Serikali kuleta mtoa huduma mpya wa mabasi ya mwendokasi kuondoa changamoto
Na Esther Mnyika, Dar es Salaam
SERIKALI imekiri kuwepo kwa changamoto ya uendeshwaji wa mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka( UDART ) kutoka Kimara-Kivukoni, Kariakoo na...
Watendaji wa Uchaguzi watakiwa kutoa mafunzo Wasimamizi Wasaidizi Ngazi ya Kata
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
WATENDAJI wa uchaguzi wametakiwa kutoa mafunzo kwa Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata ili kuwawezesha kuratibu na kusimamia...
Benki ya Dunia kujenga mradi wa njia kusafirisha umeme wa KV 400 kutoka Uganda...
📌Yakutana na Mhandisi Mramba kueleza uamuzi huo baada ya kujiridhisha kuwa hauna athari kimazingira
📌Yaialika Wizara ya Nishati kushiriki Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa...
Rais Dk.Samia kuongoza Watanzania kumbukumbu ya mashujaa
Na Mwandishi Wetu - Dodoma
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuongoza Watanzania katika Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa, inayotarajiwa kufanyika Julai, 25...
Tangwe aelekeza mradi wa Taza kukamilika kwa wakati
📍 TAZA kufungua biashara ya umeme kati ya Tanzania na Zambia
📍 MD Twange awataka wasimamizi wa mradi kuhakikisha muda wa kimkataba unazingatiwa
Na: Mwandishi Wetu,...
Wakandarasi kamilisheni ujenzi wa majengo Serikali ya Mtumba_Waziri Lukuvi
Na Mwandishi wetu, Dodoma
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu, William Lukuvi ameonya Wakandarasi wanaosuasua...
Boti iliyobeba shehena ya mirungi kutoka Kenya yanaswa na Polisi Tanga
Na Mwandishi wetu,Tanga
JESHI la Polisi Mkoa wa Tanga limetekeleza operesheni ya mafanikio usiku wa Julai, 22 2025 kwa kukamata boti aina ya fibre, rangi...
TBC, TAMISEMI waandaa shindano la insha kwa shule za sekondari
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
SHIRIKA la utangazaji Tanzania (TBC) kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za...
TANESCO yaandika historia ajira mpya
📍Waajiriwa wapya 555 wapata ajira kwa mara moja
📍Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO afungua rasmi mafunzo elekezi kwa waajiriwa hao
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
SHIRIKA la Umeme...
INEC yaasisitiza maandalizi ya Uchaguzi kuzingatia misingi ya sheria na maadili
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesisitiza maandalizi ya Uchaguzi Mkuu yanafanyika kwa kuzingatia misingi ya sheria, maadili,...