RAIS DK. MWINYI: SERIKALI KUHAKIKISHA KUWEPO KWA UTII WA VIONGOZI KATIKA UTENDAJI WA TAASISI...
Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itahakikisha kuwepo kwa utii wa viongozi katika utendaji wa...
DEREVA ALIYESABISHA KIFO CHA MKUU WA POLISI CHANIKA AKAMATWA MKOANI MBEYA
Dar es salaam
JESHI la Polisi limefanikiwa kumkamata Dereva Elia Asule Mbugi@Dogobata Mnyakyusa(25),mkazi za Segerea aliyekuwa aliyetoroka baada ya kusababisha kifo cha SP Awadh Ramadhani...
TANESCO YASHINDA TENA TUZO ZA UBORA HUDUMA KWA WATEJA ZA CICM
📌Urahisi wa upatikanaji huduma kwa njia za kidigitali watajwa moja ya kigezo cha kushinda tuzo hiyo
📌MD Gissima aibuka kidedea kwa Kusimamia Maboresho yenye tija...
NIMERIDHISHWA NA MAANDALIZI KUELEKEA KUWASHWA KWA MWENGE WA UHURU – MAJALIWA
Pwani
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na hatua za maandalizi kuelekea sherehe za kuwashwa kwa Mwenge wa Uhuru ambao utazunguka katika Mikoa 31 na...
WATU SABA WAFARIKI, 75 MAJERUHIWA SAME
Same
WATU saba wamefariki dunia na wengine 75 wamejeruhiwa katika ajali mbili tofauti zilizotokea wilayani Same.
Ajali ya kwanza ilitokea majira ya saa saba usiku wa...
TANESCO YAANZA KAMPENI YA KUELIMISHA ELIMU YA USALAMA KWENYE MATUMIZI YA UMEME MIKOA YA...
📌Kampeni inalenga kuelimisha watoto kuzingatia usalama kwanza watumiapo umeme.
📌Itasaidia Kupunguza athari na ajali zitokanazo na majanga ya umeme kwenye Mikoa hiyo.
Na Mwandishi wetu
SHIRIKA...
SERIKALI YAAGIZA MAGEREZA KUPEWA RUZUKU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
📌 Dk. Biteko atoa mabati 300 ujenzi wa darasa Chuo cha Mafunzo
📌 Magereza yapongezwa kutumia Nishati Safi ya Kupikia
📌 Dk. Samia apongezwa kwa kuimarisha...
MAJALIWA: SERIKALI INATOA FEDHA, SIMAMIENI MANUNUZI YA DAWA
Kilimanjaro
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza Waganga Wakuu wa Mikoa na Wilaya wasimamie vema fedha za ununuzi wa dawa zinazotolewa na Serikali na kuhakikisha...
MOI YAANDIKA HISTORIA KWA KUANZA KUFANYA UPASUAJI WA UBONGO KWA KUTUMIA AKILI UNDE.
Dar es Salaam
TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeanza rasmi upasuaji wa ubongo kwa kutumia teknolojia ya akili unde 'Brain...
GST YAFANYA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA MADINI
Mafanikio ya Miaka Minne ya Serikali ya Awamu ya Sita 2021-2025
Dodoma
KATIKA kipindi cha miaka minne cha Serikali ya Awamu ya Sita, Taasisi...