Wenje atimkia CCM, Awashangaa wanaohamasisha maandamano Oktoba 29

Na Mwandishi wetu, Geita ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Kanda ya Ziwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho...

Zitto aahidi kupambana na ufisadi na kusimamia haki

Na Mwandishi wetu, Kigoma MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, ameahidi kupambana na ufisadi, kusimamia haki,...

Gombo aahidi kununua meli kubwa ya kisasa

Na Mwandishi wetu, Ruvuma MGOMBEA Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo, amesema atakapopata ridhaa...

Dk. Mwinyi: awamu ijayo ni ya vijana

Na Mwandishi wetu, Zanzibar Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema kundi la vijana lina umuhimu mkubwa...

Tuwakatae wanaoichafua nchini kushusha heshima ya Tanzania Kimataifa-Dk.samia

Na Mwandishi wetu, Mwanza MGOMBEA wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuendelea...

Hatutokubali katiba ivunjwe kwa makelele ya mitandaoni-Makonda

Na Mwandishi wetu, Mwanza MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Paul Makonda leo Jumanne Oktoba 07, 2025 akiwa Nyamagana Mkoani Mwanza kwenye Kampeni...

Doyo nitaibadilisha Dar es Salaam kuwa la kisasa, kibiashara na lisilo na foleni

*Aahidi kujenga barabara za juu, kuboresha soko la Kariakoo kuwa la kisasa lenye barabara za chini, na kuunda mfumo wa biashara wa saa 24...

Tutakuza utalii wa Mkoa wa Manyara-Dk.Samia

Na Mwandishi wetu, Manyara MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan ameahidi...

DK.Samia: Tutajenga barabara ya tabaka gumu Ngorongoro kwenda Serengeti

Na Mwandishi wetu,Arusha MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM, Dk. Samia Suluhu Hassan amesema ikiwa Watanzania watampa...

Doyo: Aahidi hospitali ya kanda na soko la kisasa Kagera

Na Mwandishi wetu, Kagera WAKATI kampeni za Uchaguzi Mkuu zikizidi kushika kasi, mgombea urais kupitia Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo, ameahidi kujenga Hospitali...