RAIS DK.MWINYI: MABALOZI WANAOIWAKILISHA TANZANIA KATIKA NCHI MBALIMBALI KUZINGATIA DIPLOMASIA YA UCHUMI
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amewasisitiza Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali kuzingatia Diplomasia ya Uchumi...
NYONGO: SEKTA BINAFSI INA MCHANGO MKUBWA KWA TAIFA
Mwanza
NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Mipango na Uwekezaji, Stanislaus Nyongo, ametoa wito kwa sekta binafsi kushiriki kikamilifu katika kupanga na kutekeleza mikakati...
MAWAKILI WASISITIZWA KUISHAURI SERIKALI KWA WELEDI
📌Dk. Biteko asema Serikali inatambua jitihada za Asasi za Kiraia kuhudumia Wananchi
📌Rais Samia apongezwa kwa mageuzi katika huduma za sheria nchini
📌Wawakili wahimizwa kuwa 'marafiki'wa...
RAIS DK.SAMIA ANATARAJIA KUWA MGENI RASMI ‘Samia Kalamu Awards’
Dar es Salaam
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya utoaji tuzo za waandishi wa habari zinazofahamika kama "Samia...
DK. MWINYI: SERIKALI KUIMARISHA SEKTA YA UTALII
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua madhubuti za kuimarisha sekta ya...
WANANCHI WAGUSWA NA MIRADI YA ELIMU INAYOTEKELEZWA NA TAWA LIWALE
Wakiri uhifadhi kuwa na manufaa.
Lindi
MIRADI ya ujenzi wa madarasa mawili yenye thamani ya shillingi millioni 60 katika kijiji cha Ngumbu wilaya ya Liwale...
NIDA KUSITISHA RASMI MATUMIZI YA NINs MEI MOSI
Dar es Salaam
MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imetangaza kuanzia Mei mosi 2025 itasitisha rasmi matumizi ya Namba ya Utambulisho wa Taifa (NINs)...
AWAMU YA PILI UBORESHAJI, UWEKAJI WAZI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA MEI
DodomaUBORESHAJI wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura awamu ya pili utafanyika sambamba na uwekaji wazi wa Daftari la Awali la Wapiga Kura kuanzia...
NACHINGWEA YAANZA KUNUFAIKA NA VITUO VYA KUDHIBITI WANYAMAPORI WAHARIBIFU
Lindi
WANANCHI wa Kijiji cha Nditi, Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi, wameanza kuona manufaa ya vituo vya Askari wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania...
MKURUGENZI MTENDAJI WA TANESCO AFRIKA DUNIA KWA AJALI
Mara
MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Aprili 13, 2025 katika ajali...