Ziara ya Twange yaendelea mikoa ya kusini

📌Aifikia mikoa ya Ruvuma na Mtwara 📌Akagua miradi mbalimbali ya umeme pamoja na kuifikisha elimu ya nishati safi ya kupikia kwa umeme Na Josephine Maxime MKURUGENZI Mtendaji...

Muungano ni udugu wa damu, tutaulinda kwa bidii-Dk. Samia

Na Mwandishi Wetu, Lajiji Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuendelea kuulinda Muungano...

Samia atoa wito wa kudumisha amani na utulivu uchaguzi mkuu

-Asema uchaguzi siyo vita ni tendo la demokrasia Na Mwandishi Wetu, Lajiji Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt....

Samia; Amani na utulivu wa Tanzania ni jambo muhimu kuliko yote

Na Mwandishi Wetu, Lajiji Akiwa kwenye Kijiji cha Kajengwa, Makunduchi Unguja Visiwani Zanzibar, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama...

Nimekuja nyumbani kuchota baraka za wazee- Dk. Samia

Na Mwandishi wetu, Lajiji Mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amesema amerejea Zanzibar na kuanzia kampeni zake Makunduchi...

Dk. Mwinyi aahidi ajira na mitaji kwa vijana Zanzibar

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,...

Dk. Mwinyi: Pemba inakwenda kufunguka kupitia bandari, Airport ya kimataifa

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Mwinyi, amesema Pemba ipo mbioni kufunguka kiuchumi kupitia miradi mikubwa...

Hawa hapa waamuzi watakaoamua Kariakoo Dabi leo

Na Mwandishi Wetu, Lajiji Joto la Kariakoo Dabi linazidi kupanda kuelekea mchezo wa fainali ya Ngao ya Jamii utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Septemba 16,...

Dk. Mwinyi ataja mambo 11 akisaka kura Pemba

*Asisitiza juu ya uchumi wa buluu Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuimarisha uchumi...

Mtambo wa gesi asilia wasafirishwa kwenda Mtwara kuongeza nguvu ya uzalishaji wa umeme

Na Agnes Njaala, Dar es Salaam SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limeendelea kuchukua hatua madhubuti kuhakikisha upatikanaji wa huduma ya umeme wa uhakika katika mikoa...