DK.MWINYI AWASILI DODOMA
Dodoma
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar , Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amewasili Dodoma kuhudhuria Kilele cha...
UTENDAJI KAZI KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA TANESCO WAMKWAZA DK. BITEKO
π Amuagiza Mkurugenzi Mtendaji TANESCO kumchukulia hatua mtaalam aliyemfokea mteja
π Ataka Mpango Mahsusi wa Nishati uliosainiwa katika Mkutano wa Mission 300 kupewa kipaumbele
π PURA,...
WAJITEKA NA KUDAI PESA KUTOKA KWA WAZAZI WAO
Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limefanikiwa kuwakamata wasichana wawili kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo baada ya...
BAADA YA KUMALIZA KAZI YA KUPELEKA UMEME VIJIJINI SASA KASI INAHAMIA VITONGOJINI – KAPINGA
π Asema upelekaji umeme vitongojini umefikia asilimia 52.3
π Asisitiza umeme kufika maeneo ya uchimbaji madini
Dodoma
NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema kuwa...
MAGARI 150 YA ZIMAMOTO YANUNULIWA NA KUSAMBAZWA NCHI NZIMA: BASHUGWA
Dodoma
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amesema kuwa Serikali inaendelea kuliimarisha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa kulipatia vitendea kazi...
KILELE CHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2025 KUADHIMISHWA KIPEKEE.
πDk. Samia Suluhu Hassan kielelezo cha kukuza usawa na uwezeshaji wanawake nchini.
πSerikali kuendelea kupambana na vitendo vya ukatili nchini dhidi ya Wanawake.
πWanaume mstari mbele...
RAIS DK.SAMIA: MAHAKAMA YA TANZANIA ITAKUWA NA MCHANGO MKUBWA KUIWEZESHA TANZANIA KUFIKIA...
Dodoma
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Mahakama ya Tanzania itakuwa na mchango mkubwa katika kuiwezesha Tanzania kufikia malengo yake ya maendeleo kama yatakayobainishwa...
AZMA YA SERIKALI NI KUHAKIKISHA WANANCHI WANAPATA UMEME WA UHAKIKA WAKATI WOTE- MHE. KAPINGA
π Serikali yafuatilia kwa karibu upatikanaji umeme Lushoto
π Vijiji vyote Nkasi vyafikiwa na huduma ya umeme
Dodoma
NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema ni...
WATENDAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WALEDI
Tanga
WATENDAJI wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Tanga na Pwani wametakiwa kufanya kazi kwa weledi, bidii na moyo wa kujituma...
WANAJESHI WAWILI WA JWTZ WAFARIKI DUNIA DRC
Dodoma
JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema kuwa limewapoteza Askari wake wawili (02) na wengine wanne (04) wamejeruhiwa Kufuatia mashambulizi ya...