Ununuzi wa Dhahabu Benki Kuu Ni Kinga ya Uchumi
Na Mwandishi wetu, Geita
IMEELEZWA kuwa, utaratibu wa kisheria unaowataka wafanyabiashara wa dhahabu nchini kuuza angalau asilimia 20 ya dhahabu wanayozalisha kwa Benki Kuu...
Tanesco yakutana na wadau Morogoro kujadili mikakati ya kutunza vyanzo vya maji Bwawa la...
π Ni kufuatia utafiti uliofanywa na TANESCO kutambua vihatarishi na hatua za kuchukua kunusuru vyanzoVya mito.
πRC Malima aongoza kikao hicho na kukubaliana hatua za...
Dk. Mwinyi apokea mkono wa pole kwa viongozi mbalimbali
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amepokea mkono wa pole kufuatia kifo cha...
Wahandisi vijana nchini kutumia taaluma yao kujiajiri
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Dk. Charles Msonde ametoa rai kwa wahandisi vijana nchini kutumia taaluma yao...
Serikali yaondoa VAT kwa vituo vya gesi asilia iliyoshindiliwa(CNG)
π Lengo ni kuongeza uwanda wa matumizi ya CNG katika vyombo vya moto nchini
π Mhandisi Mramba azindua kituo cha Gesi Asilia iliyoshindiliwa ( CNG)...
Tanzania yang’ara uwekezaji katika elimu kwa rasilimali za ndani
π Dk. Biteko asema tafiti zaonesha elimu bora huchangia asilimia 20-30 ya ukuaji wa uchumi
π Walimu milioni 17 wa shule za msingi na sekondari...
Mbeto azindua kampeni za CCM jimbo la Shaurimoyo
Na Mwandishi wetu, Zanzibar ββKATIBU wa Kamati Maalum ya NEC Zanzibar, Idara ya Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Khamis Mbeto Khamis, Septemba, 23 2025 amezindua...
Dk. Mwinyi: Amani, umoja na maridhiano ndiyo nguzo za maendeleo Zanzibar
Na Esther Mnyika, Zanzibar
Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa sasa wa Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewataka...
Dk. Mwinyi aahidi mikopo, mafunzo kwa wajasiriamali wa utalii Zanzibar
Na Esther Mnyika, Zanzibar
Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameielekeza Taasisi ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (ZAEA) kuhakikisha...
Dk. Mwinyi: Amani ya Zanzibar haitachezewa
Na Esther Mnyika, Zanzibar
Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewahakikishia wananchi kuwa hataruhusu amani ya nchi ichezewe...












