MIZENGO PINDA: VIJANA TUMIENI FURSA YA MAGEUZI YA ELIMU NCHINI
Dar es salaam
WAZIRI Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda amewataka Vijana kutumia fursa ya mageuzi ya elimu nchini kwa kujiunga vyuo stahiki vya Mamlaka ya...
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAPONGEZA UJENZI WA JENGO LA WIZARA YA NISHATI –...
📌Ujenzi wafikia 94%
Dodoma
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imekagua ujenzi wa jengo la Wizara ya Nishati katika mji wa Serikali...
OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAJIZATITI KUBORESHA UWEZO WA MAWAKILI WA SERIKALI
Dar es Salaam
OFISI ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imejipanga katika kuendelea kuimarisha na kuboresha uwezo wa Mawakili wa Serikali nchini, hayo yamesemwa na...
TUJIEPUSHE KUIGA TABIA ZA KIGENI ZISIZOKUWA NA MAADILI KWA TAIFA-MAJALIWA
▪️Amsifu Askofu Kilaini asema ni kielelezo cha ujasiri, imani thabiti na kujitoa kwa jamii
Kagera
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema jamii inahitaji kufundishwa, kutambua na...
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YARIDHISHWA NA HATUA ZA UTEKELEZAJI...
📌Zaidi ya Shilingi Bilioni 21 zatumika kulipa fidia waliopisha mradi
📌Serikali yasema mradi utakamilika kwa wakati
📍IRINGA
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imefanya...
NI MAONO YA DK.SAMIA WANANCHI WOTE WAPATE UMEME – KAPINGA
📌 Asema wakati Serikali ya Awamu ya Sita inaingia madarakani Vijiji 4000 havikuwa na umeme
📌 Aitaka TANESCO na REA kuendelea kutoa elimu ya kuunganisha...
KAKOSO:ONGEZENI KASI UJENZI WA BRT 3
Dar es Salaam
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imezungumzia umuhimu wa Serikali kumsimamia kikamilifu mkandarasi SINOHYDRO Corporation Ltd anaejenga Mradi wa Mabasi...
BILIONI 60 KULIPA FIDIA WANANCHI WALIOPITIWA MRADI WA RUHUDJI NA RUMAKALl
📌Serikali ya Awamu ya Sita yapongezwa kupelekea Umeme Maeneo Korofi mwambao wa ziwa Nyasa
*📌 Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini yaipongeza REA na...
WAZIRI MKUU AZINDUA MSIKITI WA NUURIL HIKMA.
▪️Awataka waumini kuutunza msikiti huo
▪️Atoa wito kwa viongozi wa dini kuliombea Taifa na kukemea maovu
Dar es Salaam WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Machi 14,...
KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA KASI UJENZI DARAJA LA PANGANI.
Tanga
MWENYEKITI wa Kamati hiyo, Seleman Moshi Kakoso amesema kazi iliyofanywa kwenye daraja hilo lenye urefu wa meta 525 ni kubwa hivyo Wizara ya...