Serikali yaunda Tume maalumu kuchunguza ghasia za Oktoba 29 — Rais Samia
Na Esther Mnyika, Dodoma
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amewaongoza Wabunge wa Bunge la Tanzania na wageni waalikwa kusimama na kuomba kwa dakika moja kwaajili...
Rais Dk. Samia amtahadharisha Dk. Mwigulu dhidi ya vishawishi vya marafiki...
Na Esther Mnyika, Dodoma
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amemtakia kheri Waziri Mkuu mpya wa Tanzania Dk. Mwigulu Lameck Nchemba, akimtaka kuepuka vishawishi...
Maoni ya Wabunge kuhusu Waziri Mkuu Mteule, Dk. Nchemba
Na Esther Mnyika, Dodoma
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu akitangaza Jina la Waziri Mkuu aliyeteuliwa na Rais...
Dk. Nchemba Aahadi Watanzania Wote Wanasikilizwa na Kuheshimiwa Katika Ofisi za Umma
*Watanzania Wote Watasikilizwa na Kuhudumiwa kwa Heshima
*Ajira na Kupambana na Umaskini
*Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025-2050: Ajira Milioni Nane kwa Vijana
Na Esther Mnyika, Dodoma...
Huyu ndiye Dk.Mwigulu Waziri Mkuu Mteule wa Tanzania
Na Esther Mnyika, Dodoma
RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amemteua Mbunge wa Iramba Magharibi, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa...
Elimu ya matumizi ya nishati safi ya kupikia kuokoa maisha zaidi ya elfu...
📌Wizara ya Nishati yasema elimu kwa maafisa dawati italeta mapinduzi ya kiafya na kimazingira
📌Mikoa ya Kanda ya Kati na Kaskazini wanufaika na elimu
📌Maafisa Dawati...
Shigela Aagiza Viongozi wa Mitaa Kudhibiti Uvamizi wa Maeneo ya Shule
Na Mwandishi wetu, Geita
MKUU wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela amewataka viongozi wa serikali za mtaa kushirikiana na halmashauri kufuatilia kwa ukaribu na...
Makalla akutana na viongozi wa dini wafanya dua maalum kuombea amani
Na Mwandishi wetu, Arusha
MKUU wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla amekutana na Viongozi wa dini na wa kimila kutoka Mkoa wa Arusha,...
Rais Dk. Mwinyi azindua Baraza la 11 la Wawakilishi atoa mwelekeo wa...
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezindua rasmi Baraza la 11 la Wawakilishi...
Serikali yatoa milioni 403 kurejesha mawasiliano Mbinga
Na Mwandishi wetu, Ruvuma
KATIKA mwaka wa fedha 2024/2025, Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Wilaya ya Mbinga imepokea jumla ya shilingi...











