Dk. Samia kukomesha tatizo la maji Muleba kwa maji ya Ziwa Viktoria

Na Mwandishi Wetu, Kagera  Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameahidi kutatua changamoto ya...

Tanzania yazindua mradi wa dunia kukabiliana na magonjwa ya mlipuko dharura za kiafya

📌 Dk. Biteko ataka utekelezaji wa kuleta matokeo chanya 📌 Mradi kugharimu Dola za Kimarekani milioni 38.7📌 WHO, FAO, UNICEF na Pandemic Fund zaipongeza Tanzania Na...

Serikali imeweka mikakati dhabiti ya kukabiliana na majanga nchini-Majaliwa

Na Mwandishi wetu, Mbeya WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali imeendelea kuchukua hatua madhubuti za kuimarisha ustahimilivu wa Taifa dhidi ya majanga, kupitia...

Wizara ya Nishati kivutio maonesho wiki ya chakula Tanga

*📌Ni kwenye kutoa elimu ya masuala ya Nishati Safi ya Kupikia 📌Wananchi wamejitokeza kwa wingi kujipatia majiko ya bei ya ruzuku ya shilingi 17,500/= Na Mwandishi...

Brigedeia Jenerali Ndagala afungua kongamano la wadau wa usimamizi wa maafa Mbeya

 Wadau watakiwa kutoa mapendekezo yenye tija kuboresha usimamizi wa maafa nchini Na Mwandishi wetu, Mbeya MKURUGENZI wa Idara ya Menejimenti ya Maafa, Ofisi ya...

Serikali Yaendelea Kuwezesha Vijana Kupata Fursa za Maendeleo – Maganga

Na. OWM KVAU – MbeyaSerikali chini ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inaendelea kutekeleza mikakati kuhakikisha...

serikali itaendelea kuhakikisha tunakuwa na nguvu kazi ya kisasa na yenye ujuzi-Majaliwa

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kuhakikisha Tanzania inakuwa na nguvukazi yenye ujuzi wa kisasa na inayoweza...

Tanesco yapata tuzo ya utoaji huduma bora kwa wateja

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam. 📌Yatajwa kama Taasisi pekee ya umma kushinda katika tuzo hizo 📌Yadhihirisha kufanikiwa kwa mikakati ya kuboresha huduma kwa wateja SHIRIKA la...

Ujenzi wa kiwanja cha ndege Msalato umefikia asilimia 95 miundombinu asilimia 63

Na Mwandishi wetu, Dodoma WAKALA wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Dodoma umeendelea na utekelezaji wa ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato...

Chalamila azindua programu ya Konekt Umeme,Pika kwa umeme

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, Oktoba 9, 2025, amezindua rasmi programu ya Konekt Umeme,...