Waziri Mkuu akutana na Rais wa Afrexim Bank

Aibua maeneo ya uwekezaji, ushirikiano zaidi na Tanzania Na Mwandishi wetu. WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amefanya mazungumzo na Rais Mteule na Mwenyekiti wa Bodi ya...

Watanzania Wahamasishwa Kushiriki Kikamilifu Uchaguzi Mkuu wa 2025

Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeyataka makundi mbalimbali ya kijamii nchini kuyatumia majukwaa yao kuwahamasisha wananchi kushiriki...

INEC yafanya Mkutano na Wawakilishi wa watu wenye ulemavu kuhusu maandalizi ya...

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji (Rufani), Jacobs Mwambegele akizungumza katika Mkutano wa Tume na Wawakilishi wa Watu wenye...

Rais Dk.Samia kuzindua Kituo cha Biashara Ubungo Agosti Mosi

Na Esther Mnyika, Dar es Salaam RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajia kuzindua Kituo cha Biashara na Usafirishaji cha Afrika Mashariki (EACLC), kilichopo Ubungo, jijini Dar...

TPA kushirikiana na taasisi mbalimbali za serikali na sekta binafsi zinazotoa huduma Bandari ya...

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za serikali pamoja na sekta binafsi zinazotoa...

Dk.Yonazi awaasa watumishi Ofisi ya Waziri Mkuu kuongeza bidii katika kutekeleza majukumu yao

Na Mwandishi wetu Dodoma KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Dk. Jim Yonazi amewaasa Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu...

Nchi 10 kujadili mbegu za wakulima

Na Mwandishi Wetu WADAU wa mbegu za wakulima kutoka nchi 10 duniani kesho watakutana nchini Tanzania kujadiliana muhimu wa mbegu hizo na sera. Hayo yamebainishwa leo...

Tunaweza kuzuia asilimia 80 ya vifo nchini tukibadili mtindo wa maisha-Dk.Biteko

📌 Asisitiza kuhusu mazoezi ya mwili ili kujikinga na maradhi yasiyoambukiza 📌 Apongeza NBC Dodoma Marathon kuiunga mkono Serikali mapambano dhidi ya Saratani ya Shingo...

Dk. Mataragio atembelea vituo vya mradi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika...

*📌Ni vya Kuongeza msukumo(pressure) wa mafuta PS-5 na kambi ya kuhifadhi mabomba namba 10 *📌 Ujenzi wa kituo cha kupunguza kasi ya mafuta wafikia asilimia...

Stamico yakabidhuwa leseni kubwa ya utafiti na uchimbaji madini adimu vilima vya wigu,...

▪️Ni maelekezo ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ▪️Lengo ni kukuza uwekezaji wa STAMICO kwenye madini mkakati ▪️Waziri Mavunde akabidhi Leseni na kuelekeza uendelezaji wa...