Serikali Yaendelea Kuwezesha Vijana Kupata Fursa za Maendeleo – Maganga

Na. OWM KVAU – MbeyaSerikali chini ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inaendelea kutekeleza mikakati kuhakikisha...

serikali itaendelea kuhakikisha tunakuwa na nguvu kazi ya kisasa na yenye ujuzi-Majaliwa

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kuhakikisha Tanzania inakuwa na nguvukazi yenye ujuzi wa kisasa na inayoweza...

Tanesco yapata tuzo ya utoaji huduma bora kwa wateja

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam. 📌Yatajwa kama Taasisi pekee ya umma kushinda katika tuzo hizo 📌Yadhihirisha kufanikiwa kwa mikakati ya kuboresha huduma kwa wateja SHIRIKA la...

Ujenzi wa kiwanja cha ndege Msalato umefikia asilimia 95 miundombinu asilimia 63

Na Mwandishi wetu, Dodoma WAKALA wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Dodoma umeendelea na utekelezaji wa ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato...

Chalamila azindua programu ya Konekt Umeme,Pika kwa umeme

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, Oktoba 9, 2025, amezindua rasmi programu ya Konekt Umeme,...

Aua mkewe kwa kuchelewa kurudi nyumbani

Na Mwandishi wetu, Shinyanga JESHI la Polisi Mkoa wa Shinyanga linamshikilia Chimaguli Samamba (54), mkulima na mkazi wa Ugede- Songambele kwa tuhuma za kumuua...

TANESCO yaokoa milioni 200 baada ya kubaini wizi wa umeme kwenye kiwanda...

📌Mpango wa kudhibiti upotevu wa mapato ya Serikali umewezekana 📌 Yaahidi zawadi nono kwa wananchi watakaotoa taarifa za wahujumu kupitia mfumo wa Whistleblower Na Agnes Njaala,...

Boniface ahukumiwa miaka 30 jela kwa kumlawiti kijana mwenye matatizo ya akili

Na Mwandishi wetu, Tabora MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, imemhukumu mkulima na mkazi wa Kata ya Mbagwa wilayani humo, Boniface Matale...

Kaka na dada wahukumiwa miaka 20 jela kwa kuoana

Na Mwandishi wetu,Simiyu MAHAKAMA ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imewahukumu ndugu wa damu kifungo cha miaka isiyopungua 20 jela baada ya kupatikana na hatia...

TANESCO kuwaunganisha wateja umeme ndani ya siku moja

📌Ni katika maadhimisho ya wiki ya huduma kwa Wateja yanayofanyika katika viwanja vya Mwembe yanga. 📌RC Chalamila kuzindua utekelezaji mpango wa kuwakopesha majiko ya umeme...