Iran: Lazima Tujibu Mashambulizi ya Marekani – Waziri wa Mambo ya Nje

Tehran, Iran  Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema kuwa taifa lake halina budi kujibu mashambulizi ya Marekani dhidi ya vituo vya...

Madai sita ya ACT Wazalendo kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba Mwaka huu

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam KUELEKEA kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu Oktoba Mwaka huu,Chama Cha Act Wazalendo kimeendelea kusisitiza madai sita ikiwemo Makamishna wa...

Kaeni kimya kama hamjui nchi ilikotoka-Wasira

Na Mndishi Wetu, Geita MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema tangu kupata uhuru Tanzania imepata maendeleo makubwa na kwamba...

Demokrasia sio ruhusa ya kutukana wengine-Wasira

Ruvuma MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema uwepo wa demokrasia na uhuru wa kutoa maoni sio ruhusa ya...

Mitano tena ni kwa Dk.Samia tu,wengine subirini kuchujwa_Wasira

Ruvuma MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, ‘Mitano Tena’ ni kwa mgombea...

Wasira akoleza moto wa kampeni Oktoba tunatiki

Ruvuma MAKUMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amewaonya wanachama wa CCM na Watanzania kwa ujumla, wasidanganywe na kauli mbiu...

Makalla:Tanzania na Kenya tuna uhusiano mzuri wa kihistoria

TARAKEA- ROMBO KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amesema uhusiano uliopo kati ya...

Wasira: hatuahirishi Uchaguzi Mkuu ng’o

Ruvuma CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema hakitaahirisha uchaguzi ng'o kwa sababu kiliomba ridhaa ya kuongoza nchi kwa miaka mitano na kimeongoza vizuri kwa kuleta maendeleo...

Sheikh Ponda ajiunga na ACT Wazalendo

Dar es Salaam KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania ,Sheikh Ponda Issa Ponda amejiunga rasmi, Chama cha Act Wazalendo huku akipewa rasmi...

Ntobi wa Chadema aibukia ACT Wazalendo

Dar es Salaam ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Shinyanga, Emanuel Ntobi, leo Juni, 3 2025 amejiunga rasmi na...