Sekta ya Madini imeendelea kuwa nguzo ya ukuaji uchumi-Majaliwa

Na Mwandishi wetu,Geita WAZIRI Mkuu,Kassim Majaliwa amesema kuwa Sekta ya madini imeendelea kuwa nguzo ya uchumi nchini ambapo katika mwaka 2022 sekta hiyo imekua kwa...

Mhandisi Mramba akutana na kampuni ya nyuklia ya China

📌 Wajadili ushirikiano katika kuzalisha umeme wa nyuklia nchini 📌 Watanzania kujengewa uwezo katika masuala ya nyuklia Na Mwandishi wetu KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati,...

Rais Dk.Samia anatambua mchango wa madhehebu ya dini katika kuendeleza maarifa-Majaliwa

Asema elimu haiwezi kukamilika kama hakuna maadili. Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan anatambua...

Makamu wa Rais kushiriki mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa – Marekani

Na Mwandishi wetu MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango, leo Septemba, 20 2025 ameondoka nchini kuelekea New York, nchini...

Twange aridhishwa na maendeleo ya mradi wa Taza- aagiza kuongezwa kwa kasi ya utekelezaji

📌Asema njia ya kusafirisha umeme wa Msongo wa Kilovoti 400 (203 km) Tunduma -Sumbawanga umefikia zaidi ya asilimia 79.07 📌Amshukuru Rais Dk. Samia Suluhu Hassan...

Dk. Samia: Uchumi Tanzania Bara kukua kwa asilimia saba 2026/27

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa endapo atachaguliwa...

Dk. Samia: TASAF umeondoa wengi katika umaskini, nitauendeleza

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema usimamizi mzuri wa...

Samia aahidi kuimarisha wajasiriamali kupitia mikopo isiyo na riba

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake...

Dk. Samia aahidi kukuza uchumi, ajira na utawala bora

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kwamba ndani ya...

Dk. Mwinyi: Amani, umoja na maridhiano ndiyo msingi wa maendeleo Zanzibar

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa sasa wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewataka...