KAPINGA ASEMA KAZI YA KUPELEKA UMEME KWENYE MIGODI MIDOGO INAENDELEA
📌 Wachimbaji wa chumvi pia wafikiwa
📌 Wananchi Kibiti wampongeza Rais Samia kwa mradi wa umeme wa zaidi ya shilingi Bilioni 3.8.
📌 Kituo cha umeme...
WAZIRI MKUU AWATAKA MABALOZI KUISHI FALSAFA ZA RAIS DK. SAMIA
Dodoma
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka mabalozi kuiishi falsafa ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ya kuimarisha mahusiano na kukuza diplomasia ya kiuchumi kati...
RAIS MWINYI AKUTANA NA WAZIRI MKUU MSTAAFU WA UINGEREZA TONY BLAIR.
Uingereza
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amemshukuru Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza ambaye pia ni Muanzilishi na...
MRADI WA KUFUA UMEME WA JNHPP WAKAMILIKA RASMI: DK. BITEKO
📌Asema ni ndoto ya watanzania,awataka wategemee umeme wa uhakika 📌Asisitiza kazi iliyobaki ni kuimarisha miundombinu ya kuwafikishia wananchi umeme 📌Rais Dk. Samia Suluhu Hassan na Rais...
RAIS DK.MWINYI:UCHAGUZI MKUU UTAFANYIKA KWA AMANI NA UTULIVU
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewahakikishia wananchi kuwa Uchaguzi Mkuu ujao utafanyika kwa amani na...
WATU NANE WAFARIKI KWA AJALI NA WENGINE 31 MAJERUHI
Kilimanjaro
WATU nane wamefariki Dunia na wengine 31 kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro.
Akithibitisha Aprili, 3 2025 kutokea...
SERIKALI ITAENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI-MAJALIWA
Dar es Salaam
WAZIRI Mkui, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan itaendelea kufanya maboresho zaidi...
UFAFANUZI KUHUSU MZAZI ANAYEDAI KUBADILISHIWA MTOTO
Wizara ya Afya imetoa ufafanuzi kuhusu taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ya mkazi wa Daraja mbili mkoani Arusha Bi. Neema Kilugala aliyejifungua kwa...
DK. MPANGO:VIJANA WATAKIWA KUEPUKA KUTUMIKA VIBAYA NA WATU WASIOITAKIA MEMA NCHI
Pwani
MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar zitaendelea kusimamia kwa...
DK. SAMIA: VIONGOZI WA DINI HIMIZENI AMANI YA NCHI NA KULEA WANANCHI KIROHO
Dar es Salaam
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa dini kuendelea kudumisha amani ya nchi na kubaki kwenye jukumu la kuwalea...