WAZIRI MKUU: SERIKALI KUENDELEZA MABONDE NCHINI
Dodoma
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea na mpango wa kuyaendeleza mabonde nchini kwa kuyatumia kutoa huduma za kijamii ikiwemo upatikanaji wa...
EWURA YAZITAKA KAMPUNI ZA GESI KUONGEZA MAWAKALA KUDHIBITI UCHUKUAJI WA GESI
Dar es Salaam
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imezitaka Kampuni za gesi kuongeza idadi ya mawakala wa usambazaji kwenye maeneo...
DK. BITEKO AWATAKA WATANZANIA KUTOGAWANYIKA WAKATI WA UCHAGUZI MKUU
📌 Asema Serikali ya Rais Samia itahakikisha miradi ya maendeleo inagusa wananchi
📌 Aelezea upekee wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
📌 Asema Rais Samia anasema...
TULINDE, TUENZI UTAMADUNI KWA MANUFAA YA VIZAZI VYETU- MAJALIWA
▪️Asema tusikumbatie tamaduni zinazokwenda kinyume na maadili na ustaarabu
▪️Profesa Kabudi asema sarakasi ni mchezo unaongoza kuliingizia Taifa fedha za kigeni
Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu,...
VITONGOJI 82 TARIME VIJIJINI KUPELEKEWA UMEME NA MRADI WA HEP IIB-KAPINGA
📌Taasisi 3000 zaunganishiwa umeme na fedha za Covid 19
Dodoma
VITONGOJI 82 ambavyo bado havijafikiwa na umeme katika Wilaya ya Tarime mkoni Mara vitapelekewa umeme...
WASIRA KURINDIMA SIKU TANO MKOANI DODOMA
Anatarajiwa kuanza ziara ya kishindo kuimarisha Chama
Pia ataweka mawe ya msingi katika miradi ya maendeleo
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen...
DK. BITEKO AWAASA WAKRISTO KULIOMBEA TAIFA
📌Ashiriki ibada ya Pasaka AIC Makongoro
📌Wakristo wakumbushwa ufufuko wa Yesu ulete mabadiliko maishani mwao
📌Ataka wenye nia thabiti wajitokeze kugombea
Mwanza
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri...
CHALAMILA : DAR NI SALAMA AELEZA MAFANIKIO NA MIPANGO YA MAENDELEO YA MKOA
-Afafanua maboresho makubwa ya miundombinu ya barabara na miradi ya kimkakati
-Awataka wananchi kuendelea kuhamasishana umuhimu wa kulipa kodi
-Awatoa hofu wananchi kuelekea uchaguzi Mkuu 2025...
KAMATI YA BODI YA UWEKEZAJI NA FEDHA WHI YATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA NYUMBA...
Dar es Salaam
BODI ya Uwekezaji na Fedha ya Watumishi Housing Investment (WHI) ,imetembelea na kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa nyumba 101...
TASAC YAWAJENGEA UWEZO MAWAKALA WA MELI, FORODHA NA WAKUSANYAJI NA WATAWANYAJI WA MIZIGO MWANZA
Mwanza
SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), leo tarehe 16 Aprili, 2025 limeendesha mafunzo kwa wadau wa usafirishaji mkoani Mwanza wanaojishughulisha na shughuli za...