Dk. Mwinyi: Amani, umoja na maridhiano ndiyo msingi wa maendeleo Zanzibar

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa sasa wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewataka...

Muungano ni udugu wa damu, tutaulinda kwa bidii-Dk. Samia

Na Mwandishi Wetu, Lajiji Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuendelea kuulinda Muungano...

Nimekuja nyumbani kuchota baraka za wazee- Dk. Samia

Na Mwandishi wetu, Lajiji Mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amesema amerejea Zanzibar na kuanzia kampeni zake Makunduchi...

Polisi Somalia wawakamata wafuasi wa TikTok kwa kumtusi Rais Mohamud

Mogadishu, Somalia Polisi nchini Somalia wamewakamata vijana wanne wanaotumia mtandao wa TikTok kwa madai ya kumtusi Rais Hassan Sheikh Mohamud kupitia video ya densi. Katika video...

Dk. Mwinyi aahidi ajira na mitaji kwa vijana Zanzibar

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,...

Dk. Mwinyi: Pemba inakwenda kufunguka kupitia bandari, Airport ya kimataifa

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Mwinyi, amesema Pemba ipo mbioni kufunguka kiuchumi kupitia miradi mikubwa...

Dk. Mwinyi ataja mambo 11 akisaka kura Pemba

*Asisitiza juu ya uchumi wa buluu Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuimarisha uchumi...

Trump: Sikuarifiwa mapema kuhusu shambulizi la Israel nchini Qatar

Washingtona, Marekani Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Jumatatu kwamba hakujulishwa mapema na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, kuhusu shambulizi la anga la Israel...

Malawi kupiga kura leo, ushindani watarajiwa kati ya Rais Chakwera na Mutharika

Lilongwe, Malawi Malawi inaelekea kwenye uchaguzi leo, Jumanne, utakaomkutanisha Rais Lazarus Chakwera na mtangulizi wake, Peter Mutharika, huku taifa hilo likikabiliwa na mfumuko wa bei...

Dk. Mwinyi aahidi ajira zaidi ya 350,000 kwa vijana Zanzibar

Na Esther Mnyika, Lajiji- Zanzibar Mgombea wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuendeleza zaidi miradi...