INEC yatoa mafunzo kwa wazalishaji maudhui mtandaoni kuhusu maandalizi ya Uchaguzi...

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji wa Rufani, Jacobs Mwambegele akizungumza katika Mkutano wa Tume na Wazalishaji Maudhui Mtandaoni, uliofanyika...

Waandishi wa habari kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi Oktoba 29

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewasisitiza Waandishi wa Habari  kuandika habari zenye kuhamasisha na kuelimisha wananchi...

Wizara ya Nishatina taasisi zake zashiriki maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Dodoma

Na Mwandishi wetu, Dodoma WIZARA ya Nishati na Taasisi zilizo chini yake zinashiriki Katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ambayo yameanza Agosti, 1 2025...

Endeleeni kuelimisha umma kuhusu shughuli za Ofisi ya Waziri Mkuu”Katibu Mkuu Agnes

Na Mwandishi wetu, Dodoma KATIBU Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Agnes Meena ametoa rai kwa Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu waendelee...

Makamu wa Rais afungua maonesho ya Nanenane Kitaifa 2025

Na Mwandishi wetu, Dodoma MAKAMU wa Rais wa Dk. Philip Mpango ametoa rai kwa viongozi kutambua wajibu wa kuetekeleza Dira ya Taifa 2050...

Vyombo vya habari vyatakiwa kuripoti habari za Uchaguzi Mkuu kwa kuzingatia maadili ya taaluma

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam TUME Huru ya Taifa Uchaguzi(INEC) imevitaka vyombo vya habari nchini kuwa makini katika kuripoti taarifa zinazohusu Uchaguzi Mkuu...

TAMWA yawapatia mafunzo maalum Waandishi wa Habari kuhusu usalama mitandaoni

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA) kimeendelea na juhudi zake za kuwawezesha waandishi wa habari kwa kuwapatia...

Rais Dk.Samia : Kituo kipya cha Biashara kuimarisha uchumi wa Nchi

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa uzinduzi wa Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (...

Waziri Mkuu akutana na Rais wa Afrexim Bank

Aibua maeneo ya uwekezaji, ushirikiano zaidi na Tanzania Na Mwandishi wetu. WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amefanya mazungumzo na Rais Mteule na Mwenyekiti wa Bodi ya...

Watanzania Wahamasishwa Kushiriki Kikamilifu Uchaguzi Mkuu wa 2025

Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeyataka makundi mbalimbali ya kijamii nchini kuyatumia majukwaa yao kuwahamasisha wananchi kushiriki...