: upandaji miti ni nguzo muhimu kukabiliana na mabadiliko ya Tabia Nchi
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema mabadiliko ya tabia nchi si nadharia bali ni...
Waziri Mkuu: serikali imeimatisha TAKUKURU katika mapambano dhidi ya rushwa
Na Mwandishi Wetu, Morogoro
WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeimarisha Taasisi ya...
Jamii yaaswa kutowaficha wagonjwa wa ukoma
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
WAZIRI wa Afya, Mohamed Mchengerwa ameiasa jamii kuachana na dhana potofu ya kuficha wagonjwa wa Ukoma na kujitokeza wanapobaini viashiria...
MV New Mwanza yazinduliwa rasmi
Na Mwandishi Wetu, Mwanza
WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, amezindua meli ya kisasa MV New Mwanza, akibainisha kuwa ni uwekezaji wa kimkakati wa Serikali katika...
Waziri Ndejembi afungua kikao cha 55 Baraza Kuu la wafanyakazi wa TANESCO Dodoma
📌 Amshukuru Rais Dkt Samia kwa kuboresha maslahi ya wafanyakazi
📌 Asisitiza usimamizi bora wa masuala ya haki za wafanyakazi na utoaji wa elimu kwa...
Wabunge wapongeza NIRC kwa mageuzi ya kilimo cha umwagiliaji
Na Mwandishi Wetu, Dodoma.
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, wameipongeza Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na Mkurugenzi Mkuu Tume...












