Serikali kuleta mtoa huduma mpya wa mabasi ya mwendokasi kuondoa changamoto

Na Esther Mnyika,  Dar es Salaam  SERIKALI imekiri kuwepo kwa changamoto ya uendeshwaji wa mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka( UDART ) kutoka Kimara-Kivukoni, Kariakoo na...

Watendaji wa Uchaguzi watakiwa kutoa mafunzo Wasimamizi  Wasaidizi Ngazi ya Kata 

Na Mwandishi wetu,  Dar es Salaam  WATENDAJI wa uchaguzi wametakiwa kutoa mafunzo kwa Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata ili kuwawezesha kuratibu na kusimamia...

Benki ya Dunia kujenga mradi wa njia kusafirisha umeme wa KV 400 kutoka Uganda...

📌Yakutana na Mhandisi Mramba kueleza uamuzi huo baada ya kujiridhisha kuwa hauna athari kimazingira 📌Yaialika Wizara ya Nishati kushiriki Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa...

Rais Dk.Samia kuongoza Watanzania kumbukumbu ya mashujaa

Na Mwandishi Wetu - Dodoma RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuongoza Watanzania katika Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa, inayotarajiwa kufanyika Julai, 25...

Tangwe aelekeza mradi wa Taza kukamilika kwa wakati

📍 TAZA kufungua biashara ya umeme kati ya Tanzania na Zambia 📍 MD Twange awataka wasimamizi wa mradi kuhakikisha muda wa kimkataba unazingatiwa Na: Mwandishi Wetu,...

Wakandarasi kamilisheni ujenzi wa majengo Serikali ya Mtumba_Waziri Lukuvi

Na Mwandishi wetu, Dodoma WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu, William Lukuvi ameonya Wakandarasi wanaosuasua...

Boti iliyobeba shehena ya mirungi kutoka Kenya yanaswa na Polisi Tanga

Na Mwandishi wetu,Tanga JESHI la Polisi Mkoa wa Tanga limetekeleza operesheni ya mafanikio usiku wa Julai, 22 2025 kwa kukamata boti aina ya fibre, rangi...

TBC, TAMISEMI waandaa shindano la insha kwa shule za sekondari

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam SHIRIKA la utangazaji Tanzania (TBC) kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za...

TANESCO yaandika historia ajira mpya

📍Waajiriwa wapya 555 wapata ajira kwa mara moja 📍Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO afungua rasmi mafunzo elekezi kwa waajiriwa hao Na Mwandishi Wetu, Dodoma SHIRIKA la Umeme...

INEC yaasisitiza maandalizi ya Uchaguzi kuzingatia misingi ya sheria na maadili

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesisitiza maandalizi ya Uchaguzi Mkuu yanafanyika kwa kuzingatia misingi ya sheria, maadili,...