Serikali inaendelea kutekeleza miradi ya umeme kwenye maeneo ya mkakati _Kapinga

📌 Maeneo 300 tayari yamefikkwa 📌 Asisitiza gharama ya kuunganisha umeme Vijijini ni shilingi 27,000/- Dodoma NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea...

Dk. Mwinyi aeleza majuto yake kwa Charles Hilary, atoa wito kwa waajiri

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameeleza kwa masikitiko majuto yake ya kutomweleza mapema...

Zaidi ya nyumba 800 Mtwara kuunganishwa na mfumo wa gesi ya kupikia _Kapinga

📌 Awasisitiza TPDC na REA kushirikiana ili kuongeza kasi ya kuunganisha gesi majumbani 📌 Asema Mkakati wa Taifa wa Nishati Safi ya Kupikia ni endelevu. NAIBU...

Rais Samia: Nimetimiza maombi ya Hayati Msuya kabla hajatuaga

Na Esther Mnyika, – Kilimanjaro Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema amepata faraja ya kipekee kutimiza maombi makubwa mawili...

Mchechu: Ni wakati wa Tanzania kunadi fursa za uwekezaji kimataifa

Na Mwandishi wetu,Ivory Coast KATIKA jukwaa kubwa la viongozi wa taasisi za kibiashara barani Afrika, maarufu kama Africa CEO Forum, Tanzania imeendelea kujidhihirisha kama taifa...

Simanzi yatawala wananchi wakimuaga Hayati Msuya Kilimanjaro

Na Esther Mnyika, Kilimanjaro Viongozi wa Serikali, mashirika ya umma na binafsi, vyombo vya ulinzi na usalama, viongozi wa kimila, vyama vya siasa, wanafunzi na...

Wizara ya Elimu yataja vipaumbele vitano bajeti ya 2025/2026

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imepanga kutekeleza vipaumbele vitano muhimu katika bajeti ya mwaka wa fedha 2025/2026, ikiwa...

RAIS DK.SAMIA KESHO ANATARAJIA KUONGOZA WATANZANIA MAZISHI

Na Esther Mnyika, Kilimanjaro RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan kesho anatarajia kuongoza Watanzania mazishi ya aliyekuwa Makamu wa Rais wa Kwanza na Waziri Makuu wa zamani,...

SERIKALI INABORESHA MIUNDOMBINU YA UMEME KIBITI KUONDOA CHANGAMOTO YA UMEME- KAPINGA

Dodoma NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) inatekeleza miradi mbalimbali ya matengenezo na ukarabati wa njia...

KIKWETE : WATU WENYE ULEMAVU NAO NI SEHEMU YA NGUVU KAZI YA TAIFA

Dodoma WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira, Vijana na Watu Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete amewakumbusha Watu wenye Ulemavu kuwa nao...