LATRA yaanza kutoa vibali vya usafiri wa waya kuchochea shughuli za utalii nchini
Na Esther Mnyika, Dodoma
MKURUGENZI wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA),CPA Habibu Suluo amesema wameanza kutoa vibali eneo ambalo ni jipya la...
Rais Dk.Samia aipongeza TADB kwa utendaji mzuri
Na Esther Mnyika, Dodoma
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ameipongeza Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania ( TADB) Kwa utendaji mzuri ulioleta tija kwa...
TANESCO yaanza zoezi la ukaguzi wa mita kubaini upotevu na wizi wa umeme unaofanywa...
📌Zoezi limeanza kwenye maeneo yote nchi nzima
📌Shirika laomba ushirikiano wateja wake katika kubaini wezi wa umeme ili kudhibiti mapato
📌Ofisi ya huduma kwa wateja wilaya...
Chumi aipongeza REA kwa utekelezaji wa miradi ya Nishati Vijijini
Na Mwandishi wetu, Dodoma
NAIBU Waziri Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Cosato Chumi Agosti, 72025 ametembelea banda la...
TSB imewataka Wananchi na wawekezaji kuchangamkia fursa za zao la mkonge
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
BODI ya Mkonge Tanzania (TSB) imewataka Wananchi na wawekezaji kuchangamkia fursa zinazotokana na zao la mkonge baada ya...
Profesa Mchome: VETA kuhakikisha watanzania elimu na Mafunzo ya Ufundi
Na Mwandishi wetu, Dodoma
MWENYEKITI wa Bodi yaMamlaka Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), Profesa Sifuni Mchome amesema VETA kuhakikisha watanzania wa ngazi...
Sangweni: sekta ya kilomo na gesi asilia zinategemeana
Na Mwandishi wetu, Dodoma
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mkundo wa Juu wa Petroli (PURA), Mhandisi Charles Sangweni amesema sekta ya kilimo na...
Tangwe afanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya upanuzi wa vituo vya kupoza umeme
📌Aridhishwa na kasi ya utekelezaji wa miradi hiyo 📌Asema kukamilika kwake kutaimarisha upatikanaji wa huduma ya umeme na kukidhi mahitaji ya ongezeko la umeme kwa...
Nishati safi kwa kila mtu inawezekana-Mhadisi Saidy
Na Mwandishi wetu, Dodoma
MKURUGENZI Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Mhandisi Hassan Saidy amesema inawezekana hadi mwaka 2034 Watanzania zaidi ya...
DC SHEKIMWERI:Wizara ya Katiba na Sheria kusaidia kupunguza migogoro Ardhi
Na Mwandishi wetu,Dodoma
MKUU wa Wilaya ya Dodoma, Jabiri Shekimweri, amesema kuwa ushiriki wa Wizara ya Katiba na Sheria katika Maonesho ya Wakulima (Nanenane)...