DKT. BITEKO ATAKA FURSA KWA MTOTO WA KIKE IANZIE KATIKA NGAZI YA FAMILIA
📌 Asema maadhimisho siku ya mwanamke yajumuishe mafanikio ya Beijing 📌 Awahimiza wanawake kushiriki na kugombea katika Uchaguzi Mkuu ujaoÂ
Dar es Salaam  NAIBU Waziri Mkuu...
BITEKO AKUTANA NA MTENDAJI MKUU WA RASHAL ENERGIES INAYIJENGA BOMBA LA GESI KISEMVULE_ MBAGALA
Dar es Salaam  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Rashal...
RAIS MWINYI:SMZ MSTARI WA MBELE KWA FURSA ZA KIUCHUMI KWA WANAWAKE.
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imekuwa mstari wa Mbele Kuhakikisha...
SERIKALI KUJENGA MTANDAO MKUBWA WA MABOMBA YA GESI-DK.BITEKO
📌 Asema lengo ni kurahisisha huduma kwa Wananchi
📌 Afanya mazungumzo na kampuni Rashal Energies inayojenga Bomba la Gesi Kisemvule-Mbagala
📌 Aikaribisha kampuni ya CNOOC ya...
MTUHUMIWA MMOJA AKAMATWA KWA TUHUMA ZA MAUAJI ARUSHA.
Arusha
JESHI la Polisi Mkoani Arusha linamshikilia mtu mmoja aitwaye Emmanuel Charles (25) mkazi wa wilaya ya Arumeru kwa tuhuma za mauaji ya binti...
DK.MPANGO ATAKA AFRIKA KUBUNI NJIA BORA UENDELEZAJI RASILIMALI ZA NISHATI ILI KUKIDHI MAHITAJI
📌 Asema upatikanaji wa Nishati Afrika bado ni mdogo kulinganisha na Mabara mengine
📌 Asisitiza uendelezaji wa vyanzo vya Nishati uzingatie mustakabali wa vizazi vijavyo
📌...
RAIS DK. MWINYI: UNESCO KUSAIDIA ZANZIBAR KUENDELEZA UCHUMI WA BULUU
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amelishauri Shirika la Elimu , Sayansi na Utamaduni la Umoja wa...
VETA KUADHIMISHA MIAKA 30 NA 50 YA ELIMU YA UFUNDI
Dar es Salaam
MAADHIMISHO ya miaka 50 ya Mfumo wa Kitaifa wa Serikali ya Taasisi ya Kusimamia Ufundi Stadi pamoja na miaka 30 ya...
MAJALIWA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BWAWA LA KIDUNDA.
Morogoro
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Machi 05, 2025 Mkoani Morogoro ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa mradi wa Bwawa la Kidunga litakalokuwa...
DK. BITEKO AWATAKA WANAWAKE KUWA MABALOZI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
📌 Serikali kuwezesha Sera, Sheria kwa wawekezaji wa Nishati Safi ya kupikia
📌 Ahamasisha matumizi ya Nishati ya Safi ya kupikia nchini
📌Ampongeza Mkurugenzi Mtendaji TANESCO...