TANZANIA MWENYEJI MKUTANO WA 19 JUKWAA LA KOROSHO AFRIKA 2025

Dar es salaam TANZANIA inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa 19 wa Mwaka wa Jukwaa la Korosho Afrika 2025 wenye lengo la kuonesha fursa za...

KUUNGANISHA UMEME MAENEO YA VIJIJI NI ELFU 27 โ€“ KAPINGA

๐Ÿ“Œ Asema kuunganisha umeme maeneo ya Vijiji Mji ni shilingi 320.960/- ๐Ÿ“Œ Kapinga asema maeneo ya Kerwa umeme umeshafika Makao Makuu ya Vijiji Dodoma NAIBU Waziri...

UONGOZI WA MKOA WA DAR ES SALAAM UNATARAJIA KUFANYA MAZUNGUMZO TRC KUJENGA RELI YA...

Dar es Salaam UONGOZI wa mkoa wa Dar es Salaam unatarajia kufanya mazungumzo na Shirika la Reli nchini (TRC) ili kuangalia kama kutakuwa na...

DK. BITEKO AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MIILI YA WANAFUNZI WALIOFARIKI KWA RADI GEITA

๐Ÿ“Œ Rais Samia atuma salamu za pole, agharamia misiba na mazishi ๐Ÿ“Œ Mkuu wa Wilaya Bukombe aishukuru Idara ya Afya kwa juhudi za maokozi ๐Ÿ“Œ Viongozi...

RAIS DK.SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA DHARURA WA WAKUU WA NCHI WA EAC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika...

TANZANIA YAAHIDI KUENDELEZA USHIRIKIANO NA BURUNDI KWENYE SEKTA YA NISHATI

๐Ÿ“ŒBurundi yaipongeza Tanzania kwa mafanikio ya nishati ๐Ÿ“ŒWampongeza Rais Samia kudumisha amani nchini Dar es Salaam SERIKALI imeahidi kuendelea kushirikiana na nchi ya Burundi katika nyanja...

BASHUNGWA AINGIA MTAANI KUJIONEA POLISI ILIVYOIMARISHA USALAMA MKUTANO WA NISHATI – DAR

Dar es Salaam WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ametembelea baadhi ya maeneo Jiji la Dar es Salaam kujionea namna Jeshi...

REA YAENDELEA NA USAMBAZAJI WA MITUNGI YA GESI YA KILO SITA MKOANI KILIMANJARO

๐Ÿ“ŒMitungi ya gesi 19,530 kusambazwa mkoani Kilimanjaro ๐Ÿ“ŒKila wilaya kupatiwa mitungi ya gesi 3,255 Kilimanjaro WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) umeingia mkataba na mtoa huduma kampuni...

TANZANIA KUZINDUA MPANGO MAHUSUSI WA KITAIFA WA NISHATI IFIKAPO MWAKA 2030

Dar es Salaam RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Tanzania ni moja Kati ya nchi 12 zitakazozindua Mpango Mahususi wa kitaifa kuhusu...