Wakitumia nishati safi ya kupikia wataokoa hekta 400000 za misitu zinazoteketea kwa mwaka-Mjiolojia Nsajigwa

📌 Awanoa Wanawawake na Wajasiriamali Songwe kuhusu Nishati Safi ya Kupikia 📌 Atoa wito kwa Wadau kushirikiana na Wizara ya Nishati kutoa elimu ya Nishati...

Waandishi wa habari wanatakiwa kuzingatia sheria zilizowekwa ili kuripoti habari zenye weledi

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam WAANDISHI wa Habari wanatakiwa kujua siasa ni maisha yanayomgusa kila mmoja, hivyo hawawezi kuepuka cha msingi...

Serikali yafungua milango ya fursa kwa wakulima wa mwani

Na Mwandishi wetu, Tanga SERIKALI imewataka wakulima wa mwani nchini kutumia mbinu bora na za kisasa za kilimo ili kuongeza uzalishaji wa zao hilo na...

Elimu ya Nishati safi ya kupikia yawafikia wanawake Mkoani Mbeya

📌 Ni kupitia Kongamano la Wanawake na Fursa za Kiuchumi 📌 Wizara ya Nishati yasisitiza matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia ili kulinda afya na...

Dk.Biteko azindua programu ya uatoaji wa majiko ya umeme kwa bei ya ruzuku ...

📌 Takribani Majiko 11,000 kutolewa kwa wafanyakazi kwa bei ya ruzuku kupitia mfuko wa mzunguko
📌 Asisitiza programu hiyo ya TANESCO ni uthibitisho wa jitihada...

Ujenzi wa Bwawa la kufua umeme la Mto Malagarasi, wapiga hatua mpya

📌Mto wachepushwa ili kujenga tuta la kufulia Umeme 📌Kasi yapamba moto kukamilisha Mradi Na Mwandishi wetu, UJENZI wa Mradi wa Bwawa la kufua umeme kwa maji kupitia...

Zanzibar Yachota Uzoefu Dodoma: Yajiandaa Kujenga Mji wa Serikali Kisakasaka

Kamati ya wataalamu kutoka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Ikiingozwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Dk. Islam Seif...

Waziri Mkuu amwakilisha Rais Dk.Samia mazishi ya Hayati Ndugai

Asema aliimarisha ushirikiano kati ya Bunge na Serikali Atoa rai kwa Watanzania kuenzi mema yote aliyoyafanya enzi za uhai wake Na Mwandishi wetu, Dodoma WAZIRI...

Mombokaleo aipongeza Wizara ya Uchukuzi kwa ubunifu

Na Mwandishi wetu, Dodoma MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Abdul Mombokaleo ameipongeza Wizara ya Uchukuzi na taasisi zake...

Wakulima na wafugaji kuchangamkia fursa za bima ya kilimo ili kulinda uwekezaji wao

 Na Esther Mnyika,  Dodoma  WAKULIMA na Wafugaji nchini wametakiwa kuchangamkia fursa ya bima za kilimo na mifugo ili kulinda uwekezaji wao dhidi ya majanga yanayoweza...