RUANGWA HATUNA DENI NA RAIS DK. SAMIA-MAJALIWA

Lindi MBUNGE wa Jimbo la Ruangwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema wakazi wa Wilaya ya Ruangwa hawana deni na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan...

WASIRA- VYAMA VYA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA VIENDESHWE KWA KUZINGATIA MAHITAJI

Pwani MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema vyama ya ukombozi kusini mwa Afrika viendeshwe Kwa kuzingatia mahitaji ya wakati...

NLD YAPULIZA KIPYENGA NAFASI ZA WAGOMBEA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU.

Na Boniface Gideon,HANDENI CHAMA cha National League for Democrats (NLD) ,leo kimetangaza kuanza kwa mchakato wa ndani ya chama wa kuwapata wagombea wa nafasi za...

JAJI WARIOBA: NAPONGEZA CCM KWA HATUA ZAKE DHIDI YA RUSHWA

Dar es Salaam MAKAMU wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba, amepongeza hatua zilizoanza kuchukuliwa na Chama Cha...

WASIRA AIHAKIKISHIA MAREKANI UCHAGUZI KUWA HURU NA HAKI

*Azungumza na Balozi wa Cuba Nchini Tanzania Dar es Salaam MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amesema kipaumbele cha Chama wakati wote...

BALOZI DK. NCHIMBI: CCM HAITAVUMILIA WANAOKIUKA KANUNI

Dodoma KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, ameonya vikali wanachama wanaotafuta uteuzi wa udiwani, uwakilishi na ubunge kwa njia...

KWENYE URAIS TUMESHAMALIZA-MAJALIWA 

▪️Asisitiza Rais Dkt. Samia tunaye na tunaenda naye. ▪️Asema Rais Samia ni mgombea aliyejipambanua kwa uhodari na uimara wake kiutendaji ▪️Amtaja Dkt. Nchimbi kuwa kiongozi mchapakazi...

BALOZI NCHIMBI: CCM KUENDELEA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA NDANI NA NJE

Dar es Salaam CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesisitiza dhamira yake ya kuendeleza na kuimarisha ushirikiano wa ndani na kimataifa chini ya uongozi wa Mwenyekiti...

BUKOMBE YATEKELEZA ILANI YA CCM KWA KISHINDO

📌 Rais Samia aleta mapinduzi ya maendeleo Geita 📌 Rais Mstaafu Kikwete asema Watanzania wana deni kwa Rais Samia mwezi Oktoba 📌 Wanachama wa CCM waaswa...

RAIS DK. SAMIA : CCM NDIO CHAMA KIKUBWA LAKINI BADO HAWAPASWI KUBWETEKA

DODOMA  MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan amesema pamoja na kazi kubwa iliyofanywa...