DK.MWINYI AWASILI DODOMA

Dodoma MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar , Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amewasili Dodoma kuhudhuria Kilele cha...

UTENDAJI KAZI KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA TANESCO WAMKWAZA DK. BITEKO

πŸ“Œ Amuagiza Mkurugenzi Mtendaji TANESCO kumchukulia hatua mtaalam aliyemfokea mteja πŸ“Œ Ataka Mpango Mahsusi wa Nishati uliosainiwa katika Mkutano wa Mission 300 kupewa kipaumbele πŸ“Œ PURA,...

WAJITEKA NA KUDAI PESA KUTOKA KWA WAZAZI WAO

Dar es Salaam JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limefanikiwa kuwakamata wasichana wawili kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo baada ya...

BAADA YA KUMALIZA KAZI YA KUPELEKA UMEME VIJIJINI SASA KASI INAHAMIA VITONGOJINI – KAPINGA

πŸ“Œ Asema upelekaji umeme vitongojini umefikia asilimia 52.3 πŸ“Œ Asisitiza umeme kufika maeneo ya uchimbaji madini Dodoma NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema kuwa...

MAGARI 150 YA ZIMAMOTO YANUNULIWA NA KUSAMBAZWA NCHI NZIMA: BASHUGWA

Dodoma WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amesema kuwa Serikali inaendelea kuliimarisha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa kulipatia vitendea kazi...

KILELE CHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2025 KUADHIMISHWA KIPEKEE.

πŸ“ŒDk. Samia Suluhu Hassan kielelezo cha kukuza usawa na uwezeshaji wanawake nchini. πŸ“ŒSerikali kuendelea kupambana na vitendo vya ukatili nchini dhidi ya Wanawake. πŸ“ŒWanaume mstari mbele...

RAIS DK.SAMIA: MAHAKAMA YA TANZANIA ITAKUWA NA MCHANGO MKUBWA KUIWEZESHA TANZANIA KUFIKIA...

Dodoma RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Mahakama ya Tanzania itakuwa na mchango mkubwa katika kuiwezesha Tanzania kufikia malengo yake ya maendeleo kama yatakayobainishwa...

AZMA YA SERIKALI NI KUHAKIKISHA WANANCHI WANAPATA UMEME WA UHAKIKA WAKATI WOTE- MHE. KAPINGA

πŸ“Œ Serikali yafuatilia kwa karibu upatikanaji umeme Lushoto πŸ“Œ Vijiji vyote Nkasi vyafikiwa na huduma ya umeme Dodoma NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema ni...

WATENDAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WALEDI

Tanga WATENDAJI wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Tanga na Pwani wametakiwa kufanya kazi kwa weledi, bidii na moyo wa kujituma...

WANAJESHI WAWILI WA JWTZ WAFARIKI DUNIA DRC

Dodoma JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema kuwa limewapoteza Askari wake wawili (02) na wengine wanne (04) wamejeruhiwa Kufuatia mashambulizi ya...