Umwagiliaji unamchango mkubwa katika maendeleo Dira ya 2050
Na Mwandishi wetu, Dodoma
MKURUGENZI Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), Raymond Mndolwa amesema Serikali imefanya maamuzi mahususi kuwekeza katika Kilimo cha Umwagiliaji...
Wananchi wakaribishwa Nanenane kufahamu kwa kina mpango mahsusi wa Nishati 2025-2030
📌 Ni uliosainiwa katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika wa Misheni 300
Na Mwandishi wetu, Dodoma
WIZARA ya Nishati imekaribisha wananchi kuendelea kutembelea...
INEC kuzindua mfumo wa kusajili vyombo vya habari kuanzia Septemba 1 hadi 30
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuzindua mfumo wa kusajili vyombo vya habari kuanzia 1...
Tunapaswa kujenga ukanda wa SADC usio na rushwa-Majaliwa
Asisitiza kuendelea kusimamiwa kwa Itifaki ya SADC dhidi ya Rushwa.
Na Mwandishi wetu, Arusha
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Wakuu wa Taasisi...
Wananchi wakaribishwa banda la Wizara ya Nishati Nanenane Dodoma
📌 Kufahamu fursa na miradi inayoendelea kutekelezwa
Na Mwandishi wetu, Dodoma
WIZARA ya Nishati imeendelea kukaribisha wananchi kutembelea Banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho...
TANESCO yazindua mfumo wa kupokea taarifa za siri
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limezinduzi rasmi Mfumo wa Kupokea taarifa za siri, maarufu kama "Whistleblower portal", unaolenga...
Kailima : INEC itafanya kazi kwa karibu na waandishi wa habari...
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhani Kailima akizungumza katika Mkutano wa Tume, Wahariri na Waandishi wa Habari, uliofanyika...
Majaliwa aiagiza Wizara ya Kilimo kukuza teknolojia za Umwagiliaji nchini
Na Mwandishi wetu, Dodoma
WAZIRI Mkuu Kasim Majaliwa, amemuagiza Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Dk.Gerald Mweli kuhakikisha kuwa Wizara hiyo, kupitia Tume ya Taifa ya...
INEC yatoa mafunzo kwa wazalishaji maudhui mtandaoni kuhusu maandalizi ya Uchaguzi...
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji wa Rufani, Jacobs Mwambegele akizungumza katika Mkutano wa Tume na Wazalishaji Maudhui Mtandaoni, uliofanyika...
Waandishi wa habari kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi Oktoba 29
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewasisitiza Waandishi wa Habari kuandika habari zenye kuhamasisha na kuelimisha wananchi...