Dk. Samia aahidi kufanyia kazi hitaji la bandari kavu Korogwe
Na Mwandishi wetu, Tanga
MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM, Dk. Samia Suluhu Hassan amesema alipokea ombi...
Dk.Mwinyi aahidi kuboresha masoko ya wafanyabiashara Zanzibar
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk.Hussein Ali Mwinyi, amesema endapo akipewa ridhaa ya kuongoza tena...
DK. Mwinyi: Serikali itahakikisha hospitali zote zinatoa huduma za kibingwa
Na Esther Mnyika, Zanzibar
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itahakikisha hospitali zote zinatoa huduma za...
Dk. Mwinyi kuendelea kuweka uwiano sawa wa maendeleo Unguja na Pemba
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi amewahakikishia wananchi wa Pemba kuwa Serikali itaendelea...
Serikali kuboresha barabara kuunganisha Ndanda na Masasi
Na Mwandishi wetu, Mtwara
MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuboresha miundombinu...
Mbeto azindua kampeni za CCM jimbo la Shaurimoyo
Na Mwandishi wetu, Zanzibar KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC Zanzibar, Idara ya Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Khamis Mbeto Khamis, Septemba, 23 2025 amezindua...
Dk. Mwinyi: Amani, umoja na maridhiano ndiyo nguzo za maendeleo Zanzibar
Na Esther Mnyika, Zanzibar
Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa sasa wa Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewataka...
Dk. Mwinyi aahidi mikopo, mafunzo kwa wajasiriamali wa utalii Zanzibar
Na Esther Mnyika, Zanzibar
Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameielekeza Taasisi ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (ZAEA) kuhakikisha...
Dk. Mwinyi: Amani ya Zanzibar haitachezewa
Na Esther Mnyika, Zanzibar
Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewahakikishia wananchi kuwa hataruhusu amani ya nchi ichezewe...
Mbeto amuumbua Jussa bei ya Karafuu Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimemkanya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Zanzibar , Ismail Jussa Ladhu, na kumtaka aache...












