Dk. Mwinyi aahidi kudhibiti mfumuko wa bei na kuanzisha hifadhi ya mafuta Zanzibar

Na Esther Mnyika, Zanzibar Mgombea urais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema endapo...

Doyo, NLD Tukichaguliwa, Tutageuza Kilindi kitovu Cha biashara

Na Mwandishi wetu, Tanga MGOMBEA urais kupitia Chama Cha NLD, Doyo Hassan Doyo, akiwa safarini kuelekea Kiteto, Manyara, aliendelea na kampeni zake na kuwa...

Dk. Mwinyi: tufanye kampeni za kistaarabu, tuidumishe amani

Na Esther Mnyika, Zanzibar MGOMBEA wa  Urais Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi  ametoa wito kwa wagombea  wa vyama...

Majaliwa azindua kampeni za Ubunge Jimbo la Nachingwea

▪️Aomba wananchi kumchagua Rais Dkt. Samia, Mbunge na Madiwani wa CCM ▪️Autaja mradi wa barabara kutoka Ruangwa hadi Nachingwea na Mradi wa maji Nyangao-Ruangwa hadi...

Mfaume wa NLD arejesha fomu ya kugombea urais wa Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar MWENYEKITI wa Chama cha NLD na mgombea urais wa Zanzibar, Mfaume Khamis Hassan, leo amerejesha fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea...

Kumchagua Rais Dk. Samia ni kuchagua maendeleo-Dk. Biteko

📌Awahimiza wananchi wa Namonge kujitokeza kupiga kura Oktoba 29 📌 Asema shilingi bilioni 200 kukopeshwa kwa vijana Na Mwandishi wetu, Geita MGOMBEA wa Ubunge Jimbo la...

Wasira: CCM chama. Kikubwa hakiwezi kugombana na Mpina

Na Mwandishi wetu, Simiyu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema CCM haina ugomvi na aliyekuwa Mbunge wa Kisesa, Luhaga...

Doyo Aendelea na Kampeni Muheza, Aahidi Kutatua Changamoto za Wananchi

Na Mwandishi wetu, Tanga MGOMBEA Urais kupitia Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo, ameendelea na kampeni zake kwa mfumo wa kijiji kwa kijiji...

Ziara ya Kampeni ya Mgombea Urais wa NLD Yatikisa Mkinga

Mwandishi wetu, Tanga MGOMBEA urais kupitia Chama cha NLD, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa chama hicho, Doyo Hassan Doyo, leo ameendelea na ziara...

Dk.Nchimbi atinga Geita apokewa kwa kishindo Mbogwe

Na Mwandishi Wetu, Geita MGOMBEA Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi akiwahutubia Wananchi wa kata ya Masumbwe,katika...