Dk. Mwinyi: awamu ijayo ni ya vijana

Na Mwandishi wetu, Zanzibar Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema kundi la vijana lina umuhimu mkubwa...

Tuwakatae wanaoichafua nchini kushusha heshima ya Tanzania Kimataifa-Dk.samia

Na Mwandishi wetu, Mwanza MGOMBEA wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuendelea...

Hatutokubali katiba ivunjwe kwa makelele ya mitandaoni-Makonda

Na Mwandishi wetu, Mwanza MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Paul Makonda leo Jumanne Oktoba 07, 2025 akiwa Nyamagana Mkoani Mwanza kwenye Kampeni...

Doyo nitaibadilisha Dar es Salaam kuwa la kisasa, kibiashara na lisilo na foleni

*Aahidi kujenga barabara za juu, kuboresha soko la Kariakoo kuwa la kisasa lenye barabara za chini, na kuunda mfumo wa biashara wa saa 24...

Tutakuza utalii wa Mkoa wa Manyara-Dk.Samia

Na Mwandishi wetu, Manyara MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan ameahidi...

DK.Samia: Tutajenga barabara ya tabaka gumu Ngorongoro kwenda Serengeti

Na Mwandishi wetu,Arusha MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM, Dk. Samia Suluhu Hassan amesema ikiwa Watanzania watampa...

Doyo: Aahidi hospitali ya kanda na soko la kisasa Kagera

Na Mwandishi wetu, Kagera WAKATI kampeni za Uchaguzi Mkuu zikizidi kushika kasi, mgombea urais kupitia Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo, ameahidi kujenga Hospitali...

Dk. Samia aahidi kufanyia kazi hitaji la bandari kavu Korogwe

Na Mwandishi wetu, Tanga MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM, Dk. Samia Suluhu Hassan amesema alipokea ombi...

Dk.Mwinyi aahidi kuboresha masoko ya wafanyabiashara Zanzibar

Na Mwandishi wetu, Zanzibar MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk.Hussein Ali Mwinyi, amesema endapo akipewa ridhaa ya kuongoza tena...

DK. Mwinyi: Serikali itahakikisha hospitali zote zinatoa huduma za kibingwa

Na Esther Mnyika, Zanzibar  MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema  Serikali itahakikisha hospitali zote zinatoa huduma za...