SERIKALI ITAENDELEA KUIAMINI NA KUIUNGA MKONO RED CROSS – DK. BITEKO
📌 Dk. Biteko amwakilisha Rais Samia Mkutano wa mwaka Red Cross📌 Awataka kutembea kifua mbele kwa kazi za Kudumisha Ubinadamu📌 RED CROSS yaishukuru Serikali...
DINI ZINA MCHANGO MKUBWA KATIKA KUIMARISHA USTAWI WA JAMII
Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema madhehebu ya dini yana mchango mkubwa katika kuimarisha ustawi wa jamii na kutoa huduma za kiroho.
Amesema...
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KUFIKIA 75% MWAKA 2030 – DK. BITEKO
📌 Dk. Biteko akutana na Balozi wa Japan nchini
📌 Tanzania na Japan kuendelea kuimarisha ushirikiano wake
📌 Dk. Biteko aishukuru Japan kufadhili mradi wa umeme...
RAIS DK. SAMIA KUONGOZA MAZISHI YA HAYATI MSUYA MEI 13 2025
Dar es Salaam
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuongoza waombolezaji katika mazishi ya aliyewahi kuwa Makamu wa Rais wa kwanza na Waziri Mkuu...
MD TWANGE AANZA KAZI RASMI TANESCO
📌Aomba ushirikiano ili kuhakikisha wananchi wanaendelea kunufaika na umeme wa uhakika.
📌Aahidi Kuendeleza Mazuri yaliyofanyika TANESCO
Dar es Salaam
MKURUGENZI Mtendaji mpya wa Shirika la Umeme...
KAPINGA AZINDUA KITUO MAMA CHA GESI ASILIA ILIYOSHINDILIWA (CNG) JIJINI DAR ES SALAAM
📌 Ni cha Pili kwa ukubwa barani Afrika; Cha Kwanza kwa ukubwa EAC
📌 Kujaza Gesi Asilia kwenye magari 1200 kwa siku
📌 Ampongeza Dkt. Samia...
SERIKALI YA TANZANIA NA MSUMBIJI ZIMESAINI MIKATABA MIWILI NA HATI NNE ZA MAKUBALIANO YA...
Dar es Salaam
SERIKALI ya Tanzania na Msumbiji zimesaini mikataba miwili pamoja na hati nne za makubalino ya uhusiano katika sekta mbalimbali zikiwemo elimu,uchukuzi...
MKINDI: WADAU WA KILIMO WANA KAZI YA KUHAKIKISHA MBEGU ASILI ZINATUMIKA KWA WINGI
Dar es Salaam
MRATIBU wa Mtandao wa Baionuai Tanzania (TABIO), Abdallah Mkindi amesema wadau wa kilimo wana kazi kubwa ya kuhakikisha mbegu asili zinatumika...
WAZIRI KABUDI AITAMBULISHA RASMI BODI YA ITHIBATI BUNGENI
Dodoma
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi, ameitambulisha rasmi Bungeni Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) na kubainisha...
SHULE 216 ZA SERIKALI ZATUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA-KAPINGA
📌 REA yapata kibali kufunga miundombinu ya nishati safi ya kupikia katika Shule 115
Dodoma
NAIBU Waziri Nishati, Judith Kapinga amesema hadi kufikia mwezi Machi...