Dk. Mwinyi kuendelea kuweka uwiano sawa wa maendeleo Unguja na Pemba

Na Mwandishi wetu, Zanzibar MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi amewahakikishia wananchi wa Pemba kuwa Serikali itaendelea...

Serikali kuboresha barabara kuunganisha Ndanda na Masasi

Na Mwandishi wetu, Mtwara MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuboresha miundombinu...

Mbeto azindua kampeni za CCM jimbo la Shaurimoyo

Na Mwandishi wetu, Zanzibar ‎‎KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC Zanzibar, Idara ya Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Khamis Mbeto Khamis, Septemba, 23 2025 amezindua...

Dk. Mwinyi: Amani, umoja na maridhiano ndiyo nguzo za maendeleo Zanzibar

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa sasa wa Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewataka...

Dk. Mwinyi aahidi mikopo, mafunzo kwa wajasiriamali wa utalii Zanzibar

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameielekeza Taasisi ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (ZAEA) kuhakikisha...

Dk. Mwinyi: Amani ya Zanzibar haitachezewa

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewahakikishia wananchi kuwa hataruhusu amani ya nchi ichezewe...

Mbeto amuumbua Jussa bei ya Karafuu Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimemkanya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Zanzibar , Ismail Jussa Ladhu, na kumtaka aache...

Dk. Samia: TASAF umeondoa wengi katika umaskini, nitauendeleza

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema usimamizi mzuri wa...

Samia aahidi kuimarisha wajasiriamali kupitia mikopo isiyo na riba

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake...

Dk. Samia aahidi kukuza uchumi, ajira na utawala bora

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kwamba ndani ya...