Dk Kijaji ataka utu maliasili, utalii
Na Mwandishi wetu, Morogoro
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk .Ashatu Kijaji na naibu wake Hamad Chande, wamewataka maofisa na askari wa uhifadhi nchini kuendeleza...
Waziri Mkuu atoa siku10 miundombinu ya muda irejeshwe Dar es Salaam
Asema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amefuta maadhimisho ya 09/12
Aagiza fedha zake zitumike kurejesha miundombinu iliyoharibika
Rais Samia aagiza Kanisa la Ufufuo na Uzima lifunguliwe Na...
Wahamiaji haramu 14 wakamatwa mwanza
Na Mwandishi wetu, Mwanza
JESHI la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia wahamiaji haramu 14 raia wa Burundi waliokamatwa wakiwa wameingia nchini kinyume na sheria, kwa...
Rais Dk.Mwinyi azindua mauzo ya nyumba za kisasa Kisakasaka
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kuwekeza katika miradi ya...
TANESCO mnefanya mageuzi makubwa katika huduma ya umeme kwa Wananchi-Ndejembi
📌 Aelekeza kuongeza kasi na ubunifu katika kuunganishia wananchi umeme
📌 Asisitiza hatua kali za kisheria kwa wakandarasi wazembe
Na Mwandishi wetu,Dodoma
WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi,...
Dk. Nchemba aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake
Na Mwandishi wetu, Singida
WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba, ameelekeza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha wanamkamata na kuzuia hati ya kusafiria ya...
Mpogolo atoa wito kwa viongozi kupambana na uwizi wa umeme
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewataka viongozi wa serikali za mitaa, na madiwani, kuwa mstari wa...
Rais Dk. Samia: kachunguzeni uwepo wa taarifa kwamba vijana walilipwa fedha
Na Mwandishi wetu, Dodoma
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ameiagiza Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati wa Uchaguzi Mkuu...
Mohamed Othman Chande kuongoza Tume ya Uchanguzi vurugu za Oktoba 29
Na Mwandishi wetu, Dodoma
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan leo Jumanne Novemba 18, 2025 kwa mamlaka aliyonayo ameunda Tume huru ya kufanya uchunguzi wa...
Ndejembi asisitiza utekelezaji wa vipaumbele vya serikali kufukia 2030
📌Asema siku mia moja za Rais ni dira ya kufikia malengo
📌Asisitiza ushirikiano baina ya watumishi na viongozi ndani ya Wizara ya Nishati
Na Mwandishi wetu,...












